Reli ya Kenya yaanza kupumulia mashine

Ningekua Rais kazi zangu zote zingekua zinafanywa na Wajerumani
 
changamoto za kawaida...hata marekani hii inatendeka
 
Mkuu ungekaa kimya tuwaachie wenyewe matatizo waliyoyatafuta iyo reli haina muda tuta litaondoka patabaki mavyuma na siku ya pili tutaona maroli yanaingia kwetu kuleta sklepa mchina kawafanya vibaya sana majirani zetu.
 

njooni muone hukuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!

CC:
nomasana, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican, Ngongo, Ab_Titchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Ngongo, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham, Mzee, mombasite gabriel, Juakali1980, Boda254, mwaswast, MwendaOmo, Iconoclastes, oneflash, Kambalanick, 1 Africa, saadeque, burukenge, nyangau mkenya, Teen-Upperhill Nairobi, kadoda11
 
Hiii ni mvua ya 2015 ata kabla ianze kazi.
 
nkt..nmedhani kuna jambo la maana kumbe ni haya yatokea sijui mwaka gani
 
tutumie picha za sasa ivi za sehemu izo ..

please tupe current photo ili tuamini
 
Tatizo sio mchina, tatizo ni Kenyata! Alitaka apate pesa ya kufanya campaign Na kuiba kura, mwisho wa siku ndo hii kitu wananchi wanaona et SGR train!!! Wakati ni old fashioned train with a steam engine!!!! KE'ss mmeingizwa chaka ya hataree!!!
 
Mkuu ungekaa kimya tuwaachie wenyewe matatizo waliyoyatafuta iyo reli haina muda tuta litaondoka patabaki mavyuma na siku ya pili tutaona maroli yanaingia kwetu kuleta sklepa mchina kawafanya vibaya sana majirani zetu.
Hii reli yao ni wizi mtupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…