Hivi nabii Issa ndio nani vile?Nimekuaambia wewe na hao wenzako acheni uongo
Kwenye Quran hakuna Yesu!!!!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi nabii Issa ndio nani vile?Nimekuaambia wewe na hao wenzako acheni uongo
Kwenye Quran hakuna Yesu!!!!!!!!
John 17
Father, the hour has come. Glorify your Son, that your Son may glorify you. For you granted him authority over all people that he might give eternal life to all those you have given him. Now this is eternal life: that they know you, the only true God, and Jesus Christ, whom you have sent.
Cam on now! Galatians!!?
Cant you see there is two beings there??
GOD and JESUS!!!!!!! I mean! Even BLIND can see that!!
LOOK AGAIN HERE!!.... the only true God, and Jesus Christ, whom you have sent.
??????????? I feel sorry for you guys! I really m!
John 17
"Father, the hour has come. Glorify your Son, that your Son may glorify you. For you granted him authority over all people that he might give eternal life to all those you have given him. Now this is eternal life: that they know you, the only true God, and Jesus Christ, whom you have sent.
Cam on now! Galatians!!?
Cant you see there is two beings there??
GOD and JESUS!!!!!!! I mean! Even BLIND can see that!!
LOOK AGAIN HERE!!.... the only true God, and Jesus Christ, whom you have sent.
??????????? I feel sorry for you guys! I really m!
Hivi nabii Issa ndio nani vile?
...ndiye Yesu, aka Jesus, aka Masihi, aka Emmanuel !:smiling:
HOW DARE COULD YOU SENT
"THE GOD"???.
Hivi nabii Issa ndio nani vile?
sasa kwenye hiyo q'ran (sorry kama sijaiandika inavyotakiwa) hakuna Nabii Issa?
'THE GOD" in arabic means Allah!
Did you know that?
sasa kwenye hiyo q'ran (sorry kama sijaiandika inavyotakiwa) hakuna Nabii Issa?
sasa kwenye hiyo q'ran (sorry kama sijaiandika inavyotakiwa) hakuna Nabii Issa?
And jesus in swahili ni mungu sio!??
Nyie watu labsa mtafunguka macho siku ya kiama!
Sasa hii umeitoa wapi?
Au wewe unadhani mimi ninakutania?
Wee si unamuabudu yesu au??
Mi nakuonyesha andiko! We unalikataa na kuuliza maswali ya kitoooto ya kukwepa ukweli!
Chunga sana Eiyer ! Umri wako na pumzi zako ziko ktk mikono ya Mungu na akitaka anaweza kuikata saa yyt!
Soma andiko kama lilivyo na usijaribu kuchakachua au kugeuza tafsiri!
Life is too short to mess with God Almighty.
Huyu jamaa yenu hakutunga bali alikopi kutoka kwenye biblia na bahati mbaya alikuwa kilaza akawa anasahau mengine na mengine akawa nadanganyaHebu sasa tuiingize hii nadhari ya uwezekano ndani ya -QURAAN!
na tuseme kuwa mtu alizitunga tu na kuzibuni hizi aya za quraan na taarifa zote -zilizotajwa katika Qur'an ambayo ilikuwa haijulikani wakati huo.-
Hebu tujadili uwezekano wa kubahatisha wote uliotajwa ktk quraan! na mara ngapi QURAAN IMEBAHATISHA VITU NA VIKAWA SAHIHI 100%!!!!
NA SAYANSI PIA IKALITHIBITISHA HILO QURAAN INAPOLISEMA!!
1. UMBO LA DUNIA
-Wakati Qur'an inateremshwa, watu walidhani dunia ilikuwa tambarare, kuna chaguzi nyingine zilizo husishwa na umbo la sura ya dunia.
wengine walisema -Inaweza kuwa ni pembe tatu, inaweza kuwa mviringo, au pembe nne, au kama mpira, kama papai, au kama nusu ya kipande cha chungwa, quadrangular, pentagonal, hexagonal, heptagonal, octagonal, spherical, nk
Watu wa wakati huo walifanya chaguzi mbalimbali 30! kwa ajili ya kuitafakari sura ya dunia.
QURAAN IMEPATIA -SAWASAWA 100% {kama sayansi ilivyo gundua}KWA KUSEMA KUWA DUNIA NI -MVIRINGO{spherical},
-kama ilikuwa nafasi ya KUDHANI KUWA NI SAHIHI BASI NI 1/30.!
Ni zaidi ya uwezo wa binadamu kuweza kudhani na wakati wote akawa sahihi bila kosa hata moja,-
Na kama wewe .... una busara iliyo wazi na kwa mantiki hizi basi hii mifano michache tu inakutosha kuthibitisha -kwamba asili ya Qur'an ni Mungu.
NA MUNGU YUPO!
Huyu jamaa yenu hakutunga bali alikopi kutoka kwenye biblia na bahati mbaya alikuwa kilaza akawa anasahau mengine na mengine akawa nadanganya
Ushahidi huu hapa: http://www.faithfreedom.org/Articles/MohammadAsghar50418.htm
Uongo
Quran inasema kuwa dunia ni flat na makosa mengine mengi tu ya kisayansi
Ushahidi huu hapa:The Veil of Divine Inspiration of the Qur'an
Quran ni chini ya uwezo wa kufikiri hata wa sisimizi kwa maana sisimizi hawezi hata kusahau anakolala lakini mwandishi wa Quran Mohammed alikuwa msahaulifu hadi akachanganya mabo kiasi cha kutusha
Ushahidi huu hapa:Faith Freedom International
Kwanini nyie Waislam mnapenda sana kusema uongo?
Ndio maana nasema kuwa dini yenu anaenezwa kwa njia 2
1:Uongo
2:Ugaidi
Mahali ambapo watu ni smart wa kutosha kugundua uongo wenu mmetumia hiyo njia ya pili,Ugaidi ili kuwalazimisha watu wakubali huo uongo wenu
SHAME ON YOU MUSLIMS
1 GOSPEL! !!? And one way to where? Hell fire??
One minute you r telling people that "jesus die for their sins!!
On the other hand we have this!!
Watch "Gospel Track = Kila Mtu Atabeba Mzigo Wake Mwenyewe = " on YouTube - https://www.youtube.com/watch?v=mIohIZVqQB4&feature=youtube_gdata_player
gospels Confused. Com.!!
Which one is which!!?? I think you and those muhamadan have something in common!
Teh teh teh teh!
Hivi nabii Issa ndio nani vile?