Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
binafsi nahisi watoto wamevamia humu....including walio kwenye umri wa kubaleghena watoto wa siku hizi utasema wazazi wao wapo vacation all their childhood.....kama wanajilea wenyewe vile......
mh nimesikia usingizi ghafla teamo shikamoo acid asante kwa topic nzuri naamini kuna waliolewa na watajirekebisha nilichokielewa watu wajaribu kuangalia na kufikiri wanayoweka humu kama yanajenga au kubomoa na sio kwamba anapinga haya hayafanyiki au yeye ndo msafi embu fikiria watoto wetu wa siku izi miaka kumi tayari wanaweza kutumia internet halafu anaingia humu anakutana na mada za ajabu ajabu na comments zisizoeleweka wanajifunza nini pamoja na utani na kila kitu watu wajifunze kuwa na mipaka tusifikiri kwa kujenga fikra potofu kwa vijana wengine wadogo kutasalimisha mabaya kwa mwanao nyumbani.
Napenda kusema wale ambao ni watu wazima waweke hekima na busara zao humu tujifunze kutoka kwao na kwa zile post zisizokuwa na mwelekeo ni kuignore tu au kuelekeza wapi pa kuzipeleka na sio kuzishabikia usiku mwema wapendwa bwana awe nanyi
Komredi mbona unazunguka zunguka sana...be strait bana we sema tu na wewe nikuwekee booking for Xmass!😛arty:Mzee wa discount oyeeeeeeeee!!sasa umepata nyingine kwa ajili ya Xmas au ni palepale???
Komredi mbona unazunguka zunguka sana...be strait bana we sema tu na wewe nikuwekee booking for Xmass!😛arty:
hehehehe wanafungua na matawi sa hivi ukiwa na hiyo platinum card ni ku do the nidfull popote kama NMB vile!! with discount offcoz kwa sie premium member!Soma ktkt ya mistari banaaa!!unataka nitamke kabisa???naskia saivi una platinum card yao tehe!!
why should you put in writting upuuzi unaofanya huko vichochoroni???mtu anakuja na mada ya 'sheria za infidelity'...unataka kupata nini km sio kupersuade watu wafanye upuuzi unaofanya?.......ubishi pembeni...i think theres more negative impact on this than postive.....na kama mtu umefikiria hili huwezi kuleta mada za hivi jukwaani.:teeth:
fab darling hapa we dare to talk openly jamani kama hizo habari za infii hazikufurahishi kwanini wazichungulia? kwi kwi kwi kwi jamani watu mnanifurahisha humu halafu kizuri ni kwamba habari za infi kichwa cha habari tu huwa kinaonyesha kabla hujaingia, habari hizi wote mnazipenda na ndio maana hamuishi kuzichungulia hivi unakutana na mavi unayakanyaga kwa makusudi halafu wasema yanuka mwe si uyapitie pembeni tu
Maty mpendwa naona uanataka kuamsha waliolala!!fab darling hapa we dare to talk openly jamani kama hizo habari za infii hazikufurahishi kwanini wazichungulia? kwi kwi kwi kwi jamani watu mnanifurahisha humu halafu kizuri ni kwamba habari za infi kichwa cha habari tu huwa kinaonyesha kabla hujaingia, habari hizi wote mnazipenda na ndio maana hamuishi kuzichungulia hivi unakutana na mavi unayakanyaga kwa makusudi halafu wasema yanuka mwe si uyapitie pembeni tu
hehehehe wanafungua na matawi sa hivi ukiwa na hiyo platinum card ni ku do the nidfull popote kama NMB vile!! with discount offcoz kwa sie premium member!
If you want to enjoy the discount diffent products matters!Sasa discount inatolewa ukiwa na the same product au wanaruhusu kubadili product kwa nyie Premium members???
tushaanua jamvi sorry.ulikuwa wapi?
hazinifurahishi na wala hazilengi kujenga....and that was my msimamo darling,kuchungulia hio another issue...can you prove or disaprove huwa personally nachungulia?
say it again!hahahaaaaaaaa fab bwana, umelalamika kuhusu infidelty halafu unaniuliza nawezaje kuprove kama huwa unachungulia ungewezaje kuzichukia kama huzichungulii.
conclusion:
kila anaeingia hili hapa mmu anafanya infidelity haijalishi anazini na mmoja au wawili au watatu inabakia kuwa ni kuzini tu na ndio maana majority wanapapenda. Na wanaosema humu wanaingia watoto chini ya miaka 18 hainiingii akilini, huwezi ingia humu kama huna email address na kufungua email add lazima uwe na zaidi ya miaka 18, ila kama kuna mtoto ana miaka chini ya 18 ameweza kufungua email address kwa kudanganya na ameweza kujisajiri hapa jf huyo nasema si mtoto tena ni mkubwa mwenzetu wafundisheni watoto zenu maadili msianze kulaumu watu humu na hili kila siku tunarudia mtu ukiona thread inakubore we ipotezee ipitie pembeni kama umeona ukoma sidhani kuna mtu atakuja kukulazimisha usomemimi huwa nakaa hata wiki mbili nichangii chochote nasoma tu then naishia zangu na wako wengi tu mpaka sometimes huwa tunawaulizia kama wapo huwa wanakimbia hayo hayo ila wakiona kinachowafurahisha wanaibuka wanachangia.
say it again!
hahahaaaaaaaa fab bwana, umelalamika kuhusu infidelty halafu unaniuliza nawezaje kuprove kama huwa unachungulia ungewezaje kuzichukia kama huzichungulii.
CONCLUSION:
KILA ANAEINGIA HILI HAPA MMU ANAFANYA INFIDELITY haijalishi anazini na mmoja au wawili au watatu inabakia kuwa ni kuzini tu na ndio maana majority wanapapenda. na wanaosema humu wanaingia watoto chini ya miaka 18 hainiingii akilini, huwezi ingia humu kama huna email address na kufungua email add lazima uwe na zaidi ya miaka 18, ila kama kuna mtoto ana miaka chini ya 18 ameweza kufungua email address kwa kudanganya na ameweza kujisajiri hapa JF huyo nasema si mtoto tena ni mkubwa mwenzetu wafundisheni watoto zenu maadili msianze kulaumu watu humu na hili kila siku tunarudia MTU UKIONA THREAD INAKUBORE WE IPOTEZEE IPITIE PEMBENI KAMA UMEONA UKOMA sidhani kuna mtu atakuja kukulazimisha usomemimi huwa nakaa hata wiki mbili nichangii chochote nasoma tu then naishia zangu na wako wengi tu mpaka sometimes huwa tunawaulizia kama wapo huwa wanakimbia hayo hayo ila wakiona kinachowafurahisha wanaibuka wanachangia.