kahtaan
JF-Expert Member
- Jul 11, 2009
- 18,760
- 11,343
Low Muhammadic self esteem. The only religion destiny to hell is islam
You got a new catchphrase muchungwaji "self esteem"
Teh teh teh teh!!
Injili inasema yesu ALITUMWA!!
SASA MUNGU HUWA ANATUMWA NA NANI??
USHAHIDI KUWA YESU ALITUMWA HUU HAPA!!
SASA UTAABUDU VIPI KIUMBE ANAETUMWA??
YOHANA 5:24-----"Kweli nawaambieni, anayesikia neno langu, na kumwamini yule-ALIYENITUMA, anao uzima wa milele. Hatahukumiwa kamwe, bali amekwisha pita kutoka kifo na kuingia katika uzima.
YOHANA 5:30- - -"Mimi siwezi kufanya kitu kwa uwezo wangu mwenyewe. Mimi nina hukumukama-ninavyosikia kutoka kwa Baba, nayo hukumu yangu ni ya haki. Nia yangu si kufanya nipendavyo mwenyewe, bali apendavyo yule-ALIYENITUMA.
YOHANA 5:36- - -Lakini mimi nina ushahidi juu yangu ambao ni mkuu zaidi kuliko ule wa Yohane. Kwa maana kazi ninazofanya, kazi alizonipa Baba nizifanye, ndizo zinazonishuhudia kwamba Baba ndiye ALIYENITUMA.
YOHANA 5:37- - -Naye Baba-ALIYENITUMA hunishuhudia. Ninyi hamjapata kamwe kusikia sauti yake, wala kuuona uso wake.
-------
YOHANA 7:16- - -Hapo Yesu akawajibu, "Mafundisho ninayofundisha si yangu, bali ni yake yeye ALIYENITUMA.
YOHANA 7:28- - -Basi, Yesu alipokuwa anafundisha Hekaluni alipaaza sauti na kusema, "Ati mnanijua; hata nilikotoka mnakujua! Hata hivyo, sikuja kwa mamlaka yangu mwenyewe; ila yeye-aliyenituma-mimi ni wa kweli, nanyi hamumjui.
YOHANA 7:29- - -Lakini mimi namjua kwa sababu nimetoka kwake, naye ndiye-ALIYENITUMA"
YOHANA 7:33- - -Yesu akasema, "Bado niko nanyi kwa muda mfupi, kisha nitamwendea yule ALIYENITUMA.
-------
YOHANA 8:16- - -Hata nikihukumu, hukumu yangu ni ya haki kwa sababu mimi siko peke yangu; Baba-ALIYENITUMA-yuko pamoja nami.
YOHANA 8:18- - -Mimi najishuhudia mwenyewe, naye Baba-ALIYENITUMA ananishuhudia pia."
YOHANA 8:26- - -Ninayo mengi ya kusema na kuhukumu juu yenu. Lakini yule-ALIYENITUMA ni kweli; nami nauambia ulimwengu mambo yale tu niliyoyasikia kutoka kwake."
YOHANA 8:29- - -Yule-ALIYENITUMA yuko pamoja nami; yeye hakuniacha peke yangu kwani nafanya daima yale yanayompendeza."
-------
YOHANA 6:38- - -kwani nimeshuka kutoka mbinguni si kwa ajili ya kufanya matakwa yangu, ila kutimiza matakwa ya yule-ALIYENITUMA.
YOHANA 6:39- - -Na matakwa ya yule-ALIYENITUMA ndiyo haya: nisimpoteze hata mmoja kati ya wale alionipa, ila niwafufue wote Siku ya mwisho.
-------
YOHANA 12:44- --Kisha Yesu akasema kwa sauti kubwa, "Mtu aliyeniamini, haniamini mimi tu, ila anamwamini pia yule-aliyenituma.
YOHANA 12:49- --Mimi sikunena kwa mamlaka yangu mwenyewe, ila BABA ALIYENITUMA ndiye aliyeniamuru niseme nini na niongee nini.
HAPA YESU ANADHIHIRISHA WAZI KABISA KUWA HATA MANENO ANAYOSEMA ANAAMRISHWA NA MUNGU AYASEME!!
eti mkuu Tayeb hawa watu mbona wagumu hivi kuelewa??
-------YESU ANAENDELEA HAPA KUSEMA YEYE NI MTUME TU! ALIYETUMWA NA MUNGU!!
MATAYO 10:40- -"Anayewakaribisha ninyi, ananikaribisha mimi; na anayenikaribisha mimi, anamkaribisha yule-ALIYENITUMA.
-------
MARKO 9:37- - - -"Anayempokea mtoto-kama-huyu kwa jina langu, ananipokea mimi; na anayenipokea mimi, hanipokei mimi tu, bali anampokea yule-ALIYENITUMA"
-------
LUKA 9:48--akawaambia, "Mtu yeyote anayempokea mtoto huyu mdogo kwa jina langu, ananipokea mimi; na yeyote anayenipokea mimi, anampokea yule ALIYENITUMA. Maana yule aliye mdogo kuliko wote kati yenu ndiye aliye mkubwa kuliko wote."
-------
LUKA 10:16- - - --Halafu akasema, "Anayewasikiliza ninyi, ananisikiliza mimi; na anayekataa kuwapokea ninyi, anakataa kunipokea mimi. Yeyote anayekataa kunipokea, anakataa kumpokea yule-ALIYENITUMA"
-------
YOHANA 4:34- - -Yesu akawaambia, "Chakula changu ni kufanya anachotaka yule-ALIYENITUMA-na kuitimiza kazi yake.
-------
YOHANA 9:4- - - -Kukiwa bado mchana yatupasa kuendelea kufanya kazi za yule ALIYENITUMA; maana usiku unakuja ambapo mtu hawezi kufanya kazi.
-------
YOHANA 13:20- --Kweli nawaambieni anayempokea yule ninayemtuma anaponipokea mimi; na anayenipokea mimi, anampokea yule ALIYENITUMA.
-------
YOHANA 14:24- --Asiyenipenda hashiki maneno yangu. Na neno mlilosikia si langu, bali ni-lakeBaba-ALIYENITUMA.
-------
YOHANA 15:21- --Lakini hayo yote watawatendeeni ninyi kwa sababu ya jina langu, kwani hawamjui yeye-ALIYENITUMA.
-------
YOHANA 16:5- - -Lakini sasa namwendea yule ALIYENITUMA; na hakuna hata mmoja wenu anayeniuliza: `Unakwenda wapi?`
SASA ANAETUMWA NA MUNGU NYIE MNAMUITA "MUNGU"!!
SASA HUYO ANAEMTUMA YESU MTAMPA CHEO GANI???
HEBU NIJIBUNI HAPO!
NI NANI YESU ANAESEMA KWA KAULI YAKE MWENYEWE KUWA "AMENITUMA"?? HUYU MTUMAJI NI NANI??
We Eiyer hebu for once jibu haya maswali hapo juu! Wacha kujifanya huoni!
Last edited by a moderator: