Anaetakiwa kusema ni goli au sio goli ni kipa wa Mamelodi ambae shuti kali la Aziz Ki lilimshinda!
Wanayanga sasa tuanze kumsakama kipa Williams instagram yake na Instagram ya Mamelodi hadi kipa afunguke, ye ndo mtu pekee aneujua ukweli maana ni mtu pekee aliekuwa karibu na goli na mpira uliopigwa na kumshinda, mwenye akaunti yake ya instagram aweke hapa, hatuhitaji VAR kwasasa wamefanya ni kichaka cha kuhalalisha haramu kwenye soka!
hao sijui wakufunzi Mara sijui marefa lazima wamtetee refa mwenzao, lile ni goli halali zingine stori tu