Refa na Mkufunzi wa FIFA akataa goli la Yanga

Refa na Mkufunzi wa FIFA akataa goli la Yanga

Unaweza kuthibitisha kua hio barua unayo iona kwenye mitandao ndio iliyotumwa CAF?
Ukiwa mshabiki wa yanga akili sijui huwa zinaenda wapi.... yaan barua ina anwani ya huko inakoenda halafu naulizwa eti dhibitisha kama inaenda CAF😅😅
 
Ukiwa mshabiki wa yanga akili sijui huwa zinaenda wapi.... yaan barua ina anwani ya huko inakoenda halafu naulizwa eti dhibitisha kama inaenda CAF[emoji28][emoji28]
Kwamba anuani ndio uthibitisho? bora nikose akili kuliko kua jinga kama wewe
 
Kwamba anuani ndio uthibitisho? bora nikose akili kuliko kua jinga kama wewe
Ulipokuwa darasani unafundishwa sifa za barua uliambiwa anwani sio sifa ya barua? Kwa hiyo uongozi umeandika barua halafu ikachanwa isipelekwe ili kumfurahisha nani
 
Dili na timu yako mbovu mkuuu haya ya kudili na Yanga Sc ndio yanafanya Leo mmefungwa huko kigoma
 
Ulipokuwa darasani unafundishwa sifa za barua uliambiwa anwani sio sifa ya barua? Kwa hiyo uongozi umeandika barua halafu ikachanwa isipelekwe ili kumfurahisha nani
Nmekuuliza hio barua umeitoa kwenye official page ya taasisi gani maana akili yako ndogo kila unacho ona mtandaoni una beba
 
Jerome Damon Refarii Mstaafu na Mkufunzi wa matumizi ya VAR wa FIFA, ameungana na maamuzi ya kulikataa goli la Yanga dhidi ya Mamelod sundown.

Damon amesema Kwa Sheria ya VAR kwanza kunakuwa na uamuzi wa awali ambao ni wa uwanjani (on-field decision) halafu VAR hutumika kuyakagua (check) maamuzi ya awali.

Damon ametolea mfano Wa Mechi kati ya Ujerumani na Japan ambapo vyombo vya habari vilionyesha kuwa kulikuwa na goli Lakini teknolojia ya mstari wa goli ilionesha mpira wote ulikuwa haujavuka mstari wa goli.

Damon anasema maamuzi yale huenda yalitokana na kutokuwepo na Camera Juu ya goli kuthibitisha kama ule mpira ulivuka mstari wa goli.
Tatizo kubwa pale ni camera ya juu ya goli. Huwezi kupata uamuzi wa jambo tata kama lile bila camera ya juu ya goli.

Waamuzi huwa wana msingi wa ni heri kukataa goli halali kuliko kukubali goli la uongo. Msingi huu huumiza sana mashabiki.

Ova
 
Hii ni kazi ya mashabiki, ndio kazi yetu kupiga kelele focus tunaiachia timu. Kumbuka hapa tunatambiana tu simba na yanga basi. Kwahiyo kila mtu anatanua msuli wake. Haina maana ya kubadilisha jambo lakini walau tukiongea nyongo zinapungua.
Na iwe hivyo
 
Jerome Damon Refarii Mstaafu na Mkufunzi wa matumizi ya VAR wa FIFA, ameungana na maamuzi ya kulikataa goli la Yanga dhidi ya Mamelod sundown.

Damon amesema Kwa Sheria ya VAR kwanza kunakuwa na uamuzi wa awali ambao ni wa uwanjani (on-field decision) halafu VAR hutumika kuyakagua (check) maamuzi ya awali.

Damon ametolea mfano Wa Mechi kati ya Ujerumani na Japan ambapo vyombo vya habari vilionyesha kuwa kulikuwa na goli Lakini teknolojia ya mstari wa goli ilionesha mpira wote ulikuwa haujavuka mstari wa goli.

Damon anasema maamuzi yale huenda yalitokana na kutokuwepo na Camera Juu ya goli kuthibitisha kama ule mpira ulivuka mstari wa goli.
Kutoka kwa Shimba ya buyenze
dff36f57ef1f68a4c62a15f066f0005f.png
 
Jerome Damon Refarii Mstaafu na Mkufunzi wa matumizi ya VAR wa FIFA, ameungana na maamuzi ya kulikataa goli la Yanga dhidi ya Mamelod sundown.

Damon amesema Kwa Sheria ya VAR kwanza kunakuwa na uamuzi wa awali ambao ni wa uwanjani (on-field decision) halafu VAR hutumika kuyakagua (check) maamuzi ya awali.

Damon ametolea mfano Wa Mechi kati ya Ujerumani na Japan ambapo vyombo vya habari vilionyesha kuwa kulikuwa na goli Lakini teknolojia ya mstari wa goli ilionesha mpira wote ulikuwa haujavuka mstari wa goli.

Damon anasema maamuzi yale huenda yalitokana na kutokuwepo na Camera Juu ya goli kuthibitisha kama ule mpira ulivuka mstari wa goli.
Ye ka nani
 
Back
Top Bottom