Reli ya standard gauge ya Rwanda na Tanzania ni kaburi la uchumi wa Tanzania

Reli ya standard gauge ya Rwanda na Tanzania ni kaburi la uchumi wa Tanzania

Mtoa mada katoa mada nzuri tu japo kuna wenzi wetu wana mkosoa

Nilivyoelewa point kuu ni kwamba hakatai kujengwa reli, ila ingeangalia ina athari zipi za kiuchumi kwa kuunganisha na nchi hiyo, na ametoa mapendekezo afadhali tungejenga aina hiyo ya reli na Kenya sababu tunafanya nao biashara kubwa kubwa au kukarabati reli ya Tazara na kuwa standard gauge tungelisha ukanda huo wenye mizigo mingi na ni nchi kubwa

Na hofu yake nyingine mtoa mada isije kuwa Rwanda akatumia reli hii kupata rasilimali zetu hapa refer DRC

Mtoa mada ana hoja sema muda unataka tuwe connected na wenzetu labda na inchi nyingine muda ukifika tuta unganishwa nao na bila kusahau reli itasaidia ukanda wa nchi yetu sehemu za kati mpaka magharibi na kuna shughuli nyingi za kiuchumi

Kinachonikera kuhusu haya ma reli na ndege ni kupewa kipaumbele kwa wakati huu wakati maji,umeme,madawa hospitalini,elimu havijakaa sawa tungeimarisha haya ndo turukie hayo
Sante!

Yote kwa yote...pia mista slimu hajawahi kuwa na mapenzi na kitu kingine chochote ukiacha yeye mwenyewe, familia yake na kabila lake. Nchi yake tu sina uhakika kama amewahi kuipenda.

Jamaa mjanja mjanja sana. Inatakiwa uwe smart kimuelewa vinginevyo unaweza ingia mkenge.

Makofia alizugwa sema slim hakuwa na interest nae ndio maana akampotezea lkn aliishajaa kwy 18 zake.
 
Hata mimi muda wangu ni mali sana.Tatizo tukimsema rais kwa kumkosoa hampendi mnataka wote tumsifie utadhani sifa ni sare.
Hivi kumfafanulia mtu jambo mpaka kwanza ujue kabila lake na kanda anayotoka?.Wewe ndo too shallow.Hatuikatai reli bali kuna vitu vya msingi nimeanalyze ktk post.

Unataka nimsifie kagame na kila mtu bila hoja ya msingi.Nasema kwa sababu nina hoja.Leta hoja hapa uiseme si tu kulalamika kuwa sijakujibu sasa wewe umejibu nini cha maana zaidi ya kuniona mjinga kisa sijamsifia magu na kagame.
Mie ninaetoka KANDA YA ZIWA ... ninajua fika CHALLENGES nyingi tulizonazo katika CENTRAL LINE ikiwemo na muda utumikao kusafiri ama kusafirisha bidhaa especially from Dar - Mwanza (It's like a nightmare) .. wanasema wahenga AISIFUYE MVUA IMEMNYEA ... I exactly know what I'm saying ... katika issue moja tu ya TIME CONSUMING ... SGR itakuwa mkombozi tena sana ... watanielewa wenye ku-reason na si wabishi tu wasio na hoja ... Tunaoguswa na MRADI huu twapongeza na tutaendelea kupongeza na tukisubiria kukamilika kwake ...

By the way faida kiuchumi na kijamii kwa SGR NATIONWISE ziko nyingi sana ... tatizo mmeshajiapiza katu kutopongeza jitihada zozote zifanywazo na serikali ... yenu ni kupinga tu ... and the same time pretending to be TOTALLY BLIND ..
 
Mie ninaetoka KANDA YA ZIWA ... ninajua fika CHALLENGES nyingi tulizonazo katika CENTRAL LINE ikiwemo na muda utumikao kusafiri ama kusafirisha bidhaa especially from Dar - Mwanza (It's like a nightmare) .. wanasema wahenga AISIFUYE MVUA IMEMNYEA ... I exactly know what I'm saying ... katika issue moja tu ya TIME CONSUMING ... SGR itakuwa mkombozi tena sana ... watanielewa wenye ku-reason na si wabishi tu wasio na hoja ... Tunaoguswa na MRADI huu twapongeza na tutaendelea kupongeza na tukisubiria kukamilika kwake ...

By the way faida kiuchumi na kijamii kwa SGR NATIONWISE ziko nyingi sana ... tatizo mmeshajiapiza katu kutopongeza jitihada zozote zifanywazo na serikali ... yenu ni kupinga tu ... and the same time pretending to be TOTALLY BLIND ..
Hatujakataa reli za ndani kujengwa.Hivi Rwanda unaijua vema kweli wewe.Tunahitaji reli za ndani zijengwe ndiyo kilio chetu maana zinaozeana tu.Elewa hoja yangu.
 
Mimi nahisi bora tungejenga cc wenyewe, ili tuoparete cc, na sio kushare nchi mbili ktk ujenzi.

Maana hii ingetusaidia hata kutep another root on the way to other countries kama Burundi , Uganda and even Congo, lkn tukisema tujenge na Rwanda ,hasara ni kwamba pale tutakapotaka kutep other roots kutoka kwenye hiyo ya Tz to Rwanda ,kagame nae atahitaji kunufaika maana aliweka hela yake ktk kuestablish hii kama main root.
Kagame angetakiwa asiingie kabisa kwenye operation.

Kujenga hatujakosea still kuna manufaa, kwa kumubana zaidi huyu kiwembe ni bola tufanye kujenga cc kama cc afu yy alipie kila kitu, ili akizingua tu tunaminya na hatoweza kukoroma maana atajua kuwa hakuweka chochote kwenye ujenzi isipokuwa ni kusafrishia bidhaa zake tu.
 
Hii reli inahitajika ikiwa Tanzania inataka kufaidika kwa kujijenga kama logistic hub kwa Afrika mashariki na ya kati. Reli hii itahudumia Tanzania magharibi, na nchi nyingine za karibu ikiwa na uwezekano wa kuunganisha Burundi, Zaire, na hata Uganda. Mipango mingi ya maendeleo na ufanisi ina athiriwa na miundombinu mibovu ya usafiri iliopo sasa
 
Mkuu pamoja na madhaifu yaliyopo, ukweli ni kuwa kusafirisha mizigo mwa malori ni uchumi mfu na ndio maana nchi ilikuwa imelala. Nchi zote zinazoendelea matumizi ya reli za kisasa hayaepukiki, kusadirisha mamontena kwa malori haitakiwi kabisa. Nikisoma sababu za maana za uchumi kufa kutokana na reli hii hujazitaja, kama ni kwanini reli ya kati ndiyo inajengwa kwanza, tuombe tupate hela na njia nyingine za TAZARA na Tanga hadi Arusha zijengwe. Tunakoelekea hata usafiri wa mabasi hautahitajika tena maana hakuna sababu ya kusafiri siku mbili wakati unaweza kutumia masaa 7 tu kwa njia ya train.
 
Mkuu Rwanda anachukua mizigo kupitia either kenya's au tz's ports. Kisha yanasafirishwa kwa malori to rwanda. Hvyo basi, kama nchi mshindani wetu mkuu ni kenya. Unahtaji mambo mawili.
1. Kuimarisha bandari(usalama wa mizigo na muda wa clearance)-hili hata kenya wanaweza kulifanya.
2. Kufupisha muda na kuondoa kero & cost za usafiri-kutoka dar to kigali.-hapa ndipo SGR umuhimu wake ulipo. Na kenya tutawashnda hapa.

Kumbuka sisi ni lango, hvyo lengo la SGR ni kuongeza ufanisi. Muda ukiwa mfupi, option ya trader's wa kigali itakua dar na si nairobi tena.
 
Mimi nahisi bora tungejenga cc wenyewe, ili tuoparete cc, na sio kushare nchi mbili ktk ujenzi.

Maana hii ingetusaidia hata kutep another root on the way to other countries kama Burundi , Uganda and even Congo, lkn tukisema tujenge na Rwanda ,hasara ni kwamba pale tutakapotaka kutep other roots kutoka kwenye hiyo ya Tz to Rwanda ,kagame nae atahitaji kunufaika maana aliweka hela yake ktk kuestablish hii kama main root.
Kagame angetakiwa asiingie kabisa kwenye operation.

Kujenga hatujakosea still kuna manufaa, kwa kumubana zaidi huyu kiwembe ni bola tufanye kujenga cc kama cc afu yy alipie kila kitu, ili akizingua tu tunaminya na hatoweza kukoroma maana atajua kuwa hakuweka chochote kwenye ujenzi isipokuwa ni kusafrishia bidhaa zake tu.
Ni wazo zuri sana.
 
Chuki nyingine hazifai kabisa. Afrika ni moja.
 
Mleta post atakuwa mhutu mwenyechuki kaliii sanaa,bahati mbaya nimeshindwa kumuelewa ana maanisha nini na nini lengo lake?pyuuu
 
Reli iliyopo ilijengwa miaka 100 iliyopita. Imezeeka na inahitaji kuwa replaced...
Kama hii iliyokuwepo haikuwa na tija ijayo itakuwaje na tija. Shirika la reli lilitakiwa kujiendesha na kujenga lenyewe, nchi ina friska hata kuweka nchi juu ya hiyo reli haitwezekana
Chama hicho hicho kila kiongozi akija na lake. Wanauza wee badae anukuja mwingine maneno ya kupiza kibao
 
Ulichoeleza ndiyo hoja yangu kuu. Wengi wanaona mwisho wa urefu wa pua zao.

Sijakataa reli. Kwa sasa hali ya Kongo huenda ikawa nzuri wakongo man wakadhibiti mianya ya ukwapuaji raslimali zao zinazoilea Rwanda hivyo tayari yuko prepared kwa Tanzania kama alternative yake.
Na ili kufanikisha hilo yeye aweza vuta mali nyingi hasa dhahabu ktk utawala wa magu zikatosha kuilea Rwanda miaka 40 huko.
Akili ya wanyalu ni hatari sana.Walivamia hifadhi za katavi ujangili tuliposhituka tembo walishaisha na kusafirishwa kwa njia ya maji ziwa Tanganyika kabwe, kirando, ikola na karema hadi Rwanda.

Treni inabeba mzigo mkubwa mno na ss ni wazembe mno ktk masuala ya inspection yaani kuhamisha resources zote kwenda kule ni rahisi sana.
Hata sasa zinaenda lakini si kwa kiwango sawa na watakapotumia reli.

Nashukuru kwa kunielewa na kutoa ufafanuzi.
Huyo jamaa mna mu over rate sana...hana uwezo huo.
 
Mleta post atakuwa mhutu mwenyechuki kaliii sanaa,bahati mbaya nimeshindwa kumuelewa ana maanisha nini na nini lengo lake?pyuuu
Endelea kuniita mi mhutu kwa sababu mnajua mlivyowaua 1994.
Naipigania nchi yangu Tanzania, naitetea isiliwe kihuni na wahuni wengine walioiharibu Congo hadi isionekane sehemu ya amani duniani.
Endelea kuinamishwa ili usihoji lolote.
 
Ni kweli ndivyo ilivyo kadri ya maono yangu ya ndotoni usiku wa kuamkia leo.

Ninasema haya moyo wangu ukivuja machozi mazito ya huzuni kwani miaka kumi ijayo Tanzania hii itakuwa makapi na nchi ya kwanza kwa uzalishaji wa dhahabu Afrika yaweza kuwa Rwanda hapo baadaye.

Kagame si mpuuzi hadi kushinikiza suala hili chini ya utawala huu na kufanikiwa kwa asilimia 100%. Sijaona kitu chochote ambacho watanzania watanufaika nacho kwa ujenzi wa reli hiyo ambacho sasa hivi wanakikosa kwa kutokuwepo kwa reli hiyo. Msomaji yeyote akitaka kuelewa asome sentensi hii zaidi na zaidi. Ikiwa huwezi kuielewa ni bora usiendelee kusoma zaidi.

Mizigo inayosafirishwa kwa njia ya barabara na maji kwenda Rwanda bado haijaweza kufurika hadi miundo mbinu hiyo ikaelemewa na kuhitaji huu wa tatu kwa kiinchi kidogo kama Rwanda.

Mwaka fulani mkongomani mmoja aliwahi niambia kuwa batanzania banatucheka kuongoswa na huyu Joseph kabila ba bandia lakini ipo msiku nanyi batachekwa kama sisi.

Unapoingia mkataba hasa unaohusu nchi na nchi terms and conditions zitumikazo ni za kimataifa na hata kama unavunja lazima uwe umeumia.
Hata kama reli hiyo kwa kagame itatumika miaka minne tu kwake inatosha kutimiza malengo yake ya nchi.

Tumeliwa tena tumeliwa kuliko walivyoliwa wakongomani nchini mwao. JK kukataa kufungamana na kagame ilikuwa usalama kwa nchi hii. Kwanini tusijenge hiyo standard na wakenya ambako tutafaidi mengi au tujenge hiyo gauge kwa hizi reli za tazara na kati nakufufua zilizokufa eti tunakimbilia kujenga za huko kwa huyo mnyalu.

Naapa kabisa ujenzi huo ndo kaburi la uchumi Tanzania kutokana na aina ya mtu anayehitaji huduma hiyo. Jiulize anataka kusafirisha vitu gani ambavyo havisafirishiki kwa maji na barabara?.

Kwanini hakuhitaji kufanya hivyo na JK wakati wote wa utawala wake?
Kwanini aliwahi kumtukana JK kuwa anashindwa kuongoza nchi na akadai watanzania wampe bandari tu itatosha kuhudumia nchi ya Tanzania na Rwanda kwa kila kitu?.

Ni vema tuacha usaliti wa kukaa kimya ktk mambo ya msingi maana hakuna usaliti mbaya na wa hatari kama kukaa kimya.Watanzania tuseme maana hata wataalamu wa masuala ya investment sidhani kama calculations iliwapa jibu la kuaccept hiki kitu au kureject.

Wataalamu wamebaki kuongozwa na matamshi badala ya kanuni za kitaalamu ili kuweza kuamua. Ukweli inaniuma mno najua ndoto yangu hii yaweza isikubalike lakini nimekataa kuinamishwa kwa kukaa kimya maana itakuwa ni usaliti mbaya. Being silence is the most silence betrayal that kills faster.

Tafakuri njema.
Sikuwahi kujua kama JF imebaki na low, poor poor profile thinker hivi.

Hivi wewe jamaa unajenga reli toka Dodoma to Arusha unataka kufanikisha kitu gani? Kuna mizigo mikubwa ya kusafirisha?

Unajenga sgr kwenda Kenye, man are you crazy.... Kenya wana banadari yao, unawapelekea nini?

Rwanda na Congo mashariki ni maeneo yanayoitegemea bandari ya Dar kwa mizigo yao yote. Pia wanaweza wakaitegemea Kenya.

Uganda wanaitegemea Tanzania na Kenya kwa mizigo. Je kati ya Kenya na Tanzania ni nani ana Miundo mbinu bora ya kuwezesha kupata hilo dili la kusafirisha mizigo ya Rwanda, Burundi, Uganda na Congo mashariki?

Ndio maana reli inaenda ziwa Victoria kwanza ili kuikamata mizigo ya Uganda na kuizimq Kenya. Pia kwendq Rwanda kuikamata Rwanda na Congo.

Yaani ulichoandika na upuuzi wa hali ya juu na nimetambua hautambui Micro na Macro economy.

Rudi darasani ndo utajua umuhimu wa huu mradi na uzembe wa JK kushindwa kujenga hii reli mpaka Kenya akataka kuijenga toka Mombasa hadi Kigali. Huu uzembe wa JK ungeua biashara ya bandari ya Dar.

Yaani mkuu nakusikitikia kwa ulichoandika.
 
Sikuwahi kujua kama JF imebaki na low, poor poor profile thinker hivi.

Hivi wewe jamaa unajenga reli toka Dodoma to Arusha unataka kufanikisha kitu gani? Kuna mizigo mikubwa ya kusafirisha?

Unajenga sgr kwenda Kenye, man are you crazy.... Kenya wana banadari yao, unawapelekea nini?

Rwanda na Congo mashariki ni maeneo yanayoitegemea bandari ya Dar kwa mizigo yao yote. Pia wanaweza wakaitegemea Kenya.

Uganda wanaitegemea Tanzania na Kenya kwa mizigo. Je kati ya Kenya na Tanzania ni nani ana Miundo mbinu bora ya kuwezesha kupata hilo dili la kusafirisha mizigo ya Rwanda, Burundi, Uganda na Congo mashariki?

Ndio maana reli inaenda ziwa Victoria kwanza ili kuikamata mizigo ya Uganda na kuizimq Kenya. Pia kwendq Rwanda kuikamata Rwanda na Congo.

Yaani ulichoandika na upuuzi wa hali ya juu na nimetambua hautambui Micro na Macro economy.

Rudi darasani ndo utajua umuhimu wa huu mradi na uzembe wa JK kushindwa kujenga hii reli mpaka Kenya akataka kuijenga toka Mombasa hadi Kigali. Huu uzembe wa JK ungeua biashara ya bandari ya Dar.

Yaani mkuu nakusikitikia kwa ulichoandika.
Unaongelea macro na micro hapa wakati macro za kilimo kwanza tu mmeingiza siasa hakuna kitu. Reli zimeozeana hazipitiki barabara mbovu, viwanda mmeua kwa ulafi wenu. Mmeingia mikataba kihuni then inavunjwa kihuni tunalipa fidia ambazo watu wengine wana interest kwazo.
Hatujasoma uchumi lakini haihitaji kuwa na masters kutambua uhuni wa kagame na magu kwa sgr.
Kwanini msijenge kwa hela zenu wenyewe ili muwe na nguvu.
Kama ni ujenzi wa miundo mbinu anzeni kuimarisha reli hizi tulizonazo. Fufueni reli ya tanga. Acheni uhuni hizo macro economy na micro economy haziwezi kujioperate bila kutengenezwa.
Unatoka micro kwenda macro kama tu umeimarisha micro ambayo hasa ni uchumi wa ndani. Leo tukuyu mwakareli huko hakuna barabara viazi haviuziki ni km 50 tu hamsemi tunafanyeje huko kuna gesi imeanza kuchimbwa miaka nenda rudi, kuna utalii wa kila aina, kuna kilimo cha tija chai hakuna anayejali kuboresha barabara hata ya vumbi tu then mnakuja hapa macro micro sijui nini huko hv mnadhani elimu zenu za kukariri hizo hatuzijui.
Hamjui priorities mnajifanyia tu. Chunya hakuna barabara kuna migodi ya dhahabu, nenda Lindi kule barabara shida hakupitiki hamsemi tupeleke sgr mmekalia kwa kagame kwa kagame.
Hv kusini ikijengwa hakuna nchi tunapakana nazo zitafaidika na kutupa faida.
Mambo mepesi kabisa yanawashinda mtayaweza makubwa. Mnachojua ninyi ni kupiga wapinzani tu mabomu. Huo uchumi unaouongelea ni mfupa mgumu kwenu hamuuwezi.
Ask your self why to invest, to whom shall we invest, when to invest, which investment shall start, among a, b and c which is profitable to us.
Nakushauri wewe ndo urudi shule mie nimesoma uchumi wa wahenga wewe hunikamati hata chembe. Unachokijua ni minor sana ktk uchumi bado unaelea.
Hata tukizama kwenye calculations za kiuchumi bado wewe uko shallow. Usijibie mihemko ya mapenzi ktk vyama zama ktk ukweli.
Kwa akili yako unadhani magu uchumi anaujua hata chembe anachojua ni properties za compound tu. Angekuwa mtu anayeamini mawazo huru kweli tungefika mbali but not to this extent.
Asubuhi njema mkuu acha niwahi kutegua mitego yangu ya panya kujipatia kitoweo.
 
Reli ni mhimu lakini si lazima ijengwe lazima uangalie aspects nyingi. Huko unakojenga reli mizigo haifiki kwa sasa?. Kama inafika kwa njia gani?.

Usinitoe relini kwangu hiyo reli siyo kitu kwa nchi na lengo ingekuwa kufaidika na reli angeanza na ya Zambia ambapo nchi nyingi zinaitumia siyo hako katarafa ka Rwanda.
Usiuvae ujinga halafu ukatamba nao hadharani!Mikoa ya kanda ya ziwa na magharibi kama Kigoma bidhaa huwa juu kwa sababu ya usafirishaji,halafu wewe kwa akili yako unaiona Rwanda tu badala ya kuona mikoa kama Singida ,Tabora,Shinyanga,Mwanza,Kigoma,Kagera n.k.Sehemu zote hizi zitafaidika na mizigo kwa bei nafuu.
Nakumbuka wakati train linapita na mizigo zamani mikoa hii ilifaidika sana kibiashara.
 
Usiuvae ujinga halafu ukatamba nao hadharani!Mikoa ya kanda ya ziwa na magharibi kama Kigoma bidhaa huwa juu kwa sababu ya usafirishaji,halafu wewe kwa akili yako unaiona Rwanda tu badala ya kuona mikoa kama Singida ,Tabora,Shinyanga,Mwanza,Kigoma,Kagera n.k.Sehemu zote hizi zitafaidika na mizigo kwa bei nafuu.
Nakumbuka wakati train linapita na mizigo zamani mikoa hii ilifaidika sana kibiashara.
Sasa hilo treni lililokuwa linapita na mizigo enzi hizo nani kaliua. Tumia akili kidogo tu kuelewa siyo kutafuta kiki za ovyo. Waha, wasukuma, wahaya, wanyamwezi ni ndg zetu sote tunawapenda ila tunsema sgr si kwa ajili yao na msitegemee cheap kwa hilo. Huyu rais ndiye aliyesema kama mtu hana mia mbili aogelee kuvuka kule kigamboni. Unadhani atakuwa na huruma nawe hata chembe. Acha kujipa matumaini.
 
Unaongelea macro na micro hapa wakati macro za kilimo kwanza tu mmeingiza siasa hakuna kitu. Reli zimeozeana hazipitiki barabara mbovu, viwanda mmeua kwa ulafi wenu. Mmeingia mikataba kihuni then inavunjwa kihuni tunalipa fidia ambazo watu wengine wana interest kwazo.
Hatujasoma uchumi lakini haihitaji kuwa na masters kutambua uhuni wa kagame na magu kwa sgr.
Kwanini msijenge kwa hela zenu wenyewe ili muwe na nguvu.
Kama ni ujenzi wa miundo mbinu anzeni kuimarisha reli hizi tulizonazo. Fufueni reli ya tanga. Acheni uhuni hizo macro economy na micro economy haziwezi kujioperate bila kutengenezwa.
Unatoka micro kwenda macro kama tu umeimarisha micro ambayo hasa ni uchumi wa ndani. Leo tukuyu mwakareli huko hakuna barabara viazi haviuziki ni km 50 tu hamsemi tunafanyeje huko kuna gesi imeanza kuchimbwa miaka nenda rudi, kuna utalii wa kila aina, kuna kilimo cha tija chai hakuna anayejali kuboresha barabara hata ya vumbi tu then mnakuja hapa macro micro sijui nini huko hv mnadhani elimu zenu za kukariri hizo hatuzijui.
Hamjui priorities mnajifanyia tu. Chunya hakuna barabara kuna migodi ya dhahabu, nenda Lindi kule barabara shida hakupitiki hamsemi tupeleke sgr mmekalia kwa kagame kwa kagame.
Hv kusini ikijengwa hakuna nchi tunapakana nazo zitafaidika na kutupa faida.
Mambo mepesi kabisa yanawashinda mtayaweza makubwa. Mnachojua ninyi ni kupiga wapinzani tu mabomu. Huo uchumi unaouongelea ni mfupa mgumu kwenu hamuuwezi.
Ask your self why to invest, to whom shall we invest, when to invest, which investment shall start, among a, b and c which is profitable to us.
Nakushauri wewe ndo urudi shule mie nimesoma uchumi wa wahenga wewe hunikamati hata chembe. Unachokijua ni minor sana ktk uchumi bado unaelea.
Hata tukizama kwenye calculations za kiuchumi bado wewe uko shallow. Usijibie mihemko ya mapenzi ktk vyama zama ktk ukweli.
Kwa akili yako unadhani magu uchumi anaujua hata chembe anachojua ni properties za compound tu. Angekuwa mtu anayeamini mawazo huru kweli tungefika mbali but not to this extent.
Asubuhi njema mkuu acha niwahi kutegua mitego yangu ya panya kujipatia kitoweo.
Mkuu naheshimu mchango wako kutokana na uelewa wako. But naamini hii SGR ni sahihi na imekuja kwa wakat sahihi katika ushindani wa kikanda. Hizo changamoto zingine zinatatulika kwani hazina ushindani ndani yake.

Magufuli sio mchumi na kati ya rais watano waliopita na wa sasa ni Kikwete pekee ndio mchumi lakini amefanya nin?

Magu is right towards taking the country into EA Region power katika uchumi na wacha watu walielie lakini tutafika tu.
 
Mkuu naheshimu mchango wako kutokana na uelewa wako. But naamini hii SGR ni sahihi na imekuja kwa wakat sahihi katika ushindani wa kikanda. Hizo changamoto zingine zinatatulika kwani hazina ushindani ndani yake.

Magufuli sio mchumi na kati ya rais watano waliopita na wa sasa ni Kikwete pekee ndio mchumi lakini amefanya nin?

Magu is right towards taking the country into EA Region power katika uchumi na wacha watu walielie lakini tutafika tu.
Je kuna ulazima wa kufanya partnership ktk ujenzi?. Ni lazima?. Kwann tz wasijenge pekee yao ili yule asiwe kero baadaye. Nani kashinikiza hiyo partnership?.
 
Back
Top Bottom