Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo kibwabwa mbona hamuoneshi clip hata moja akiwaweka kizuizini wachezaji wa Simba? Mnampa sifa asizostahili.Chizi alipoenda kwa kibwana alifanya kitu chochote?
Nilikuwa najiuliza kwa sauti
Mbona chizi yupo mahabusu naskia?
Labda alishuti wachezaji wakiwa washaondoka uwanjaniDakika ya mwisho denis nkane ameshuti na manula alidaka.
wewe utakuwa nyani lililozungumziwa na eymael😀😀 Unatakiwa uwe refa wa buza asee
Kama hawakuzuuliwa wangefungaHuyo kibwabwa mbona hamuoneshi clip hata moja akiwaweka kizuizini wachezaji wa Simba? Mnampa sifa asizostahili.
Hawakuzuiwa na kibwabwa wenu... Mnampa sifa zisizo zake..Kama hawakuzuuliwa wangefunga
We ni yule bint mchambuzi wa pale efm?Morisson alitakiwa kadi nyekundu na pia Aucho.
Penati ya Zimbwe ni wazi kabisa refa alikosea kutotoa adhabu. Simba walinyimwa penati halali.
Shida ninkwamba wachezajinwetu wa Simba waliwapania kuwatoboa kidude vijana wa jangwani sasa hapo nafikir walikosea sanaa
Yaan leo hii chezaj kama kibwana shomari eti anaimbwaa ... Mchezaji hajui ata beji ya CAF CL ina fananaje ...
Ndio maana walifunga refa akakataaHawakuzuiwa na kibwabwa wenu... Mnampa sifa zisizo zake..