Regression: Rushwa ilivyonitajirisha, stress na depression zinanitesa mniombee

Regression: Rushwa ilivyonitajirisha, stress na depression zinanitesa mniombee

kama sijakosea wiki chache zilizopita ni kama alikuja na uzi wa kudharau wasio na pesa ni kama wazembe! na akajitambulisha yeye ni mkunga wa kwanza kuwa na fedha nyingi? sijui ni huyu? wale mnaokumbuka hebu tasaidieni.
 
Mods tafadhali msifute huu uzi wangu hili kuwapa funzo watumishi wa umma wapya wanaongia kwenye utumishi wa umma kwa lengo la kujitajirisha kuliko kuwahudumia wananchi

Mie ni mtumishi wa umma makao ya nchi kiukweli siku za hapa karibuni nimekuwa na majuto ambaye yanapelekea ufanisi wangu wa kazi kusshuka siku baada ya siku aiseee nakiri from chamber my heart Nimekuwa mla rushwa wa kupindukia within 3 year ya utumishi nimejilimbikiza pesa za kutosha kupitia talkrima mpaka najuta aisee

Yaani kwa mwezi kuingiza milioni 20 za rushwa na ujinga ujinga ni kawaida kupitia ndani ya miaka nimweweza kujenga vitega uchumi vingi sana isee nimealbort sana,nimeiba dawa sana,nimefanya majungu sana mpaka imepelea baadhi ya watu kufukuzwa kwa sababu ya majungu yangu wakuu

Mpaka sasa ninafikiria kutoa mamilioni yangu kwa watu wenye uhitaji ili niwe clean ili niweze kupata amani ya moyo na roho na nafsi aisee9# dunia tunapital_ sam mpangala#[emoji1781][emoji1781][emoji31][emoji31][emoji31]

This regression indeedl! Najuta sana mmmmmh
R.I.P
 
Mods tafadhali msifute huu uzi wangu hili kuwapa funzo watumishi wa umma wapya wanaongia kwenye utumishi wa umma kwa lengo la kujitajirisha kuliko kuwahudumia wananchi

Mie ni mtumishi wa umma makao ya nchi kiukweli siku za hapa karibuni nimekuwa na majuto ambaye yanapelekea ufanisi wangu wa kazi kusshuka siku baada ya siku aiseee nakiri from chamber my heart Nimekuwa mla rushwa wa kupindukia within 3 year ya utumishi nimejilimbikiza pesa za kutosha kupitia talkrima mpaka najuta aisee

Yaani kwa mwezi kuingiza milioni 20 za rushwa na ujinga ujinga ni kawaida kupitia ndani ya miaka nimweweza kujenga vitega uchumi vingi sana isee nimealbort sana,nimeiba dawa sana,nimefanya majungu sana mpaka imepelea baadhi ya watu kufukuzwa kwa sababu ya majungu yangu wakuu

Mpaka sasa ninafikiria kutoa mamilioni yangu kwa watu wenye uhitaji ili niwe clean ili niweze kupata amani ya moyo na roho na nafsi aisee9# dunia tunapital_ sam mpangala#🤥🤥😫😫😫

This regression indeedl! Najuta sana mmmmmh
Patana na mshitaki wako angali mkiwa pamoja asije akakufikisha kwa hakimu ukahukumiwa. By Bible. Tafuta wale uliosababishia majungu uwape baadhi ya hela na kuwaomba msamaha. Ukiona Roho inakuuma ujue Mungu anakupenda anakuhtaji utubu na kurudi.
 
Njooo Na Sadaka Yako Jumapili Ijayo Kanisani Kwetu Tufanye Maombi Mazito Ya Kukanyaga Nyoka Na Ng'e. Kwasasa Huwezi Pata Amani
 
Back
Top Bottom