Referrers wanaohitajika wakati wa maombi ya kazi hasa serikalini ni akina nani?

Referrers wanaohitajika wakati wa maombi ya kazi hasa serikalini ni akina nani?

WATU WANAOFAA UWAWEKE KAMA REFEREES KWENYE CV YAKO WAKATI WA MAOMBI YA KAZI

Uchaguaji wa referee hutegemea na kiwango chako cha uzoefu, yaani kama umewahi fanya kazi sehemu nyengine ama hujawahi bali umetoka tu chuo.

MAMBO YA JUMLA YA KUZINGATIA:

1. Unaemuweka lazima awe anakufahamu vizuri
2. Referee wa kazi huwa ni mtu wa kiofisi ama kijamii na sio kindugu kwa maana kuwa hushauriwi kuweka ndugu yako.

A. IWAPO NDIO UMEMALIZA TU CHUO REFEREE WEKA HAWA WAFUATAO:

1. Mmoja kutoka uliposoma
2. Mmoja kutoka ulipofanya field
3. Mmoja kutoka katika nafasi za kijamii ama kiserekali anaekufahamu vizuri.

B. IWAPO UMEWAHI FANYA KAZI SEHEMU BASI WEKA REFEREE WAFUATAO:

1. Mmoja kutoka kazi yako ya mwisho
2. Mmoja kutoka kazi ya kabla yake kama hakuna basi weka wa field
3. Mmoja kutoka ulipofanya field kama namba mbili hapo juu umeweka wa kazi ya kabla ama mtu wa nafasi ya kijamii anaekufahamu vizuri kama namba mbili hapo juu umeweka wa field.

TANBIHI

Ila kwa soko la ajira lilivyo gumu wengi nafasi za referees hawana hivyo inashauriwa kujijengea mazingira tu ya mtu ataekuwa tayari kutoa comment nzuri kwako.

KWA UZOEFU WANGU:

Cha kushangaza 90% ya kazi nilizowahi ajiriwa nazo referees wangu hawakuwahi kupigiwa simu so sijui kama wengi wa referees hupigiwa ama la ila ukiwa unajuana na watu wakubwa wakubwa na ukawaweka kwa CV inakujengea mazingira ya kupata nafasi kwa haraka.

Huo ndio mchango wangu wengine wataongezea.
 
Watu wanaokujua wewe kwenye hicho kitu unachokiombea kazi
Kwa mfano unaombea fani ya ulinzi
Referee watukua watu waliokufundisha ulinzi
2 manager wa sehemu ulizowah kupga kazi
3 sio mbaya ukaweka namba ya jambazi mmja uliewah kumshushia kipigo kama references
 
Watu wanaokujua wewe kwenye hicho kitu unachokiombea kazi
Kwa mfano unaombea fani ya ulinzi
Referee watukua watu waliokufundisha ulinzi
2 manager wa sehemu ulizowah kupga kazi
3 sio mbaya ukaweka namba ya jambazi mmja uliewah kumshushia kipigo kama references
Inategemea na level yako ya experience.

A. Referees wa fresh from school inashauriwa aweke:
1. Mmoja kutoka uliposoma
2. Mmoja kutoka ulipofanya field
3. Mmoja kutoka katika nafasi za kijamii ama kiserekali anaekufahamu vizuri.

B. Referees wa muombaji kazi mzoefu inashauriwa aweke:
1. Mmoja kutoka kazi yako ya mwisho
2. Mmoja kutoka kazi ya kabla yake ama field
3. Mmoja kutoka ulipofanya field ama nafasi ya kijamii anaekufahamu vizuri.

Ila kwa soko la ajira lilivyo gumu wengi nafasi za referees hawana hivyo inashauriwa kujijengea mazingira tu ya mtu ataekuwa tayari kutoa comment nzuri kwako.

Cha kushangaza 90% ya kazi nilizowahi ajiriwa nazo referees wangu hawakuwahi kupigiwa simu so sijui kama wengi wa referees hupigiwa ama la ila ukiwa unajuana na watu wakubwa wakubwa na ukawaweka kwa CV inakujengea mazingira ya kupata nafasi kwa haraka.

Mchango wangu huo wengine wataongezea.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Nmewaelewa sana ndugu zangu
 
Tafadhali naomba mnieleweshe kuhusu hao watu wanatakiwa wawe vipi.

mfano ni ndugu, wafanyakazi mashirika binafsi, serikalini au wanatakiwa wapoje.?​
Kama ajira zinazingua jitoe ufahamu tu jaza marefa wenye ngazi za juu
1.Unaandika hata jina la Rais mstafu
2. Makamu wa Rais
3. Waziri Mkuu.
CV yako wakiiona tu unaitwa kazini.
 
Kama ajira zinazingua jitoe ufahamu tu jaza marefa wenye ngazi za juu
1.Unaandika hata jina la Rais mstafu
2. Makamu wa Rais
3. Waziri Mkuu.
CV yako wakiiona tu unaitwa kazini.
C watashangaa huyo ndugu vp ameshindwaje kuchomekwa juu kwa juu ad aje kuomba kazi
 
Kama ajira zinazingua jitoe ufahamu tu jaza marefa wenye ngazi za juu
1.Unaandika hata jina la Rais mstafu
2. Makamu wa Rais
3. Waziri Mkuu.
CV yako wakiiona tu unaitwa kazini.
Hii idea ya kibabe sana yani [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom