Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Brooklyn hawa watu naona wameshavamia uzi wako wanakatana mapanga wao kwa wao, kila mtu anasema mungu wake ni wa kweli na dini ya mwenzake ni ya uwongo!! Atheist remain firm.
mkuu ni bora ukiangalia matendo ya waumini na vipengele vinavyohusiana na matendo yao unapotaka kuhoji pia ukiweka wazi imani yako ilipo.manake inaonyesha wewe ni ''African religion believer'' ambazo zimedhohofu tangu enzi za kinjiktile ngwale aliposhindwa kuwaokoa majemedari wake wasipigwe risasi. ninachopenda kusema kama wewe ni mtu mwenye imani ya dini unatakiwa ujue hakuna dini yoyote duniani isiyojulikana in and out, hata kama ni mungiki ama illuminati. hivyo your not free from being criticized if your a part of it.na hizi dini za ukristo na uislamu ndizo zinajulikana sana, unapokosoa neno ni vema ukahusisha na matendo ya waumini wake, na maandiko mistari wanayotumia. kwani kwa kutumia utaalamu wa lugha tu, unaakisi staili za wanasiasa especially wanaotaka kuvutia kwao kwa kunukuu kamstari.wazungu especially wamarekani wametusaidia sana na wanazidi kutupa msaada sisi wanadunia katika kuondokana na ukatili tunaotendewa kwa hizi imani za kulazimishana kwa mapanga wakijua hatma ya mwanadamu ipo hatarini pale utu wake na nafsi yake ikiangamia kwakukosa uhuru wa kujua ukweli na kufuata bila shuruti. uhuru wa kuhoji na kujajadili unaheshimika sana ulaya. haki hizi hazipo sehemu kubwa ya mashariki ya kati walipo waarabu ambao ni maskini, hawana elimu na traditionalisti na somalia. wazungu kuanzia nyumbani kwao wanaheshimu sana utu wa mtu. kama unaelewa nini maana ya utu utakuwa umenipata fresh, manake hata nyerere na viongozi wa africa walikipigania wakikitaaja kama ''utu wa mwafrika utambuliwe''Hebu sawazisha hapo! Mmoja kati ya hao anaabudu mzungu na mwingine anaabudu Mungu!
Na atheist remaining firm for what!?
That they still believe you. Me and monkeys are cousins??
Common now! You can do better than that! !
MAXSHIMBA I LOVE YOUR VOICE. IT'S THE ONLY REASON I 'LISTEN' TO YOUR VIDS AND THE ONLY REASON I BELIEVE IN INTELLIGENT DESIGN. AMEN!!!😛ray:
Was m.m.mkwawa not enough!
Teh teh teh teh!
mkuu ni bora ukiangalia matendo ya waumini na vipengele vinavyohusiana na matendo yao unapotaka kuhoji pia ukiweka wazi imani yako ilipo.manake inaonyesha wewe ni ''African religion believer'' ambazo zimedhohofu tangu enzi za kinjiktile ngwale aliposhindwa kuwaokoa majemedari wake wasipigwe risasi. ninachopenda kusema kama wewe ni mtu mwenye imani ya dini unatakiwa ujue hakuna dini yoyote duniani isiyojulikana in and out, hata kama ni mungiki ama illuminati. hivyo your not free from being criticized if your a part of it.na hizi dini za ukristo na uislamu ndizo zinajulikana sana, unapokosoa neno ni vema ukahusisha na matendo ya waumini wake, na maandiko mistari wanayotumia. kwani kwa kutumia utaalamu wa lugha tu, unaakisi staili za wanasiasa especially wanaotaka kuvutia kwao kwa kunukuu kamstari.wazungu especially wamarekani wametusaidia sana na wanazidi kutupa msaada sisi wanadunia katika kuondokana na ukatili tunaotendewa kwa hizi imani za kulazimishana kwa mapanga wakijua hatma ya mwanadamu ipo hatarini pale utu wake na nafsi yake ikiangamia kwakukosa uhuru wa kujua ukweli na kufuata bila shuruti. uhuru wa kuhoji na kujajadili unaheshimika sana ulaya. haki hizi hazipo sehemu kubwa ya mashariki ya kati walipo waarabu ambao ni maskini, hawana elimu na traditionalisti na somalia. wazungu kuanzia nyumbani kwao wanaheshimu sana utu wa mtu. kama unaelewa nini maana ya utu utakuwa umenipata fresh, manake hata nyerere na viongozi wa africa walikipigania wakikitaaja kama ''utu wa mwafrika utambuliwe''
Watch "How many times is Jesus (pbuh) mentioned in the Qur'an? Dr. Shabir Ally answers" on YouTube - https://www.youtube.com/watch?v=OOTr2ow6U0U&feature=youtube_gdata_player
Wamarekani na mabara yote ya ulaya ndio waanzilishi wa biashara za watumwa na ni watu wa kwanza kutawala nchi za wenzao kwa mabavu! Na hayo wanayafanya mpaka leo!
Teh teh teh! Hapo jamaa yangu umenichekesha kidogo!
Tatizo huyu mparokia wetu kila ukimuelekeza na akakosa point! Anachofanya ni kutoka! Na akirudi. Basi anarudi na jina jingine! Na ligi mpya!!
Hivi wewe Wamarekani ni watu gani?
Nimekuaambia wewe na hao wenzako acheni uongo
Kwenye Quran hakuna Yesu!!!!!!!!
Nimekuaambia wewe na hao wenzako acheni uongo
Kwenye Quran hakuna Yesu!!!!!!!!
Huko kutokuwa na dini,ndio dini yenyewe,dini maana ni mfumo wa maisha,sasa iweje mtu aseme hana dini.Hao wanaosema hawana dini,hawajuwa nini maana ya dini.Dini,maana yake ni mfumo wa maisha unaojichagulia,huko kusema huna dini ndio dini yenyewe.
We inaesema ukweli mbona unamsingizia Mungu uongo!?
Na unamsingizia mwana wa maria uongo!?
Na ukienda kusali, mbona husali kama Yesu alivyokuwa akiswali??
Basi huo ukweli wako ni wa kikabila gani!?
Halafu kuna mtu kaniambia kuwa umeichanganya hio gender description yako!
Hilo ni kweli??! Manake na wewe kwa kamba! Nakuaminia!!