We acha tu!!Nahisi utakuwa ni huo mti mkuu coz bado naskia harufu yake hapa nilipo aseee.
Sasa huu mti MKENGE kuna sehem huwa unaingizwa basi ukiingizwa hiyo sehem maumivu yake ni makali kupita kiasi.
Ni hatari sana kwa kweli.
We acha tu!!
Kutoka NDUKI sii ujinga ujue!!
Shauri yao wanaoendelea kushangaashangaa, wataingizwa nakwambia'!!!
Very fishy!![emoji2] [emoji2]Ha ha ha nusa vizur is it fishy?