Ukiwa mshabiki wa yanga akili sijui huwa zinaenda wapi.... yaan barua ina anwani ya huko inakoenda halafu naulizwa eti dhibitisha kama inaenda CAF๐ ๐Unaweza kuthibitisha kua hio barua unayo iona kwenye mitandao ndio iliyotumwa CAF?
Kwamba anuani ndio uthibitisho? bora nikose akili kuliko kua jinga kama weweUkiwa mshabiki wa yanga akili sijui huwa zinaenda wapi.... yaan barua ina anwani ya huko inakoenda halafu naulizwa eti dhibitisha kama inaenda CAF[emoji28][emoji28]
Ulipokuwa darasani unafundishwa sifa za barua uliambiwa anwani sio sifa ya barua? Kwa hiyo uongozi umeandika barua halafu ikachanwa isipelekwe ili kumfurahisha naniKwamba anuani ndio uthibitisho? bora nikose akili kuliko kua jinga kama wewe
Ndio halazimiki, kwanini hakwenda kama incident ya Lomalisa?Kwa kanuni za VAR refarii halazimiki kwenda...
Nmekuuliza hio barua umeitoa kwenye official page ya taasisi gani maana akili yako ndogo kila unacho ona mtandaoni una bebaUlipokuwa darasani unafundishwa sifa za barua uliambiwa anwani sio sifa ya barua? Kwa hiyo uongozi umeandika barua halafu ikachanwa isipelekwe ili kumfurahisha nani
Masijala ya CafNmekuuliza hio barua umeitoa kwenye official page ya taasisi gani maana akili yako ndogo kila unacho ona mtandaoni una beba
Tatizo kubwa pale ni camera ya juu ya goli. Huwezi kupata uamuzi wa jambo tata kama lile bila camera ya juu ya goli.Jerome Damon Refarii Mstaafu na Mkufunzi wa matumizi ya VAR wa FIFA, ameungana na maamuzi ya kulikataa goli la Yanga dhidi ya Mamelod sundown.
Damon amesema Kwa Sheria ya VAR kwanza kunakuwa na uamuzi wa awali ambao ni wa uwanjani (on-field decision) halafu VAR hutumika kuyakagua (check) maamuzi ya awali.
Damon ametolea mfano Wa Mechi kati ya Ujerumani na Japan ambapo vyombo vya habari vilionyesha kuwa kulikuwa na goli Lakini teknolojia ya mstari wa goli ilionesha mpira wote ulikuwa haujavuka mstari wa goli.
Damon anasema maamuzi yale huenda yalitokana na kutokuwepo na Camera Juu ya goli kuthibitisha kama ule mpira ulivuka mstari wa goli.
Na iwe hivyoHii ni kazi ya mashabiki, ndio kazi yetu kupiga kelele focus tunaiachia timu. Kumbuka hapa tunatambiana tu simba na yanga basi. Kwahiyo kila mtu anatanua msuli wake. Haina maana ya kubadilisha jambo lakini walau tukiongea nyongo zinapungua.
Yule refa Msee sana lo
Msinikumbushe ule usssshungu waile siku walai๐๐๐ค๐ช
Msinikumbushe ule usssshungu waile siku walai๐๐๐ค๐ช
Kutoka kwa Shimba ya buyenzeJerome Damon Refarii Mstaafu na Mkufunzi wa matumizi ya VAR wa FIFA, ameungana na maamuzi ya kulikataa goli la Yanga dhidi ya Mamelod sundown.
Damon amesema Kwa Sheria ya VAR kwanza kunakuwa na uamuzi wa awali ambao ni wa uwanjani (on-field decision) halafu VAR hutumika kuyakagua (check) maamuzi ya awali.
Damon ametolea mfano Wa Mechi kati ya Ujerumani na Japan ambapo vyombo vya habari vilionyesha kuwa kulikuwa na goli Lakini teknolojia ya mstari wa goli ilionesha mpira wote ulikuwa haujavuka mstari wa goli.
Damon anasema maamuzi yale huenda yalitokana na kutokuwepo na Camera Juu ya goli kuthibitisha kama ule mpira ulivuka mstari wa goli.
Ye ka naniJerome Damon Refarii Mstaafu na Mkufunzi wa matumizi ya VAR wa FIFA, ameungana na maamuzi ya kulikataa goli la Yanga dhidi ya Mamelod sundown.
Damon amesema Kwa Sheria ya VAR kwanza kunakuwa na uamuzi wa awali ambao ni wa uwanjani (on-field decision) halafu VAR hutumika kuyakagua (check) maamuzi ya awali.
Damon ametolea mfano Wa Mechi kati ya Ujerumani na Japan ambapo vyombo vya habari vilionyesha kuwa kulikuwa na goli Lakini teknolojia ya mstari wa goli ilionesha mpira wote ulikuwa haujavuka mstari wa goli.
Damon anasema maamuzi yale huenda yalitokana na kutokuwepo na Camera Juu ya goli kuthibitisha kama ule mpira ulivuka mstari wa goli.