Hahhaahahh....mimi kwenye zote ulizotaja siwezi kua wa kwanza!
Labda ntakua wa kwanza kusomea nlichosemea...
Hahahhahah hivyo vyote wakubwa wangu wamenipiku....Ohhhhh nimekumbuka nadhani ntakua wa kwanza kutumia hii simu yangu....KUNA REKODI NYINGI SANA
labda we ndo wa kwanza kwenye ukoo kuwa na line tatu za simu lol
au kumiliki lap top lol
jichunguze...lol
Mimi babu yangu alikua wa kwanza kwenye ukoo wao kuoa muislamu...babangu alikuwa mtu wa kwanza kujenga nyumba na kuezeka kwa bati kijijini kwao,mpaka leo kijiji kinaitwa kijiji cha bati
ha ha haa haaa blacberry sio???hongera saana....
Swali ni hili je wewe mwana jf kwenye ukoo wenu una rekodi gani unashikilia???????????????????lol
msione aibu hebu mje share na sisi hapa???????
Blackberry wapiiii....kimeo flani hivi!
Mimi nashikilia rekodi ya kufeli darasa la saba, kufeli fom foo, kufeli fom siksi na hatimaye kupata bahati ya kuja ughaibuni (kwa kutumia bank statements za Salamander) na kuwa wa kwanza katika familia kuwa mbeba maboksi.
Hhahah utaiweza mikikimikiki yake???umeona sasa rekodi tunazo nyingi sana...
mimi nataka niweke rekodi ya kuwa na wake watatu kwa mpigo,kwetu hakuna aliye wahi..
wengi wameishia wawili tu lol
Android LG.....
Utaniambia ukifanikiwa na mimi nifanye ubunifu wangu....mwaka huu lazima nikienda xmass waniongelee sana!!si ndio maana nikiweza nitakuwa nimeweka rekodi....