Religious people are less intelligent than atheists, according to scientific studies

Religious people are less intelligent than atheists, according to scientific studies

John 17
“Father, the hour has come. Glorify your Son, that your Son may glorify you. For you granted him authority over all people that he might give eternal life to all those you have given him. Now this is eternal life: that they know you, the only true God, and Jesus Christ, whom you have sent.

Cam on now! Galatians!!?
Cant you see there is two beings there??

GOD and JESUS!!!!!!! I mean! Even BLIND can see that!!

LOOK AGAIN HERE!!.... the only true God, and Jesus Christ, whom you have sent.

??????????? I feel sorry for you guys! I really m!

Kaka, huo hapo juu ni msumari kudadeki, lazima wakae!

Tehe tehe tehe hawawezi kusema kama umewashika pabaya lakini moyoni wanakubali tehe tehe tehe, pole sana Muchungwaji Eiyer
 
Last edited by a moderator:
John 17
"Father, the hour has come. Glorify your Son, that your Son may glorify you. For you granted him authority over all people that he might give eternal life to all those you have given him. Now this is eternal life: that they know you, the only true God, and Jesus Christ, whom you have sent.

Cam on now! Galatians!!?
Cant you see there is two beings there??

GOD and JESUS!!!!!!! I mean! Even BLIND can see that!!

LOOK AGAIN HERE!!.... the only true God, and Jesus Christ, whom you have sent.

??????????? I feel sorry for you guys! I really m!

'Na Mwenyezi Mungu atakapo sema: Ewe Yesu (Isah) mwana wa Maryam, Je ! Wewe uliwaambia watu nifanyeni mimi na mama yangu kuwa waungu badala ya Mwenyezi Mungu ? Aseme (atajibu Yesu) Wewe (Mwenyezi Mungu) umetakasika kuwa na mshirika, Haini pasi mimi kusema ambayo si haki yangu. Na lau kama ningali sema (hakika Mwenyezi Mungu) ungejua. (kwani unajua yaliyomo nafsini mwangu, lakini mimi siyajui yaliyomo nafsini mwako. Hakika Wewe (Mwenyezi Mungu) ndiwe ujuaye mambo ya ghaibu.
Qur'an:5:116
Poleni Wagalatia !:whistle:
 
gyne3yba.jpg
 
sasa kwenye hiyo q'ran (sorry kama sijaiandika inavyotakiwa) hakuna Nabii Issa?

Hapa unauliza swali? Au jibu!
Of course nabii Issa yumo kwenye quraan. Na mama yake anaitwa mariam na amezaliwa bila baba. Na alitaka kusulubiwa Mungu akamuokoa!

Sasa labda nikuulize wewe! Huyo aliyeuwawa kwenye msalaba ndio unamuabudu na kumuomba msaada.??
 

Hebu mkuu jaribu km wewe ni mwenye kutaka kujua! Jaribu kufuatana na mimi hapa chini!
You will be amazed!

NADHARIA ya uwezekano

Katika hisabati kuna nadharia inayojulikana kama 'Nadharia ya Uwezekano'.

INAKWENDA KWA MIFANO HII KAMA IFUATAVYO!!

MFANO WA KWANZA!
Kama kuna njia mbili, kati ya hizo -moja ya SAWA, na moja ni MAKOSA{si sawa},
Na wewe ukaambiwa uchague njia moja ya sahihi!
-nafasi ya wewe kuwa UTACHAGUA NJIA ILIYO SAWA ni nusu, yaani mmoja kati ya mbili itakuwa sahihi.
-Kwa hivyo Una ASILIMIA -50% ya nafasi ya KUCHAGUA NJIA ILIYO -SAHIHI.!!

MFANO WA PILI!
kama wewe umerusha sarafu juu ! halafu ukabahatisha kwa kusema - -ni "mkia" au "kichwa" basi nafasi ya wewe kupatia na kuwa ni sahihi ni {1 kati ya 2} -ambayo ni asilimia 50% -
Kama wewe umerusha -sarafu mara ya pili, nafasi ya kwamba utakuwa sahihi katika mara zote mbili kwa mpigo inapungua kuwa -asilimia 25%
Ki mahesabu ni nusu kugawa kwa nusu (1/2 x 1/2) ambayo ni sawa na 1/4% yaani 50 ya 50% ambayo ni sawa na asilimia 25%.
-Na ukirusha sarafu mara ya tatu, nafasi kwamba utakuwa sahihi mara zote tatu ni (1/2 x 1/2 x 1/2)
-ki mahesabu ni -1/8 au 50% ya 50% ya 50% ambayo ni asilimia 12 ½% .

MFANO HAI WA TATU.
Chukua gololi -sita zenye namba! -{1,2,3,4,5,6,) Halafu -zitie kwenye mkebe ambao huwezi kuona ndani
-CHANGANYA HUO MKEBE!
Halafu tia mkono utoe hizo gololi kwa mpangilio wa namba! {yaani toa namba 1, halafu 2 halafu 3...nakuendelea mpaka mwisho}
-nafasi ya kubahatisha kwako na ukawa sahihi KWA MUJIBU WA NADHARIA YA UWEZEKANO -itakuwa -ni 1/6 .
-kwa lugha nyepesi, Ili uweze kupatia kuzitoa hizo gololi zoote sita kwa mpangilio wa namba 1 hadi 6! -ITABIDI UJARIBUJARIBU -MARA MILIONI 6!!

NA UKITAKA KUFANYA KWA MARA YA PILI NA PIA UPATIE MARA ZOTE MBILI KWA MPIGO !! BASI -NAFASI YAKO YA KUFANYA HIVYO NA UPATIE,-
Ki mahesabu ni -(1/6 x 1/6)-
ITABIDI UJARIBUJARIBU ATLEAST MARA MILIONI 36!!

NA UKITAKA KUFANYA KWA MARA YA TATU!
BASI NAFASI YAKO YA KUPATIA INAPUNGUA -TENA INAKUWA -(1/6 x 1/6 x 1/6) !
KWA LUGHA INGINE ITABIDI UJARIBU JARIBU KWA MARA MILIONI 216 -au kifupi ktk asilimia 100% nafasi yako ya kupatia mara zote 3 ni asilimia 0.5%!!
NA HIZI NI GOLOLI TU MKUU ...........

HII NDIO NADHARIA YA UWEZEKANO!

Hebu sasa tuiingize hii nadhari ya uwezekano ndani ya -QURAAN!
na tuseme kuwa mtu alizitunga tu na kuzibuni hizi aya za quraan na taarifa zote -zilizotajwa katika Qur'an ambayo ilikuwa haijulikani wakati huo.-

Hebu tujadili uwezekano wa kubahatisha wote uliotajwa ktk quraan! na mara ngapi QURAAN IMEBAHATISHA VITU NA VIKAWA SAHIHI 100%!!!!
NA SAYANSI PIA IKALITHIBITISHA HILO QURAAN INAPOLISEMA!!

1. UMBO LA DUNIA

-Wakati Qur'an inateremshwa, watu walidhani dunia ilikuwa tambarare, kuna chaguzi nyingine zilizo husishwa na umbo la sura ya dunia.
wengine walisema -Inaweza kuwa ni pembe tatu, inaweza kuwa mviringo, au pembe nne, au kama mpira, kama papai, au kama nusu ya kipande cha chungwa, quadrangular, pentagonal, hexagonal, heptagonal, octagonal, spherical, nk

Watu wa wakati huo walifanya chaguzi mbalimbali 30! kwa ajili ya kuitafakari sura ya dunia.

QURAAN IMEPATIA -SAWASAWA 100% {kama sayansi ilivyo gundua}KWA KUSEMA KUWA DUNIA NI -MVIRINGO{spherical},
-kama ilikuwa nafasi ya KUDHANI KUWA NI SAHIHI BASI NI 1/30.!

2.MWANGA WA MWEZI.

Mwanga wa mwezi unaweza kuwa mwanga wake mwenyewe au mwanga ulioakisiwa!.-

Qur'an -imepatia 100% {kama sayansi ilivyo gundua}kwa kusema kuwa ni MWANGA ULIOAKISIWA -.
-Kama ni KUDHANI TU, nafasi kwamba itakuwa sahihi ni 1/2 { 50/50}
-na uwezekano kwamba mifano yote miwili -kubahatisha kuwa -dunia ni mviringo na mwanga wa mwezi ni -mwanga ulioakisiwa ni 1/30 x 1/2 = 1/60 .

3.CHANZO CHA UHAI WOTE!
Zaidi ya hayo, Qur'an pia anataja kuwa kila kilicho hai basi asili yake ni maji.!
Kwa mujibu wa kanuni yetu ya nadharia, -Kila kilicho hai kinaweza kufanywa kwa kutumia miti, mawe, shaba, aluminium, chuma, fedha, dhahabu, oksijeni, nitrojeni, hidrojeni, mafuta, maji, saruji, zege, nk
-chaguzi hizo hapa wanavyosema ktk ile nadharia yetu ni kama nafasi 10,000. !!
Qur'an imesema sawa Sawa 100% {kama sayansi ilivyo gundua} kwamba kila kitu kilicho hai asili yake ni -maji.
-Kama ni kunadhani tu, basi nafasi kwamba itakuwa sahihi ni 1/10, 000.!!
Na uwezekano wa kubahatisha zote tatu yaani dunia ni mviringo, mwanga wa mwezi ni mwanga ulioakisiwa na kila kilicho hai asilia yake na maji kuwa sahihi ni 1/30 x 1/2 x 1/10, 000 = 1/60, 000 ambayo ni sawa na -asilimia 0017.%.
Qur'an inazungumzia kuhusu mamia ya mambo ambayo yalikuwa -hayajulikani -kwa watu wakati wa ufunuo wake.
-katika chaguzi za mifano mitatu tu , basi tumeona matokeo ya quraan kubahatisha na kupatia kuwa sahihi ni 0.0017%.
-Mimi nakuachia ... wewe, utazame ktk QURAAN mamia ya mifano iliyomo ambayo leo sayansi imekuja kutuonyesha kuwa ni kweli,
Na kila NADHARIA iliyotajwa ndani ya quraan., BASI HAKUNA HATA MOJA AMBAYO MPAKA SASA IMEKWENDA KINYUME NA SAYANSI!
Ni zaidi ya uwezo wa binadamu kuweza kudhani na wakati wote akawa sahihi bila kosa hata moja,-
Na kama wewe .... una busara iliyo wazi na kwa mantiki hizi basi hii mifano michache tu inakutosha kuthibitisha -kwamba asili ya Qur'an ni Mungu.
NA MUNGU YUPO!
Lkn uamuzi ni wako! kama utakubali hayo -na uingie ktk lile kundi linaloitwa" walio amini" MUNGU!
Au utakataa na kutafuta ile mifano isiyo na mantiki wala ushahidi wowote wa kiakili wala wa kisayansi ambayo inapinga kuwepo kwa MUNGU! uwe ktk kundi lao!
Fahamu kuwa ipo siku mimi na wewe TUTAKUFA!! na hapo ndipo tutakapo uona ukweli!! na ndugu yangu wakati huo ukifika! ni mawili tu!
STAREHE NA UZIMA WA MILELE!
AU-
ADHABU ZA MUNGU NA SHIDA ZA MILELE!.
 
Sasa hii umeitoa wapi?
Au wewe unadhani mimi ninakutania?

Wee si unamuabudu yesu au??
Mi nakuonyesha andiko! We unalikataa na kuuliza maswali ya kitoooto ya kukwepa ukweli!
Chunga sana Eiyer ! Umri wako na pumzi zako ziko ktk mikono ya Mungu na akitaka anaweza kuikata saa yyt!
Na hivi sio vitisho ila ni kweli tupu!
Kuna watu wanapenda kubisha tu ili waonekane wanajua! Na kuna wengine wanalipwa kusema uongo!
Mi nna imani haupo ktk makundi hayo!

Soma andiko kama lilivyo na usijaribu kuchakachua au kugeuza tafsiri!

Life is too short to mess with God Almighty.
 
Last edited by a moderator:
Wee si unamuabudu yesu au??

Yes,namuabudu tena nautangazia ulimwengu kuwa NINAMUABUDU YESU,wewe inakuhusu nini?
Mi nakuonyesha andiko! We unalikataa na kuuliza maswali ya kitoooto ya kukwepa ukweli!

Nimekataa nini wewe maamuma?
Mbona unakuwa hamnazo kiasi hiki?
Nyie haohao mnadai biblia imechakachuliwa halafu nyie haohao mnaitumia kama ushahidi,hivi ni wazima kweli nyie maamuma?
Maswali ya kitoto ambayo umeshindwa kuyajibu?
Wewe una matatizo sii bure!
Chunga sana Eiyer ! Umri wako na pumzi zako ziko ktk mikono ya Mungu na akitaka anaweza kuikata saa yyt!

Mungu gani unamzungumzia wewe?
Kama unamzungumzia yule mungu wako aliyeko makkah umepotea kabisa
Huyo mungu hana ubavu wa kunifanya lolote
Hana mamlaka yoyote kwangu
mungu gani hajui hata historia Faith Freedom International
mungu gani anaesema uongo kuhusu mambo yake mwenyewe?
Na hivi sio vitisho ila ni kweli tupu!
Kuna watu wanapenda kubisha tu ili waonekane wanajua! Na kuna wengine wanalipwa kusema uongo!
Mi nna imani haupo ktk makundi hayo!

Soma andiko kama lilivyo na usijaribu kuchakachua au kugeuza tafsiri!

Kweli nyie ni vilaza
Leo biblia imekuwa inasema kweli?
Eti nisichakachue,kumbe haijachakachuliwa!


Life is too short to mess with God Almighty.

What kind of God are you talking about?
Unaposema Mungu unatakiwa uwe wazi
Kusema tu Mungu hakutoshi,sema ni Mungu yupi
Kuna mungu jiwe aliyeko kule makkah
Kuna mungu mwezi
Kuna mungu jua
Kuna mungu brahma
Kuna mungu budha
Kuna mungu anaeishi milimani

NA KUNA MUNGU WA MIUNGU BWANA WA MABWANA ALIYEKUJA KWA WANADAMU AKALA NAO NA KUISHI NAO,MUUMBA WA VYOTE HUYU ANAITWA MUNGU MKUU
HUYU ANAITWA NIKO AMBAE NIKO
ALIPOWAKUJA KUWAKOMBOA WANADAMU ANAJULIKANA KWA SIFA YA MWOKOZI[YESU KRISTO]
ANAPOTOA HEKIMA YA KUTAMBUA MAMBO ANAKUWA NA SIFA YA ROHO MTAKATIFU


Huyu wa mwisho ndie ninaemuabudu na ndie ninamzungumzia
Wa kwako sijui ni yupi hapo
Hivyo unaponiambia Mungu ni vyema uniambie ni yupi unaemzungumzia sio kuropoka tu mungu mungu bila kufafanua ni mungu gani unamzungumzia!
 
Hebu sasa tuiingize hii nadhari ya uwezekano ndani ya -QURAAN!
na tuseme kuwa mtu alizitunga tu na kuzibuni hizi aya za quraan na taarifa zote -zilizotajwa katika Qur'an ambayo ilikuwa haijulikani wakati huo.-
Huyu jamaa yenu hakutunga bali alikopi kutoka kwenye biblia na bahati mbaya alikuwa kilaza akawa anasahau mengine na mengine akawa nadanganya

Ushahidi huu hapa: http://www.faithfreedom.org/Articles/MohammadAsghar50418.htm

Hebu tujadili uwezekano wa kubahatisha wote uliotajwa ktk quraan! na mara ngapi QURAAN IMEBAHATISHA VITU NA VIKAWA SAHIHI 100%!!!!
NA SAYANSI PIA IKALITHIBITISHA HILO QURAAN INAPOLISEMA!!

1. UMBO LA DUNIA

-Wakati Qur'an inateremshwa, watu walidhani dunia ilikuwa tambarare, kuna chaguzi nyingine zilizo husishwa na umbo la sura ya dunia.
wengine walisema -Inaweza kuwa ni pembe tatu, inaweza kuwa mviringo, au pembe nne, au kama mpira, kama papai, au kama nusu ya kipande cha chungwa, quadrangular, pentagonal, hexagonal, heptagonal, octagonal, spherical, nk

Watu wa wakati huo walifanya chaguzi mbalimbali 30! kwa ajili ya kuitafakari sura ya dunia.

QURAAN IMEPATIA -SAWASAWA 100% {kama sayansi ilivyo gundua}KWA KUSEMA KUWA DUNIA NI -MVIRINGO{spherical},
-kama ilikuwa nafasi ya KUDHANI KUWA NI SAHIHI BASI NI 1/30.!

Uongo
Quran inasema kuwa dunia ni flat na makosa mengine mengi tu ya kisayansi
Ushahidi huu hapa:The Veil of Divine Inspiration of the Qur'an

Ni zaidi ya uwezo wa binadamu kuweza kudhani na wakati wote akawa sahihi bila kosa hata moja,-
Na kama wewe .... una busara iliyo wazi na kwa mantiki hizi basi hii mifano michache tu inakutosha kuthibitisha -kwamba asili ya Qur'an ni Mungu.
NA MUNGU YUPO!


Quran ni chini ya uwezo wa kufikiri hata wa sisimizi kwa maana sisimizi hawezi hata kusahau anakolala lakini mwandishi wa Quran Mohammed alikuwa msahaulifu hadi akachanganya mabo kiasi cha kutusha
Ushahidi huu hapa:Faith Freedom International


Kwanini nyie Waislam mnapenda sana kusema uongo?
Ndio maana nasema kuwa dini yenu anaenezwa kwa njia 2
1:Uongo
2:Ugaidi

Mahali ambapo watu ni smart wa kutosha kugundua uongo wenu mmetumia hiyo njia ya pili,Ugaidi ili kuwalazimisha watu wakubali huo uongo wenu

SHAME ON YOU MUSLIMS
 
Huyu jamaa yenu hakutunga bali alikopi kutoka kwenye biblia na bahati mbaya alikuwa kilaza akawa anasahau mengine na mengine akawa nadanganya

Ushahidi huu hapa: http://www.faithfreedom.org/Articles/MohammadAsghar50418.htm



Uongo
Quran inasema kuwa dunia ni flat na makosa mengine mengi tu ya kisayansi
Ushahidi huu hapa:The Veil of Divine Inspiration of the Qur'an




Quran ni chini ya uwezo wa kufikiri hata wa sisimizi kwa maana sisimizi hawezi hata kusahau anakolala lakini mwandishi wa Quran Mohammed alikuwa msahaulifu hadi akachanganya mabo kiasi cha kutusha
Ushahidi huu hapa:Faith Freedom International


Kwanini nyie Waislam mnapenda sana kusema uongo?
Ndio maana nasema kuwa dini yenu anaenezwa kwa njia 2
1:Uongo
2:Ugaidi

Mahali ambapo watu ni smart wa kutosha kugundua uongo wenu mmetumia hiyo njia ya pili,Ugaidi ili kuwalazimisha watu wakubali huo uongo wenu

SHAME ON YOU MUSLIMS

Skio la kufa huwa haliskii dawa!
We ni kutokwa povu tu maskini! Na kuwaita watu vilaza baaas!
Inachokijua na kucopy na ku paste! Na nilikuonya kuwa kubadilisha kwako maana hakutokusaidia kitu bali ni laana tu kutoka kwa Mungu!
Unarudia kila mara kusema , eti quraan imesema dunia ni flat! Hebu tazama hapa andiko kama lilivyo

http://www.miraclesofthequran.com/scientific_15.html

Na hapa!

http://www.miraclesofthequran.com/mathematical_17.html

Kazi zenu ni kutafuta link za wale waongo kama nyinyi mkatuwekea hapa!

Mkionyeshwa haki! Mnajifanya mnajua zaidi na kuwaita watu wooote waongo!

Lugha inakusuta! Unapoteza watu na kumsingizia Mungu uongo, kwa kusema Mungu alikula. Akanya. Akalala akapigwa mpaka akalia na hatimae AKAFA!

Nafahamu kuwa nyie mnaojiita ministries mnalipwa kupotosha watu!

Lkn laana ya mungu itawadondokea waongo na wapotoshi wote wanaofuta maslahi machache ya hii dunia!

Huyo mungu unaemchezea hivyo na kumkashifu iko siku atakuadhibu adhabu ya milele.

Unakataa kuwa andiko la biblia halijachakachuliwa?! Mbona ukiulizwa unajifanya huelewi! Na kukwepa maswali!

We si hodari wa kuuliza maswali!?
Hebu uliza na hapa sasa! Na jaribu kutufahamisha tufuate lipi hapa chini??

Bible says the following-:!

War or Peace?

EXO 15:3 The LORD is a man of war: the LORD is his name.

ROM 15:33 Now the God of peace be with you all. Amen.

Who is the father of Joseph?

MAT 1:16 And Jacob begat Joseph the husband of Mary, of whom was born Jesus, who is called Christ.

LUK 3:23 And Jesus himself began to be about thirty years of age, being (as was supposed) the son of Joseph, which was the son of Heli.

Who was at the Empty Tomb? Is it:

MAT 28:1 In the end of the sabbath, as it began to dawn toward the first day of the week, came Mary Magdalene and the other Mary to see the sepulchre.

MAR 16:1 And when the sabbath was past, Mary Magdalene, and Mary the mother of James, and Salome, had bought sweet spices, that they might come and anoint him.

JOH 20:1 The first day of the week cometh Mary Magdalene early, when it was yet dark, unto the sepulchre, and seeth the stone taken away from the sepulchre.

Is Jesus equal to or lesser than?

JOH 10:30 I and my Father are one.

JOH 14:28 Ye have heard how I said unto you, I go away, and come again unto you. If ye loved me, ye would rejoice, because I said, I go unto the Father: for my Father is greater than I.

Na hii ni mifano michache mno!

I think I have the right to tell you!
SHAME ON LIARS LIKE YOUR SELF!!
 
1 GOSPEL! !!? And one way to where? Hell fire??

One minute you r telling people that "jesus die for their sins!!

On the other hand we have this!!

Watch "Gospel Track = Kila Mtu Atabeba Mzigo Wake Mwenyewe = " on YouTube - https://www.youtube.com/watch?v=mIohIZVqQB4&feature=youtube_gdata_player

gospels Confused. Com.!!

Which one is which!!?? I think you and those muhamadan have something in common!

Teh teh teh teh!

Low Muhammadic self esteem. The only religion destiny to hell is islam
 
Back
Top Bottom