Stratopause
JF-Expert Member
- Mar 26, 2023
- 751
- 1,461
Inabidi wanajeshi wabongo wajiandae wawe na hasira ya kwenda kupambana zaidi uko congo kivu that's soldier stufff
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni rekodi mpya 20251, Misri hawa kutokana na kuwa imezungukwa na nchi za mashariki ya kati zenye mizozo ya mara kwa mara ni lazima bajeti kubwa ielekezwe huko ili kujihakikishia usalama wake,,
2,7,11 hawa sina neno juu yao maana tangu ukuaji wangu sijawahi kusikia lolote juu ya kuhusika kwao na mizozo yoyote ya kivita,,
3, Hapana (kipimo ni namna gani Boko Haram wanadhibitisha hilo)
4, Kama watakuwa hapo namba nne maana yake ilitakiwa Tanzania tuwe namba tatu au mbili kabisa,,
5, Inawezekana ndio lakini mbona wameshindwa kuukabili mzozo wa Tigrey,,?
6, Yap nadhani wanastahili hata kuwa juu ya hapo maana Jonas Savimbi aliwapa darasa na wamejifunza namna gani nchi inatakiwa kuwa na jeshi imara,,
8, Acha utani Mshana Jr
9, Pengine sijajua hizi takwimu ni za mwaka gani lakini kile kinachoendea leo Sudan hawastahili kuwa humu
10, R.i.p Gaddafi mabwanyenye hawakutaka kuona unakuwa na jeshi la ndoto zako, jeshi la kusimamia na kulinda maslahi ya nchi zote za kiislamu na mashariki ya kati kwa ujumla,,
12, Mkuu Mshana Jr ficha hii Al Shabab wasije wakaona itakua msala kwa majirani,, hawajiwezi kwa lolote wale jirani zetu,,
13, ?
14, Yanayoendelea huko Cabo Delgado yanafikirisha,, sidhani kama wastahili kuwa hapo,,
15, ?
Rekodi haijazungumzia umahiri bali ukubwa1, Misri hawa kutokana na kuwa imezungukwa na nchi za mashariki ya kati zenye mizozo ya mara kwa mara ni lazima bajeti kubwa ielekezwe huko ili kujihakikishia usalama wake,,
2,7,11 hawa sina neno juu yao maana tangu ukuaji wangu sijawahi kusikia lolote juu ya kuhusika kwao na mizozo yoyote ya kivita,,
3, Hapana (kipimo ni namna gani Boko Haram wanadhibitisha hilo)
4, Kama watakuwa hapo namba nne maana yake ilitakiwa Tanzania tuwe namba tatu au mbili kabisa,,
5, Inawezekana ndio lakini mbona wameshindwa kuukabili mzozo wa Tigrey,,?
6, Yap nadhani wanastahili hata kuwa juu ya hapo maana Jonas Savimbi aliwapa darasa na wamejifunza namna gani nchi inatakiwa kuwa na jeshi imara,,
8, Acha utani Mshana Jr
9, Pengine sijajua hizi takwimu ni za mwaka gani lakini kile kinachoendea leo Sudan hawastahili kuwa humu
10, R.i.p Gaddafi mabwanyenye hawakutaka kuona unakuwa na jeshi la ndoto zako, jeshi la kusimamia na kulinda maslahi ya nchi zote za kiislamu na mashariki ya kati kwa ujumla,,
12, Mkuu Mshana Jr ficha hii Al Shabab wasije wakaona itakua msala kwa majirani,, hawajiwezi kwa lolote wale jirani zetu,,
13, ?
14, Yanayoendelea huko Cabo Delgado yanafikirisha,, sidhani kama wastahili kuwa hapo,,
15, ?
Ina maana vifaa pekee sio kipimo cha kukabiliana na maadui au machafuko.Rekodi haijazungumzia umahiri bali ukubwa
NB : orodha hii inatokana na idadi ya Vifaa vya Kisasa, Maendeleo ya Teknolojia ya Kijeshi, ndege, mizinga na mchango wa jumla kwa UN.
Unamaanisha wale wanaodeki barabara Mange Kimambi akiitisha maandamano?Vipi wale wa pale Taifa wanaopasua mawe na kuruka na Harmonize 😂
DRC ganii pumbavuuuu
Ni rekodi mpya 2025