Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
- Thread starter
- #21
Ana export pia.Hamna ushind hapo tena atapata anguko kubwa sna kwa sababu ni 5% tu ya wanaijeria wanachukua mafuta hapo .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana export pia.Hamna ushind hapo tena atapata anguko kubwa sna kwa sababu ni 5% tu ya wanaijeria wanachukua mafuta hapo .
Hiyo sasa unamaanisha kuwa 20billion Dollar ni cash au? Lakini mbona tunatoka kwenye mambo ya mafuta tunakwenda kwenye Umeme...itlnakuaje sasa uzalishaji wa mafuta mengi hivyo; uchafuzi wa mazingira tu.Umesema kwamba ni 20billion of Dollar hiyo pesa unanunua man City 5 ndo kuna wajinga humfananisha dangoke na mansoul, kisa et mmoja ni mwarabu na mwingine ni mweus kwahiyo wao huona ukiwa mweus automatic unakuwa umezidiwa na mweupe bila kupenda
Teheeee uchafuzi wa mazingira ni kutupa makopo ya juis barabaran ukiwa kw bas over.Hiyo sasa unamaanisha kuwa 20billion Dollar ni cash au? Lakini mbona tunatoka kwenye mambo ya mafuta tunakwenda kwenye Umeme...itlnakuaje sasa uzalishaji wa mafuta mengi hivyo; uchafuzi wa mazingira tu.
Bahati Mbaya rais ndiye pia waziri wa mafuta. Amekuwa tajiri wa kutupwa sababu ya dili za mafuta.Hapo serikali ya Nigeria ilitakiwa kumlinda kwa kutunga sheria ili hao wachimbaji wa mafuta wamuuzie dangote kwa kadiri anavyohitaji halafu yanayobaki yapelekwe huko nje. Wazungu hawataki kabisa waafrika tuneemeka na rasilimali zetu.
Viongozi wa serikali pamoja na kizee Tinubu kinamwekea zengweHapo serikali ya Nigeria ilitakiwa kumlinda kwa kutunga sheria ili hao wachimbaji wa mafuta wamuuzie dangote kwa kadiri anavyohitaji halafu yanayobaki yapelekwe huko nje. Wazungu hawataki kabisa waafrika tuneemeka na rasilimali zetu.
Daah!!!hivi sijui kwanini sisi watu weusiBahati Mbaya rais ndiye pia waziri wa mafuta. Amekuwa tajiri wa kutupwa sababu ya dili za mafuta.