Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja wakusikie wala mihogoKlabu ya soka Tanzania kutoa mchezaji wa kuitwa national team..Kwa timu ambayo iko ranked na FIFA no 2 Africa??
Hii rekodi inaweza isivunjwe kabisa Kwa mda mrefu sana......au isivunjwe kabisa...
Hiki ni kiwanda kingine cha uongo. Chama hakuwa benchi?Kuitwa si ishu je? Anacheza (Jana sikumuona chama hata bench)
Hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kupuuza huo wito wa Sakho. HakunaKweli kabisa Ni jambo kubwa lakini naona Kama watu wanalichukulia poa na hata Simba wenyewe..
Ila musonda ulimuonaKuitwa si ishu je? Anacheza (Jana sikumuona chama hata bench)
Social skills hizo mzee. Nalo hilo unataka uelekezwe?Kuna wachezaji wanaitwa timu ya taifa kucheza soka kuna wengine wanaitwa kwenda kuwa stage show a.k.a Mr Nice.
Anywayshongera ni rekodi pia
Inaanzia kwa media, mambo ya Simba wanayafifisha kwa maksudi ndiyo maana unaona hivyo. Na wanaSimba pia wamezoea mambo makubwa kwa hiyo wanaona siyo ishu.Kweli kabisa Ni jambo kubwa lakini naona Kama watu wanalichukulia poa na hata Simba wenyewe..
Amesema ni yeye hakumuona kwahiyo huwezi jua labda ana makengezaHiki ni kiwanda kingine cha uongo. Chama hakuwa benchi?
Kwanini umewaza miaka 20 ina maana soka la bongo lita baki hivi hivi kwa miaka 20?Klabu ya soka Tanzania kutoa mchezaji wa kuitwa national team..Kwa timu ambayo iko ranked na FIFA no 2 Africa??
Hii rekodi inaweza isivunjwe kabisa Kwa mda mrefu sana......au isivunjwe kabisa...
Au ikavunjwa na Simba yenyeweHii rekodi inaweza isivunjwe kabisa Kwa mda mrefu sana......au isivunjwe kabisa...
Klabu ya soka Tanzania kutoa mchezaji wa kuitwa national team kwa timu ambayo iko ranked na FIFA no 2 Africa?
Hii rekodi inaweza isivunjwe kabisa Kwa mda mrefu sana au isivunjwe kabisa.
za chini ya kapeti kwa mujibu wa ambangile jamaa anaitwa kimchongo kuna mabosi nyuma ya jamaa wanatengeneza mazingira ili waje kupiga pesa ufaransa huko,ila hana kiwango cha kuitwa Senegal,huyo na nkane ni sawa tu
Klabu ya soka Tanzania kutoa mchezaji wa kuitwa national team kwa timu ambayo iko ranked na FIFA no 2 Africa?
Hii rekodi inaweza isivunjwe kabisa Kwa mda mrefu sana au isivunjwe kabisa.