Last Seen
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 229
- 566
Habari za Saizi wana jukwaa.
Nimeleta mada hapa jukwaani nikiamini mamlaka husika wataona na kulishughulikia haraka.
Ni zaidi za miezi kadhaa imepita dogo alinigusia habari kuwa alikuwa amelipa ada na amemaliza ada yote lakini baadae alikuja kujua kuwa bodi pia walimlipia kiasi cha ada, na hakuwa peke yake ni zaidi ya wanafunzi 300+ walilipiwa ada wakiwa washamaliza ada.
Jitihada za kupata hizo pesa zao imekuwa changamoto na kila siku wanapigwa kalenda. Waliahidiwa kabla ya tarehe 10/9/2023 lakini hawajapatiwa.
Mamlaka husika iingilie kati pesa za vijana zipatikane kwa wakati.
Nimeleta mada hapa jukwaani nikiamini mamlaka husika wataona na kulishughulikia haraka.
Ni zaidi za miezi kadhaa imepita dogo alinigusia habari kuwa alikuwa amelipa ada na amemaliza ada yote lakini baadae alikuja kujua kuwa bodi pia walimlipia kiasi cha ada, na hakuwa peke yake ni zaidi ya wanafunzi 300+ walilipiwa ada wakiwa washamaliza ada.
Jitihada za kupata hizo pesa zao imekuwa changamoto na kila siku wanapigwa kalenda. Waliahidiwa kabla ya tarehe 10/9/2023 lakini hawajapatiwa.
Mamlaka husika iingilie kati pesa za vijana zipatikane kwa wakati.