Reflection: Mahusiano, Mapenzi na Urafiki - Tunaelekea wapi?

Reflection: Mahusiano, Mapenzi na Urafiki - Tunaelekea wapi?

Teamo - there is nothing for u to be sorry for!
Atleast sio kwangu....and thanx for a wise ending!
Regards to glory, wifi and the rest of the family...
 
binafsi nahisi watoto wamevamia humu....including walio kwenye umri wa kubaleghena watoto wa siku hizi utasema wazazi wao wapo vacation all their childhood.....kama wanajilea wenyewe vile......
 
binafsi nahisi watoto wamevamia humu....including walio kwenye umri wa kubaleghena watoto wa siku hizi utasema wazazi wao wapo vacation all their childhood.....kama wanajilea wenyewe vile......

Na ndio maana nasema sio lazima kila mtu aposti thread ili ajulikane unakuta mtu kwa siku ameposti thread tatu au nne lakini kati ya hizo hakuna yenye maana hata moja watu wanafikiri kupost thread kila wakati zisizo na kichwa au mguu ndio kuongeza popularity yake hapa JF ambayo kwangu naona ni kujitafutia tu cheap popularity isiyo na maana yoyote ile
 
mh nimesikia usingizi ghafla teamo shikamoo acid asante kwa topic nzuri naamini kuna waliolewa na watajirekebisha nilichokielewa watu wajaribu kuangalia na kufikiri wanayoweka humu kama yanajenga au kubomoa na sio kwamba anapinga haya hayafanyiki au yeye ndo msafi embu fikiria watoto wetu wa siku izi miaka kumi tayari wanaweza kutumia internet halafu anaingia humu anakutana na mada za ajabu ajabu na comments zisizoeleweka wanajifunza nini pamoja na utani na kila kitu watu wajifunze kuwa na mipaka tusifikiri kwa kujenga fikra potofu kwa vijana wengine wadogo kutasalimisha mabaya kwa mwanao nyumbani.
Napenda kusema wale ambao ni watu wazima waweke hekima na busara zao humu tujifunze kutoka kwao na kwa zile post zisizokuwa na mwelekeo ni kuignore tu au kuelekeza wapi pa kuzipeleka na sio kuzishabikia usiku mwema wapendwa bwana awe nanyi

mla huliwa!
 
Mzee wa discount oyeeeeeeeee!!sasa umepata nyingine kwa ajili ya Xmas au ni palepale???
Komredi mbona unazunguka zunguka sana...be strait bana we sema tu na wewe nikuwekee booking for Xmass!😛arty:
 
Komredi mbona unazunguka zunguka sana...be strait bana we sema tu na wewe nikuwekee booking for Xmass!😛arty:

Soma ktkt ya mistari banaaa!!unataka nitamke kabisa???naskia saivi una platinum card yao tehe!!
 
Soma ktkt ya mistari banaaa!!unataka nitamke kabisa???naskia saivi una platinum card yao tehe!!
hehehehe wanafungua na matawi sa hivi ukiwa na hiyo platinum card ni ku do the nidfull popote kama NMB vile!! with discount offcoz kwa sie premium member!
 
why should you put in writting upuuzi unaofanya huko vichochoroni???mtu anakuja na mada ya 'sheria za infidelity'...unataka kupata nini km sio kupersuade watu wafanye upuuzi unaofanya?.......ubishi pembeni...i think theres more negative impact on this than postive.....na kama mtu umefikiria hili huwezi kuleta mada za hivi jukwaani.:teeth:

fab darling hapa we dare to talk openly jamani kama hizo habari za infii hazikufurahishi kwanini wazichungulia? kwi kwi kwi kwi jamani watu mnanifurahisha humu halafu kizuri ni kwamba habari za infi kichwa cha habari tu huwa kinaonyesha kabla hujaingia, habari hizi wote mnazipenda na ndio maana hamuishi kuzichungulia hivi unakutana na mavi unayakanyaga kwa makusudi halafu wasema yanuka mwe si uyapitie pembeni tu
 
fab darling hapa we dare to talk openly jamani kama hizo habari za infii hazikufurahishi kwanini wazichungulia? kwi kwi kwi kwi jamani watu mnanifurahisha humu halafu kizuri ni kwamba habari za infi kichwa cha habari tu huwa kinaonyesha kabla hujaingia, habari hizi wote mnazipenda na ndio maana hamuishi kuzichungulia hivi unakutana na mavi unayakanyaga kwa makusudi halafu wasema yanuka mwe si uyapitie pembeni tu

tushaanua jamvi sorry.ulikuwa wapi?
hazinifurahishi na wala hazilengi kujenga....and that was my msimamo darling,kuchungulia hio another issue...can you prove or disaprove huwa personally nachungulia?
 
fab darling hapa we dare to talk openly jamani kama hizo habari za infii hazikufurahishi kwanini wazichungulia? kwi kwi kwi kwi jamani watu mnanifurahisha humu halafu kizuri ni kwamba habari za infi kichwa cha habari tu huwa kinaonyesha kabla hujaingia, habari hizi wote mnazipenda na ndio maana hamuishi kuzichungulia hivi unakutana na mavi unayakanyaga kwa makusudi halafu wasema yanuka mwe si uyapitie pembeni tu
Maty mpendwa naona uanataka kuamsha waliolala!!
 
hehehehe wanafungua na matawi sa hivi ukiwa na hiyo platinum card ni ku do the nidfull popote kama NMB vile!! with discount offcoz kwa sie premium member!

Sasa discount inatolewa ukiwa na the same product au wanaruhusu kubadili product kwa nyie Premium members???
 
Sasa discount inatolewa ukiwa na the same product au wanaruhusu kubadili product kwa nyie Premium members???
If you want to enjoy the discount diffent products matters!
 
tushaanua jamvi sorry.ulikuwa wapi?
hazinifurahishi na wala hazilengi kujenga....and that was my msimamo darling,kuchungulia hio another issue...can you prove or disaprove huwa personally nachungulia?

hahahaaaaaaaa fab bwana, umelalamika kuhusu infidelty halafu unaniuliza nawezaje kuprove kama huwa unachungulia ungewezaje kuzichukia kama huzichungulii.

CONCLUSION:
KILA ANAEINGIA HILI HAPA MMU ANAFANYA INFIDELITY haijalishi anazini na mmoja au wawili au watatu inabakia kuwa ni kuzini tu na ndio maana majority wanapapenda. na wanaosema humu wanaingia watoto chini ya miaka 18 hainiingii akilini, huwezi ingia humu kama huna email address na kufungua email add lazima uwe na zaidi ya miaka 18, ila kama kuna mtoto ana miaka chini ya 18 ameweza kufungua email address kwa kudanganya na ameweza kujisajiri hapa JF huyo nasema si mtoto tena ni mkubwa mwenzetu wafundisheni watoto zenu maadili msianze kulaumu watu humu na hili kila siku tunarudia MTU UKIONA THREAD INAKUBORE WE IPOTEZEE IPITIE PEMBENI KAMA UMEONA UKOMA sidhani kuna mtu atakuja kukulazimisha usomemimi huwa nakaa hata wiki mbili nichangii chochote nasoma tu then naishia zangu na wako wengi tu mpaka sometimes huwa tunawaulizia kama wapo huwa wanakimbia hayo hayo ila wakiona kinachowafurahisha wanaibuka wanachangia.
 
hahahaaaaaaaa fab bwana, umelalamika kuhusu infidelty halafu unaniuliza nawezaje kuprove kama huwa unachungulia ungewezaje kuzichukia kama huzichungulii.

conclusion:
kila anaeingia hili hapa mmu anafanya infidelity haijalishi anazini na mmoja au wawili au watatu inabakia kuwa ni kuzini tu na ndio maana majority wanapapenda. Na wanaosema humu wanaingia watoto chini ya miaka 18 hainiingii akilini, huwezi ingia humu kama huna email address na kufungua email add lazima uwe na zaidi ya miaka 18, ila kama kuna mtoto ana miaka chini ya 18 ameweza kufungua email address kwa kudanganya na ameweza kujisajiri hapa jf huyo nasema si mtoto tena ni mkubwa mwenzetu wafundisheni watoto zenu maadili msianze kulaumu watu humu na hili kila siku tunarudia mtu ukiona thread inakubore we ipotezee ipitie pembeni kama umeona ukoma sidhani kuna mtu atakuja kukulazimisha usomemimi huwa nakaa hata wiki mbili nichangii chochote nasoma tu then naishia zangu na wako wengi tu mpaka sometimes huwa tunawaulizia kama wapo huwa wanakimbia hayo hayo ila wakiona kinachowafurahisha wanaibuka wanachangia.
say it again!
 
say it again!


hao wanaoli2pia madongo wanakuja kufanya nn? 2achieni wenyewe 2foramike na raha za hapa MMU kinachoshangaza wanaolalamika kutwa kuchungulia humu kwi kwi kwi mwafata ni kama hamvutiwi na habar za humu hapa pana ulimbo bana. Nasema hv kila anaechungulia humu na kupost chochote anapapenda so usilalamike mpendwa jiviringishe sarakasi za raha jiachie jipe maraha maisha mafupi mwe
 
hahahaaaaaaaa fab bwana, umelalamika kuhusu infidelty halafu unaniuliza nawezaje kuprove kama huwa unachungulia ungewezaje kuzichukia kama huzichungulii.

CONCLUSION:
KILA ANAEINGIA HILI HAPA MMU ANAFANYA INFIDELITY haijalishi anazini na mmoja au wawili au watatu inabakia kuwa ni kuzini tu na ndio maana majority wanapapenda. na wanaosema humu wanaingia watoto chini ya miaka 18 hainiingii akilini, huwezi ingia humu kama huna email address na kufungua email add lazima uwe na zaidi ya miaka 18, ila kama kuna mtoto ana miaka chini ya 18 ameweza kufungua email address kwa kudanganya na ameweza kujisajiri hapa JF huyo nasema si mtoto tena ni mkubwa mwenzetu wafundisheni watoto zenu maadili msianze kulaumu watu humu na hili kila siku tunarudia MTU UKIONA THREAD INAKUBORE WE IPOTEZEE IPITIE PEMBENI KAMA UMEONA UKOMA sidhani kuna mtu atakuja kukulazimisha usomemimi huwa nakaa hata wiki mbili nichangii chochote nasoma tu then naishia zangu na wako wengi tu mpaka sometimes huwa tunawaulizia kama wapo huwa wanakimbia hayo hayo ila wakiona kinachowafurahisha wanaibuka wanachangia.

leo sijisikii kuendesha ligi lisilo na kombe dear....
kusoma humu nitasoma na nitachangia kadri navyopenda,hakuna wa kunizuia....nani kasema unachangia mada zinazokufurahisha tu???labda wewe...mie nachangia na mada zinazonikera pia,
sijui kwa nini umesema kila anayeingia hapa MMU anafanya infidelity,umeshafanya uchunguzi wowote??? kwa nini umefikia this conclusion??pole kama umeendeshwa into thinking...hakuna decent men and women here...i believe there is a lot here!ME INCLUDED...unless una proof uliona mahali nikifanya hio kitu inaitwa infidelity...
sijui kwa nini umeingiza swala la kuzini hapo,sijui kama unaelewa kuzini na infidelity ni vitu viwili tofauti???...elewa maana kwanza ya infidelity then tutayaongea zaidi if you wish!

bado huwezi kuprove kama nachungulia au la mada za infidelity...hio inabaki kama ilivyo!
 
jamani this is likizo time, mmesahahu??? mmm topic kama hizo zitakuja nyingi.
 
Back
Top Bottom