X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
kama umewahi kushika hata milioni yakwako tu mimi nakuwa dog kabisa... 🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila mimi ndo ni a shida ziadi mkuuAanze kuzigawa hapa kwa waliocomment kwenye huu uzi
R.I.PMods tafadhali msifute huu uzi wangu hili kuwapa funzo watumishi wa umma wapya wanaongia kwenye utumishi wa umma kwa lengo la kujitajirisha kuliko kuwahudumia wananchi
Mie ni mtumishi wa umma makao ya nchi kiukweli siku za hapa karibuni nimekuwa na majuto ambaye yanapelekea ufanisi wangu wa kazi kusshuka siku baada ya siku aiseee nakiri from chamber my heart Nimekuwa mla rushwa wa kupindukia within 3 year ya utumishi nimejilimbikiza pesa za kutosha kupitia talkrima mpaka najuta aisee
Yaani kwa mwezi kuingiza milioni 20 za rushwa na ujinga ujinga ni kawaida kupitia ndani ya miaka nimweweza kujenga vitega uchumi vingi sana isee nimealbort sana,nimeiba dawa sana,nimefanya majungu sana mpaka imepelea baadhi ya watu kufukuzwa kwa sababu ya majungu yangu wakuu
Mpaka sasa ninafikiria kutoa mamilioni yangu kwa watu wenye uhitaji ili niwe clean ili niweze kupata amani ya moyo na roho na nafsi aisee9# dunia tunapital_ sam mpangala#[emoji1781][emoji1781][emoji31][emoji31][emoji31]
This regression indeedl! Najuta sana mmmmmh
Mi nilidhani matatizo aliyonayo yamemchanganya, kumbe lugha ya malkia haimpendi [emoji3]Unajua kabisa Kingereza hakikupendi, si uandike Kiswahili tu!
Mi nilidhani matatizo aliyonayo yamemchanganya, kumbe lugha ya malkia haimpendi [emoji3]Unajua kabisa Kingereza hakikupendi, si uandike Kiswahili tu!
Kama hii sio Chai, basi Ungo unakufaa kuwa Chombo chako cha usafiri Mkuu.nimefanya majungu sana mpaka imepelea baadhi ya watu kufukuzwa kwa sababu ya majungu yangu wakuu
Patana na mshitaki wako angali mkiwa pamoja asije akakufikisha kwa hakimu ukahukumiwa. By Bible. Tafuta wale uliosababishia majungu uwape baadhi ya hela na kuwaomba msamaha. Ukiona Roho inakuuma ujue Mungu anakupenda anakuhtaji utubu na kurudi.Mods tafadhali msifute huu uzi wangu hili kuwapa funzo watumishi wa umma wapya wanaongia kwenye utumishi wa umma kwa lengo la kujitajirisha kuliko kuwahudumia wananchi
Mie ni mtumishi wa umma makao ya nchi kiukweli siku za hapa karibuni nimekuwa na majuto ambaye yanapelekea ufanisi wangu wa kazi kusshuka siku baada ya siku aiseee nakiri from chamber my heart Nimekuwa mla rushwa wa kupindukia within 3 year ya utumishi nimejilimbikiza pesa za kutosha kupitia talkrima mpaka najuta aisee
Yaani kwa mwezi kuingiza milioni 20 za rushwa na ujinga ujinga ni kawaida kupitia ndani ya miaka nimweweza kujenga vitega uchumi vingi sana isee nimealbort sana,nimeiba dawa sana,nimefanya majungu sana mpaka imepelea baadhi ya watu kufukuzwa kwa sababu ya majungu yangu wakuu
Mpaka sasa ninafikiria kutoa mamilioni yangu kwa watu wenye uhitaji ili niwe clean ili niweze kupata amani ya moyo na roho na nafsi aisee9# dunia tunapital_ sam mpangala#🤥🤥😫😫😫
This regression indeedl! Najuta sana mmmmmh