samahan sheikh, mim naomba ujibu ile hoja ya contradictions kwenye qur'an kuhus 6 days za uumbaji, instead of 8, au hukuoiona?
Ndugu, dini huwa haina msaada wowote ule, zaidi ya hapo, dini si mali kitu.
Kitu cha Muhimu ni kumpokea Yesu Kristo, halafu Mwachie Holy Spirit aanze kutoa darsah, hapo, upeo wako utakuwa wa juu zaidi ya hata Allah wa Islam.
Ndio maana Ukristo SI dini, bali ni UFUASI wa Kristo ambaye ni Mungu, wale wa kule, I mean Waislam, wao wanafuata dini/njia, ikimaanisha hata allah wao hawamfuati, wao wapo kwenye njia ya miasha, what a shame to islam and his prophet who couldn't read or write.
siku ya mwisho kama kweli ipo, one of the two dominant religions will go to hell, waislam wakiwa sahihi bas wakristo chali, na ikitokea wakristo sahihi waislam wote nao moton. Mtihan sana hapa
Jaribu kupima ni ipi ktk hizi mbili imechakachuliwa!?
Uislamu una matabaka kadhaa lkn TOKA MWANZO WAKE NI KITABU NI KIMOJA TU!
Leo UKIRISTO UNA BIBLIA 52!! DUNIANI!
NA HAKUNA HATA MOJA KTK HIZO NI BIBLIA YA ASILI!!
Sasa hao waumini wa kikristo wakitaka kujua ukweli WATAKWENDA KUHAKIKISHA KWENYE BIBLIA IPI??
sasa hapo tumia akili yako mwenyewe!
Jaribu kupima ni ipi ktk hizi mbili imechakachuliwa!?
Uislamu una matabaka kadhaa lkn TOKA MWANZO WAKE NI KITABU NI KIMOJA TU!
Leo UKIRISTO UNA BIBLIA 52!! DUNIANI!
NA HAKUNA HATA MOJA KTK HIZO NI BIBLIA YA ASILI!!
Sasa hao waumini wa kikristo wakitaka kujua ukweli WATAKWENDA KUHAKIKISHA KWENYE BIBLIA IPI??
sasa hapo tumia akili yako mwenyewe!
Kwa nin unasema kati ya hizo 52 hakuna biblia asili?
Je wewe unajua biblia asili ni ipi mpaka useme hakuna biblia asili kat ya hizo 52?
Nilijaribu kufanyia uchunguzi hoja ya waislamu kuwa biblia imechakachuliwa ndo mana ziko nyingi.
nilitafuta versions 3 tofauti mojawapo ikiwa KJV (King James' Version) nikasoma chapters mbal mbal, nlichoona tofauti ni lugha tu, mf KJV inatumia zaid archaic words ukilinganisha na versions nyingine, ila content ni ileile,
tunasema kuwa ili kitabu kiitwe cha kiasili basi ile lugha ya muandishi au yale maneno ya yule muhusika wa kitabu kile LAZIMA IWE ILE ILE YAKE!
Sasa ukiangalia ktk vitabu hivi viwili yaani {quraan na biblia} utakuta kuwa LUGHA YA MUHUSIKA WA QURAAN ILIKUWA NI KIARABU! NA QURAAN IMEBAKI NA LUGHA HIO HIO TOKA MWANZO HADI LEO ! ZAIDI YA MIAKA 1400!
Kwa upande wa BIBLIA , Wote tunafahamu kuwa LUGHA YA YESU ILIKUWA NI KI ARAMAIC!! sasa hebu tafuta BIBLIA YA KI ARAMAIC! dunia kote kama utaipata!!
ZOOTE ZILIZOBAKI NI TAFASIRI TU AMBAZO ZIMECHAKACHULIWA NA ZINA CONTRADICTIONS ZISIZO NA IDADI
nimekupa mfano hapo juu kuhusu hatari ya kukosa kitabu cha asili,
nakupa mfano wa pili!
ikiwa quraan ya Kiswahili imetafsiri aya namba 1 ktk quraan kuwa ni " mtu huyo afungwe jela"
na quraan ya kifaransa imetafsiri aya hiohio namba 1 kuwa"mtu huyo anyongwe"
basi hapa tatizo linakuwa ni dogo tu! INACHUKULIWA QURAAN YENYE LUGHA NA TAMKO LA ASILI, WANACHUKIWA MABINGWA WA LUGHA ZA KIARABU NA KISWAHILI PAMOJA NA MABINGWA WA LUGHA YA KIARABU NA KIFARANSA BASI MAMBO YANAMALIZWA KWA DAKIKA TU!!
Sasa tatizo kama hilo likitokea kwenye BIBLIA YA KIINGEREZA NA KIRUSI?? WATAENDA WAPI KUTAFUTA UHAKIKA WA LILE NENO?? AU HIO AYA??
NDIO MAANA NI RAHISI KUCHAKACHUA BIBLIA NA NI IMPOSIBLE KUGEUZA HATA NENO MOJA LA QURAAN!!
Sasa hapa unajustify hoja ya mkwawa kwamba quraan ni kwa ajil ya waarabu ndo mana lugha yake ni kiarabu tu.
mbokaleo
Naomba uniambie kwa nin kuna vitu flan vinafanana katika quraan na bible.
Mf injili, torat na zaburi
UKITAKA KUJUA KASORO ZINAZO WASUMBUA WAGALATIA!! BASI ANGALIA CHANZO CHA Hizo KASORO! NAZO NI MTU ANAITWA NABII PAULO!!
SOMA HISTORIA YA HUYU BWANA NDIO UTAKAPO ONA KWANINI MPAKA LEO UKO MPARAGANYIKO MKUBWA BAINA YA MAKANISA!!
Jehova witness wanakwambia YESU SI MUNGU! WAKATOLIKI WANASEMA NI MUNGU! Na kila mmoja ana biblia yake ya kuonyesha hayo madai!!
Mimi kama Muislamu imani yangu inanifundisha kuwa kabla ya mtume wangu Muhammad s.a.w kuja! kulikuwa na manabii wengine kama ABRAHAM, MOSES NOAH SOLOMON DAVID JOHN THE BABTIS NA JESUS.
NA MANABII WOOTE HAWA WALIAMRISHA AABUDIWE MUNGU MMOJA TU!!
NA WOTE WALIAMRISHA MAMBO AMBAYO YANA FANANA JAPOKUWA KUNA VITOFAUTI VIDOGO VIDOGO!!
SUALA LA MUNGU KUZAA NA KUITWA BABA NA MWANA NA MAMA NA ROHO! HAYA YOOTE YAMELETWA NA PAULO!!
NDIO MAANA VITABU VYA KWELI VYA MUNGU VINA FANANA LKN VYA UONGO VINAPINGANA HATA VYENYEWE KWA VYENYEWE!!
Dreadnought haya ninayokwambia siyatoi kichwani kwangu!! nimekwambia USICHUKUE MANENO YA MTU UKAYAAMINI MOJA KWA MOJA! NENDA KASOME HIO QURAAN KWA KITUO NA SOMA TAFSIRI ZOTE ZA KISWAHILI NA KIINGEREZA NA KAMA UKIKUTA CONTRADICTION HATA MOJA!! MIMI NINYESHE KESHO NA MIMI NIBATIZWE!!Kuhusu kuchakachuliwa bado hujaniconvice kwa sababu nimesome versions tofauti tofauti content ni ile ile tofaut ni lugha.
Kuhusu hizo contradictions hata kwenye quraan ziko kibao jamaa kaorodhesha
Tutaendelea kesho mkuu, ngoja nilale nisije chelewa job, I still hav a lot to ask.
siku ya mwisho kama kweli ipo, one of the two dominant religions will go to hell, waislam wakiwa sahihi bas wakristo chali, na ikitokea wakristo sahihi waislam wote nao moton. Mtihan sana hapa
hiv unajua kwamba kuna similarities flan katika bible na qur'an?
Mf injili, zaburi na torati vpo kwenye qur'an pia,
unaweza niambia ni kwa nin kunakuwa na hizo similarities?
Allah of Islam is as well ATHEIST. Unabisha. Allah kasema HAKUNA MUNGU. Sasa huyu si wale wale wapinga Mungu kama yule marehemu darwin.Haya! Malizaneni! Mkichoka mi ntakuja kuwapiga mswaki!
Leo ni waparokia waongo na waabudu wake ( ethiest)
Teh teh teh teh!