Refa wa mechi ya Namungo dhidi ya Simba afungiwe kuchezesha mechi za ligi kuu ya NBC. Ni wazi ametumwa ili kusawazisha tukio la mechi ya Yanga

Ulitaka aache watu waendelee kutiwa madole
 
Namungo ndio refa aliyetoa kadi nyekundu? Yani unategemea ushindi wa Rose mhando na bado unatamba?
Ukicheza na tawi hata hautumii nguvu kubwa mpaka kuongea na refa, unapanga tu kikosi cha 3 kama walivyofanya Singida juzi.
 
Ukicheza na tawi hata hautumii nguvu kubwa mpaka kuongea na refa, unapanga tu kikosi cha 3 kama walivyofanya Singida juzi.
Unakenua sasa hivi we subilia Kuna kilio kinakuja utabweka kama mbwa,,niliwaambia mmechokoza nyuki kwenye mzinga,,atutaki ushauri!
 
*PENALTY 🐗
*PENALTY 🐗❌
*PENALTY 🐗
*________
*________
 
Kwani DEMU WA AZIZI KEY "JEMEDARI SAID" HAJALISEMEA HILI?.
 
Ulishiriki kwenye kupanga?
 
Mimi mwenyewe nilidhani hivyo na sikuiafiki hiyo kadi ila kuna upuuzi huyo mchezaji amefanya kwa Ateba.
Mkuu wewe uliangalia vizuri,Aliwakusanya Ateba na mpanzu akawasukuma kama magunia,kuna jambo Ateba akaenda kumwuliza hapo ndio tukio lilianzia.Sasa SIJUI alitukana au vipi
 
Mpira wetu unabebwa na wageni, wazawa nidhamu mbovu sana na kamati ikikaa hata ile nyekundu haitoshi ni wa kufungiwa kabisa dogo mpumbavu yule
 
Mkuu wewe uliangalia vizuri,Aliwakusanya Ateba na mpanzu akawasukuma kama magunia,kuna jambo Ateba akaenda kumwuliza hapo ndio tukio lilianzia.Sasa SIJUI alitukana au vipi
Hapana siyo ishu ya kutukana
 
Mpira wetu unabebwa na wageni, wazawa nidhamu mbovu sana na kamati ikikaa hata ile nyekundu haitoshi ni wa kufungiwa kabisa dogo mpumbavu yule
Sahihi kabisa. Nadhani yule mchezaji atapewa adhabu zaidi.
 
Chukueni yale mawili bakizeni mojaaaa
Full time..1 kwa sufuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…