FAB ACHA UNAFIKI NDUGU YANGU!we kama ni infideletee UTABAKI KUWA HIVYO HIVYO......!usilete mambo ya ajabu
BTK:acha MTIMA NYONGO MSHKAJI....!kwanin ulinidiliti kwenye contacts list yako ya yahoo?....mimi bado nakukubali na sina kinyongo nawe...yale matatizo yalitokea kutokana na COMMUNICATION ERROR,lait ningejua mimi nisingeomba ile namba!rudi tu na id yako ya zamani.kwanin tufanyiane hivo mpwaaz?
we wa kawaida sana.infact upo below standards
Babu amepewa kazi ya kukagua lakini sehemu nyingine babu anapaswa kuchukua tahadhari....soma katikati ya mistari hapo hommie.Babu vp hapo unaweza kukagua?:bump:
we wa kawaida sana.infact upo below standards
Bado upo? Nlihisi umesha sign out. Sasa...dah...ngoja niishie hapa kwa leo.taratibu kijana hilo jina kamwambie mkeo.
umechoka sasa kufukunyua maposti yangu???nani alikudanganya utaninyamazisha kwa njia hiyo?
BTK:acha MTIMA NYONGO MSHKAJI....!kwanin ulinidiliti kwenye contacts list yako ya yahoo?....mimi bado nakukubali na sina kinyongo nawe...yale matatizo yalitokea kutokana na COMMUNICATION ERROR,lait ningejua mimi nisingeomba ile namba!rudi tu na id yako ya zamani.kwanin tufanyiane hivo mpwaaz?
Sasa dada Fab...hii ni battle kati yako na Teamo. Kwanini unawaingiza wengine wasiohusika kabisa? Humtendei haki mwanamke mwenzio. We pambana ulingoni na Teamo, siyo mke wake. Vinginevyo watu watakuona kama unatafuta ngao ya kuazima.mlete mkeo hapa uniweke na mie watu judge nani yupo below standard....???unajiona matawi eeeh???
Aseee mmeanza kuwahusisha na wasio kuwemo? Not good at all!mlete mkeo hapa uniweke na mie watu judge nani yupo below standard....???unajiona matawi eeeh???
We hebu ishia huko wenzio tumetoa kiingilio hapa. Na kamari tumeshacheza.Hivi kuna nini hapa?...
Ngoja nikaandae misa ya jioni, nitarudi kesho
Hiyo ni dalili ya kushindwa, kuna ile methali ya darasa la nne B inasema mfa maji......?Aseee mmeanza kuwahusisha na wasio kuwemo? Not good at all!
You see, hiyo ndo busara sasa. Ilipaswa uitumie mapema kabisa. Hata hivyo nakupongeza kwa kufikia uamuzi huu. Ubarikiwe da Fab.sorry.msinitafutie ban buree...:embarrassed:
hapa babu itabidi ulazimishe kukagua hata kama ni ngumu bana!!:redfaces::redfaces:Hiyo ni dalili ya kushindwa, kuna ile methali ya darasa la nne B inasema mfa maji......?
atakuwa halipi.jinsi mlivyokimbilia kumdefend.....haloooooooooooooooooooooo!
wacha na yeye limuume
mipasho kuanza kaanza yeye!
Acid kaweka hii mada kistaarabu sana...ila alivyojibiwa na huyo Teamo kimipasho mipasho...sidhani kama mtu mstaarabu atapenda...
wacha na sie tumjibu kimipasho mipasho alivyozoea...
atakuwa halipi.jinsi mlivyokimbilia kumdefend.....haloooooooooooooooooooooo!
wacha na yeye limuume
mipasho kuanza kaanza yeye!
Acid kaweka hii mada kistaarabu sana...ila alivyojibiwa na huyo Teamo kimipasho mipasho...sidhani kama mtu mstaarabu atapenda...
wacha na sie tumjibu kimipasho mipasho alivyozoea...
Kwa hiyo umemsaidia Acid kujibu?atakuwa halipi.jinsi mlivyokimbilia kumdefend.....haloooooooooooooooooooooo!
wacha na yeye limuume
mipasho kuanza kaanza yeye!
Acid kaweka hii mada kistaarabu sana...ila alivyojibiwa na huyo Teamo kimipasho mipasho...sidhani kama mtu mstaarabu atapenda...
wacha na sie tumjibu kimipasho mipasho alivyozoea...