Refa wa mechi ya Namungo dhidi ya Simba afungiwe kuchezesha mechi za ligi kuu ya NBC. Ni wazi ametumwa ili kusawazisha tukio la mechi ya Yanga

Refa wa mechi ya Namungo dhidi ya Simba afungiwe kuchezesha mechi za ligi kuu ya NBC. Ni wazi ametumwa ili kusawazisha tukio la mechi ya Yanga

Jamani naangalia live ya shemeji yangu Aziz K na Hamisa yani hata mambo hayajaanza ukute walikua wanaangalia mechi ya mnyama..wakijoseshe raha bureee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nawee wape marefa miamala, kwani umekatazwa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapoo badooo, ubayaa ubwelaa.
Mda sijaziona comments zako.

Msihofu mshakuwa marole model tutaanza kutembeza miamala kwa marefa.
 
Bila kung'atang'ata maneno naiomba TFF wamfungie huyu mwamuzi kwa kitendo cha kutoa kadi nyekundu isiyo ya halali dhidi ya mchezaji wa Namungo katika mchezo unaoendelea hapo uwanja wa Majaliwa .

Ni wazi huyu mwamuzi ni pandikizi lililotumwa ili kujustify tukio la upangaji wa matokeo uliofanywa na Yanga wakishirikiana na Singida Black Stars.

Sisi wanasimba hatukubaliani na upumbavu huu. Tunataka kabumbu safi bila ya mipango ya upangaji wa matokeo

Sisi wanasimba hatukubaliani na upumbavu huu. Tunataka kabumbu safi bila ya mipango ya upangaji wa matokeo👌🏿💪🏿🔨
 
Mda sijaziona comments zako.

Msihofu mshakuwa marole model tutaanza kutembeza miamala kwa marefa.
Nyie ndo mlianzaa, sisi tunafatia.
Twende ki ubaya ubwelaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom