Refa wa mechi ya Namungo dhidi ya Simba afungiwe kuchezesha mechi za ligi kuu ya NBC. Ni wazi ametumwa ili kusawazisha tukio la mechi ya Yanga

Jamani naangalia live ya shemeji yangu Aziz K na Hamisa yani hata mambo hayajaanza ukute walikua wanaangalia mechi ya mnyama..wakijoseshe raha bureee
 
Afungiwe na waliomtuma?
Wewe unadhani Simba/ refa ina ubavu wa kufanya muendelezo wa matukio yanayolalamikiwa kila siku bila kupata baraka?.
 
Tafuteni muda mjifunze mpira viongozi
 
Tulijadiri Sana kuhusu refa aliyechezesha yanga vs Mamelodi mchezo wa marudiano kule South Africa, wengine tulienda mbali kuhusu hongo kwamba kumbe refa anaweza akalipwa hongo kubwa ambayo hata akifungiwa anaweza akaishi vizuri kwa muda huo aliofungiwa
 
Yule refa alishikishwa milioni 5 akaambiwa akiwezesha 5imba akishinda ataongezewa 10 milioni.
 
Ina uhalali Gani Ile card? Au Mpira unaangalia wewe peke yako?
Kasimuliwa na shem huku dada ake akivaa t shirt ya yanga kitenge kiunoni kama penalt na red. Card hazikuwa halali
 
Kabisa refa naona muamala umesoma,mpo vizuri msimu. Mwendo wa miamala kwa marefa JKT,Azam,Dodoma jiji na leo kama kawa Namungo. Kweli mnavuja jasho ili mpate ushindi tunaona hapa.
Nawee wape marefa miamala, kwani umekatazwa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapoo badooo, ubayaa ubwelaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…