The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Inachekesha lakini hii kitu ipo sana....
Unakuta kuna mtu anaheshimika mno kwenye ukoo wao...
Ukiuliza unapata majibu very interesting....
Mimi huwa naaita kuweka rekodi kwenye ukoo..lol
utakuta mtu anaheshimika kwa kuwa kwenye ukoo yeye alikuwa
1.wa kwanza kufika daresalaam.
2.kufika chuo kikuu
3.kwenda ulaya...
4kupanda ndege na kadhalika .......
Swali ni hili je wewe mwana jf kwenye ukoo wenu una rekodi gani unashikilia???????????????????lol
msione aibu hebu mje share na sisi hapa???????
Unakuta kuna mtu anaheshimika mno kwenye ukoo wao...
Ukiuliza unapata majibu very interesting....
Mimi huwa naaita kuweka rekodi kwenye ukoo..lol
utakuta mtu anaheshimika kwa kuwa kwenye ukoo yeye alikuwa
1.wa kwanza kufika daresalaam.
2.kufika chuo kikuu
3.kwenda ulaya...
4kupanda ndege na kadhalika .......
Swali ni hili je wewe mwana jf kwenye ukoo wenu una rekodi gani unashikilia???????????????????lol
msione aibu hebu mje share na sisi hapa???????