ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Mimi nakaa pale kuangalia mtanange wanavyokuogesha matusi 🤣🤣Hapa tunaongelea mambo 10 ya Mh. Samia Suluhu. Wewe maoni yako ni yapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nakaa pale kuangalia mtanange wanavyokuogesha matusi 🤣🤣Hapa tunaongelea mambo 10 ya Mh. Samia Suluhu. Wewe maoni yako ni yapi?
Sasa rahisi anahusika vipi kupewa pongezi na kusema kaandika rekodi wakati pesa zilizotumika ni kodi za wananchiHazikuwepo za kutosha
Je, unaona Demokrasia ilivyoendelea hapa TZ?Mimi nakaa pale kuangalia mtanange wanavyokuogesha matusi 🤣🤣
Miaka yote hakukuwa na Kodi za Wananchi?Sasa rahisi anahusika vipi kupewa pongezi na kusema kaandika rekodi wakati pesa zilizotumika ni kodi za wananchi
Na hapa kuna rekodi nyingine ambayo sifikirii kama itawekwa kwenye list yako
Upuuzi wa hali ya juu, maji yalitakiwa yawe tayari mda mrefu kwa Watanzania wa sehemu kubwa nchini, baada tu ya UHURU.
Huu ndio uzi bora kabisa. Ni watu wenye akili tu wanauelewa. Wengine hawawezi kuelewaUpuuzi wa hali ya juu, maji yalitakiwa yawe tayari mda mrefu kwa Watanzania wa sehemu kubwa nchini, baada tu ya UHURU.
Tuambie nani amechelewesha maji ,chama? na nani ameleta hayo maji chama ??
Ni CCM hao hao ambao wameshindwa kimsingi muda mrefu wa uwepo madarakani.
Umeandika as if upinzani ulishika Dola then ukatoka ikaingia CCM ikaja kutatua tatizo, kumbe ni CCM ileile.
NI UZI WA KIJINGA kwangu Toka mwaka uanze!
by the way, pesa bya hayo mambo ni KODI ZA WATZ.
Ni UHARO BORA SANAHuu ndio uzi bora kabisa. Ni watu wenye akili tu wanauelewa. Wengine hawawezi kuelewa