Kwenye haya maisha kuna uncertainties nyingi, Leo ww tajiri, kesho ww kapuku, reginald mengi angefilisika, angechekwa na kusemwa vibaya na hao hao watu aliokuwa anawasaidia..
Wanasema ukisaidia MTU maskini Kwa kumpa pesa ndo unabarikiwa, ila kiuhalisia haiko hivo, ukisaidia mtu maskini kwa kumpa pesa, ndo unapungukiwa na kuishiwa, ukitoa elf 10 ndo imeenda iyo hairudi..
Kikubwa, MTU ukiwa tajiri, ni vizuri usisaidie mtu yoyote kwenye maswala ya pesa, saidia mkeo ulie nae kwenye ndoa, na wanao tu..ndugu na watu wengine wakifa kwa njaa, au wakifa kwa kukosa elf 5 ya dawa, sawa tu..
Wanasema ukisaidia MTU maskini Kwa kumpa pesa ndo unabarikiwa, ila kiuhalisia haiko hivo, ukisaidia mtu maskini kwa kumpa pesa, ndo unapungukiwa na kuishiwa, ukitoa elf 10 ndo imeenda iyo hairudi..
Kikubwa, MTU ukiwa tajiri, ni vizuri usisaidie mtu yoyote kwenye maswala ya pesa, saidia mkeo ulie nae kwenye ndoa, na wanao tu..ndugu na watu wengine wakifa kwa njaa, au wakifa kwa kukosa elf 5 ya dawa, sawa tu..