Eiyer huwa naona maswali unayoulizaga. They only make sense to you
Yes,lazima yalete maana kwangu
Unadhani naweza kuwasemea watu wengine?
. Everybody knows what god means, if u think its clever kuanza tena kuuliza what god is then you"re on your own.
What?
Kila mtu?You must be kidding!
Umejuaje ya watu wengine?
hivi unajua kuna watu wanaabudu jiwe?
Hivi unajua kuna watu wanaabudu jua
Unajua kuna watu wanaabudu mwezi?
Unajua kuna watu wanaabudu ng'ombe?
And the list goes on and on.........
Na hao wote wanavyoviabudu wanaviita mungu
Sasa utaniambiaje kuwa "kila mtu anajua Mungu ni nani"?
We could talk about the story.
Tutazungumziaje story ya jambo ambalo hatujakubaliana ni lipi tunalolizungumzia na kwa mtazamo upi na kwanini?
Kama mungu alijua madhara ya ule mti aliuweka wa nini? Kama si kuwajaribu.
Again Mungu yupi/nani?
And umeemaanisha nini nimetoa hayo maneno wapi?
Nilitaka source ya ulipotoa hayo uliyoandika!
Another one of your silly Qs
If is that,where is your answers?
I wonder you can't answer silly question!!!!!
. What do u mean kujua mema na mabaya ni nini?
Kabla ya kujadili jambo na mtu ni lazima uhakikishe kuwa anajua anachokizungumza au kuandika,kuna wengine wanaandika au kusema kimazoea tu
Sasa nataka nihakikishe kama unajua maana ya kujua mema na mabaya!
BTW, that's a good Q kuprove god had invented evil
Ndio maana nilitaka uniambie Mungu ni nani ili nijue kama hata Mungu unamjua
Kwa kauli yako hii inaonekana hujui hata Mungu ni nani
Hivi panapowaka moto unaweza ukateka maji?
, just as the Muslims teach.
Hili nawaachia wao wakujibu!
Or maybe you tell me, did A%E know what "wrong" is? Did they know that "disobeying" is "wrong".
If they were perfect , how could they "do wrong"?
I didn't say any of this,you better keep this by yourself!
And umemaanisha simjui mungu wa kwenye biblia?
I don't know
Kama unamjua si uniambie?
What take you so long?
The one who condoned slavery, beating of slaves, rape, mass killing of children and animals, stonning kids who eat too much etc? Oh comon i know him....
Is this kind of god you tolking about?
Hakika simjui huyu mungu
Tafuta anaemjua mjadiliane!