Regina Daniels(18), Living her best life with her 59 Billionare husband .

Katika kitu kinanikwazaga kwa wanawake hi hichi ninacho kiona hapa.
Kwann nyie viumbe mmekuwa wakuangalia sana hela.

Hivi duniani kusingekuwa na hela?
Mngefuata nn kwa mwanaume?

Ndio mana malipo ya mabaya huwa hapahapa duniani.

What goes around?

BR
Uduzungwa
 
Hujawah weka wazi gender yako ...

Huwa unazua sana maswal mkuu wangu warumi ...
Ila ameweka image ya mwanaume kwenye profile,
Namshauri aiweke yoyote ya KE yenye chura vinginevyo ataitwa ME mpaka atajikuta amegeuka kuwa!
 
Hawa walianza since cave-men time[emoji3][emoji3] walikuwa wanawakimbilia wenye mapango mazuri[emoji23][emoji23] usimlaum ndio nature yao, Tafuta pesa bro
 
Dada warumi namshauri ata akipata mwingine pia aolewe, life is too short
Dada warumi mbona Jackline aliolewa na Reginald Mengi wakati huo Mzee wetu akiwa na zaidi ya 65? ajabu ipo wapi acheni ale bata mtoto wa watu
akili mkichwa km ana kamchepuko atajijua katika hao wake 5
 
Hakuna cha kushangaa, hakuna mwanamke anaweza kukataa kupewa mali zote hizo(especially wanawake born in the 90s kwenda juu)
 
Niliona ana tambulishwa wake wenzie dah


Daaah ! Mamaeee, huyu Mtoto mbona kajipeleka kwa Mbabane, mabaharia tunakosea wapi
mbona wa kawaida tu, ni haya ma-make-up ndiyo yanayomfanya pretty
huku tuna kina Lulu, wema na wengineo km Jack Mengi enzi zake

na alishakuwa na mcheza picha mwenzake wakitoka mpaka wakamuhisi amejaa lakin kibopa akaoa na kuweka ndani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…