kilam
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 2,092
- 2,128
Jipe moyo tu, mtabana mtaachia sisi tunasonga mbele.just curious, nimeona Tz wamepachika kwa mabango vikingi vya reli stima, ebu kwa sababu najua wewe msafiri mara kwa mara hukooo tanganyika. Na unao ufahamu kiasi, moto wa stima watatoa wapi kwani mara ya mwisho niliona wakisema Dar kila biashara lazima generator ya kando!!! Is this a joke of century!!