Regina Daniels(18), Living her best life with her 59 Billionare husband .

Regina Daniels(18), Living her best life with her 59 Billionare husband .

Katika kitu kinanikwazaga kwa wanawake hi hichi ninacho kiona hapa.
Kwann nyie viumbe mmekuwa wakuangalia sana hela.

Hivi duniani kusingekuwa na hela?
Mngefuata nn kwa mwanaume?

Ndio mana malipo ya mabaya huwa hapahapa duniani.

What goes around?

BR
Uduzungwa
 
Hujawah weka wazi gender yako ...

Huwa unazua sana maswal mkuu wangu warumi ...
Ila ameweka image ya mwanaume kwenye profile,
Namshauri aiweke yoyote ya KE yenye chura vinginevyo ataitwa ME mpaka atajikuta amegeuka kuwa!
 
Katika kitu kinanikwazaga kwa wanawake hi hichi ninacho kiona hapa.
Kwann nyie viumbe mmekuwa wakuangalia sana hela.

Hivi duniani kusingekuwa na hela?
Mngefuata nn kwa mwanaume?

Ndio mana malipo ya mabaya huwa hapahapa duniani.

What goes around?

BR
Uduzungwa
Hawa walianza since cave-men time[emoji3][emoji3] walikuwa wanawakimbilia wenye mapango mazuri[emoji23][emoji23] usimlaum ndio nature yao, Tafuta pesa bro
 
Dada warumi namshauri ata akipata mwingine pia aolewe, life is too short
Dada warumi mbona Jackline aliolewa na Reginald Mengi wakati huo Mzee wetu akiwa na zaidi ya 65? ajabu ipo wapi acheni ale bata mtoto wa watu
akili mkichwa km ana kamchepuko atajijua katika hao wake 5
 
Picha
1109209


1109210
 
Staa kutoka kiwanda cha Nollywood , Regina Daniels , Ameshangaza ulimwengu kwa kitendo chake cha kuolewa na Mzee wa miaka 59 , huku yeye akiwa na miaka 18 tu ambayo alitimiza Mwaka jana october. Mrembo huyo mwenye Mvuto wa aina yake, ameolewa akiwa mke wa sita wa Billionare huyo Mr Nokwo.

Unaambiwa Regina anamiliki Mansion za kutosha huko nchini Nigeria kwenye jiji la Abuja, maeneo ya Lekki phase 1, mitaa wanaokaa mabillionea wa kutupwa.

Regina amekua akila bata sehemu mbali mbali duniani na kuishi maisha ya kifahari pengine kuliko staa yeyote Nigeria kwa sasa

Either wanazengo wamekua wakimnanga staa huyo wa film kwa kumwambia kuwa amekosa aibu kuolewa na mtu mwenye rika la babu yake.View attachment 1108216View attachment 1108217View attachment 1108218View attachment 1108219View attachment 1108220
Hakuna cha kushangaa, hakuna mwanamke anaweza kukataa kupewa mali zote hizo(especially wanawake born in the 90s kwenda juu)
 
Niliona ana tambulishwa wake wenzie dah
1109236

1109240

Daaah ! Mamaeee, huyu Mtoto mbona kajipeleka kwa Mbabane, mabaharia tunakosea wapi
mbona wa kawaida tu, ni haya ma-make-up ndiyo yanayomfanya pretty
huku tuna kina Lulu, wema na wengineo km Jack Mengi enzi zake
1109241

na alishakuwa na mcheza picha mwenzake wakitoka mpaka wakamuhisi amejaa lakin kibopa akaoa na kuweka ndani
 
Back
Top Bottom