Refa na Mkufunzi wa FIFA akataa goli la Yanga

mbona jamaa kama haelewi anaongea nini? Kama kamera ya juu ilikuwa haipo haimaanishi ndio sio goli.
 
Jerome Damon Refarii Mstaafu na Mkufunzi wa matumizi ya VAR wa FIFA, ameungana na maamuzi ya kulikataa goli la Yanga dhidi ya Mamelod sundown...
Kama halikuwa goli basi ilikuwa kona, swali fikirishi baadae ya kulikataa goli kwanini hawakupewa kona, njia za muongo ni fupi
 
Kwanini refa hakwemda kujiridhisha kama alivyofanya kwa faulo ya Lomalisa?!
 
Kasema ni mpaka kuwe na ushahidi Wa zaidi ya kamera Moja kuthibitisha goli
Sasa yeye kaconcludije kama sio goli wakati hakuna huo ushahidi? Pia kama sio goli ilikuwa ni nini? Je kwanini refa alidundisha mpira na kumpa kipa wa Mamelodi aanzishe wakati beki wa Mamelodi aliutoa nje na kipa kuudakia nje?


Mzee kakazia kauli yake.
 
VAR kimsingi hapo haina msaada sana zaidi ya ingekuwepo Goal line technology
VAR ililetwa kwa gharama zote zile ili kusaidia kuondoa makosa ya kibindamu yanayoweza kufanywa na refa kwa kuruhusu replay ya mchezo na kuuanglia kutoka pande tofauti. Refa kukataa kutumia VAR ni sawa na kulazimasha maklosa makosa yake ya kibindamu yakubalike, jambo ambalo siyo sahihi.
 
Kipa nae nadhani hakuona kitu aliona nyota nyota tu .Lile shuti lilikuwa Kali sana la spidi ya ndege za kivita za urusi.Kipa aliona tu mpira umerudi kwa kuwa baada ya shuti kumshinda alibaki anagaragara tu golini.
 
Ok, huyo refa mstaafu amezungumza lolote kuhusu kwanini haikuwa kona?
 
Kwahiyo, unataka mshitakiwa ajihukumu..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…