Pythagoras
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 2,026
- 5,299
Hapo ndo wanazidi kuwavuruga UTO, kama kweli siyo goli, si waonyeshe VAR footageDamon anasema maamuzi yale huenda yalitokana na kutokuwepo na Camera Juu ya goli kuthibitisha kama ule mpira ulivuka mstari wa goli.
Ndiyo ingelikuwa kona, hata kona wamenyimwa duu kweli lilikuwa goliMbona goli linaonekana vizuri tu? Camera zipo zaidi ya mbili pale kwa angle tofauti.
Kuna mdau aliuliza kama siyo goli kwanini refa hajawapa Yanga Kona?
Kama halikuwa goli basi ilikuwa kona, swali fikirishi baadae ya kulikataa goli kwanini hawakupewa kona, njia za muongo ni fupiJerome Damon Refarii Mstaafu na Mkufunzi wa matumizi ya VAR wa FIFA, ameungana na maamuzi ya kulikataa goli la Yanga dhidi ya Mamelod sundown...
Wakuu malizeni mada. Kama tungefunga magol meng hizi kelele zisingekuwepo
Sasa yeye kaconcludije kama sio goli wakati hakuna huo ushahidi? Pia kama sio goli ilikuwa ni nini? Je kwanini refa alidundisha mpira na kumpa kipa wa Mamelodi aanzishe wakati beki wa Mamelodi aliutoa nje na kipa kuudakia nje?Kasema ni mpaka kuwe na ushahidi Wa zaidi ya kamera Moja kuthibitisha goli
Watuletee ya Yanga ya namna hiyo na watuambie sheria za CAF na Kanuni za kuendesha CAFCL zinasemaje katika hilo?
VAR kimsingi hapo haina msaada sana zaidi ya ingekuwepo Goal line technologyHapo ndo wanazidi kuwavuruga UTO, kama kweli siyo goli, si waonyeshe VAR footage
Mpo nusu fainali mamelody wanawasaidia kucheza halafu fainali mcheze ninyi 🐸Nilitamani mmajibu ya ile barua yatoke haraka.
Mtani anateseka.
VAR ililetwa kwa gharama zote zile ili kusaidia kuondoa makosa ya kibindamu yanayoweza kufanywa na refa kwa kuruhusu replay ya mchezo na kuuanglia kutoka pande tofauti. Refa kukataa kutumia VAR ni sawa na kulazimasha maklosa makosa yake ya kibindamu yakubalike, jambo ambalo siyo sahihi.VAR kimsingi hapo haina msaada sana zaidi ya ingekuwepo Goal line technology
Watu wanashindwa kuelewa huu mjadala unazidi kuipaisha Yanga kimataifa!Huyo refa ni mpumbavu, kwani wote sie hatuna macho ni marefa tu ndio wana macho, nyoko zake
Kipa nae nadhani hakuona kitu aliona nyota nyota tu .Lile shuti lilikuwa Kali sana la spidi ya ndege za kivita za urusi.Kipa aliona tu mpira umerudi kwa kuwa baada ya shuti kumshinda alibaki anagaragara tu golini.Anaetakiwa kusema ni goli au sio goli ni kipa wa Mamelodi ambae shuti kali la Aziz Ki lilimshinda!
Wanayanga sasa tuanze kumsakama kipa Williams instagram yake na Instagram ya Mamelodi hadi kipa afunguke, ye ndo mtu pekee aneujua ukweli maana ni mtu pekee aliekuwa karibu na goli na mpira uliopigwa na kumshinda, mwenye akaunti yake ya instagram aweke hapa, hatuhitaji VAR kwasasa wamefanya ni kichaka cha kuhalalisha haramu kwenye soka!
hao sijui wakufunzi Mara sijui marefa lazima wamtetee refa mwenzao, lile ni goli halali zingine stori tu
Ok, huyo refa mstaafu amezungumza lolote kuhusu kwanini haikuwa kona?Jerome Damon Refarii Mstaafu na Mkufunzi wa matumizi ya VAR wa FIFA, ameungana na maamuzi ya kulikataa goli la Yanga dhidi ya Mamelod sundown.
Damon amesema Kwa Sheria ya VAR kwanza kunakuwa na uamuzi wa awali ambao ni wa uwanjani (on-field decision) halafu VAR hutumika kuyakagua (check) maamuzi ya awali.
Damon ametolea mfano Wa Mechi kati ya Ujerumani na Japan ambapo vyombo vya habari vilionyesha kuwa kulikuwa na goli Lakini teknolojia ya mstari wa goli ilionesha mpira wote ulikuwa haujavuka mstari wa goli.
Damon anasema maamuzi yale huenda yalitokana na kutokuwepo na Camera Juu ya goli kuthibitisha kama ule mpira ulivuka mstari wa goli.
Kwahiyo, unataka mshitakiwa ajihukumu..!!Anaetakiwa kusema ni goli au sio goli ni kipa wa Mamelodi ambae shuti kali la Aziz Ki lilimshinda!
Wanayanga sasa tuanze kumsakama kipa Williams instagram yake na Instagram ya Mamelodi hadi kipa afunguke, ye ndo mtu pekee aneujua ukweli maana ni mtu pekee aliekuwa karibu na goli na mpira uliopigwa na kumshinda, mwenye akaunti yake ya instagram aweke hapa, hatuhitaji VAR kwasasa wamefanya ni kichaka cha kuhalalisha haramu kwenye soka!
hao sijui wakufunzi Mara sijui marefa lazima wamtetee refa mwenzao, lile ni goli halali zingine stori tu
Kweli kabisa, KASIMU alishawahi sema JPM mzima na anchapa kazi, kumbe kafa..!!Issue sio nani kasema kinacho takiwa ni kwamba mpira ulivuka msitari au hakuvuka basi!