Religious people are less intelligent than atheists, according to scientific studies

Religious people are less intelligent than atheists, according to scientific studies

Yes,lazima yalete maana kwangu
Unadhani naweza kuwasemea watu wengine?



What?
Kila mtu?You must be kidding!
Umejuaje ya watu wengine?
hivi unajua kuna watu wanaabudu jiwe?
Hivi unajua kuna watu wanaabudu jua
Unajua kuna watu wanaabudu mwezi?
Unajua kuna watu wanaabudu ng'ombe?
And the list goes on and on.........
Na hao wote wanavyoviabudu wanaviita mungu
Sasa utaniambiaje kuwa "kila mtu anajua Mungu ni nani"?



Tutazungumziaje story ya jambo ambalo hatujakubaliana ni lipi tunalolizungumzia na kwa mtazamo upi na kwanini?



Again Mungu yupi/nani?



Nilitaka source ya ulipotoa hayo uliyoandika!




If is that,where is your answers?
I wonder you can't answer silly question!!!!!


Kabla ya kujadili jambo na mtu ni lazima uhakikishe kuwa anajua anachokizungumza au kuandika,kuna wengine wanaandika au kusema kimazoea tu
Sasa nataka nihakikishe kama unajua maana ya kujua mema na mabaya!


Ndio maana nilitaka uniambie Mungu ni nani ili nijue kama hata Mungu unamjua
Kwa kauli yako hii inaonekana hujui hata Mungu ni nani
Hivi panapowaka moto unaweza ukateka maji?


Hili nawaachia wao wakujibu!



I didn't say any of this,you better keep this by yourself!



I don't know
Kama unamjua si uniambie?
What take you so long?


Is this kind of god you tolking about?
Hakika simjui huyu mungu
Tafuta anaemjua mjadiliane!

I was referring to the god of the old testament/the bible, the ancient Jewish god.
And the A&E story as narrated in the bible.

Wanna go from there?!
 
Kama hujui chochote ulikuwa unazbwabwaja nini?
Hapa umethibitisha kuwa ulikuwa unakurupuka tu?

Unajua mtu anaekataa asichokijua anaitwa nani?

We MKIRISTO!
Wacha kuuliza maswalu bila kujibu!

JIBU MASWALI! WACHA KUJITIA HUELEWI!
 
Hapo kwenye nyekundu naomba unikumbushe hiyo mistari inapatikana wapi nikajisomee mkuu! Mungu aliumba mtu kwa mfano wake mwenyewe, kwa maana hiyo mwanadamu yuko kamilifu kabisa kwa sababu mungu alijiangalizia yeye mwenyewe, sasa huyo shetani anaruhusiwa vipi kuhoji achilia mbali kujaribu kiumbe ambacho kinafanana na muumba wake?
Sisi waislam hatuamini kwamba Mungu alimuumba Adam kwa mfano wake, kupitia mafundisho ya Qur-an tukufu, Mungu anatwambia kwamba yeye hafanani wala hafanishwi na kitu chochote (Quran, 112:1-4). Kuhusiana na aya zinazoonyesha adhma ya Mungu kumuumba Adam soma hapa (Quran, 2:29-39). Sina kopi ya injili hapa ningekuwekea baadhi ya mistari kama hiyo lakini sio ile iliyozoeleka ya kwenye (Genesis..)
 
I was referring to the god of the old testament/the bible, the ancient Jewish god.
And the A&E story as narrated in the bible.

Wanna go from there?!


Huyu?:
The one who condoned slavery, beating of slaves, rape, mass killing of children and animals, stonning kids who eat too much etc?
 
Yes,lazima yalete maana kwangu
Unadhani naweza kuwasemea watu wengine?("):😕



What?
Kila mtu?You must be kidding!
Umejuaje ya watu wengine?(")😕
hivi unajua kuna watu wanaabudu jiwe?(")😕
Hivi unajua kuna watu wanaabudu jua
Unajua kuna watu wanaabudu mwezi?😕
Unajua kuna watu wanaabudu ng'ombe?😕
And the list goes on and on.........
Na hao wote wanavyoviabudu wanaviita mungu
Sasa utaniambiaje kuwa "kila mtu anajua Mungu ni nani"?(")😕



Tutazungumziaje story ya jambo ambalo hatujakubaliana ni lipi tunalolizungumzia na kwa mtazamo upi na kwanini?(")😕



Again Mungu yupi/nani?(")😕



Nilitaka source ya ulipotoa hayo uliyoandika!😕




If is that,where is your answers?(")😕
I wonder you can't answer silly question!!!!!


Kabla ya kujadili jambo na mtu ni lazima uhakikishe kuwa anajua anachokizungumza au kuandika,kuna wengine wanaandika au kusema kimazoea tu
Sasa nataka nihakikishe kama unajua maana ya kujua mema na mabaya!


Ndio maana nilitaka uniambie Mungu ni nani ili nijue kama hata Mungu unamjua
Kwa kauli yako hii inaonekana hujui hata Mungu ni nani
Hivi panapowaka moto unaweza ukateka maji?(")😕


Hili nawaachia wao wakujibu!(")😕😀



I didn't say any of this,you better keep this by yourself!



I don't know
Kama unamjua si uniambie?
What take you so long?


Is this kind of god you tolking about?😀😀
Hakika simjui huyu mungu
Tafuta anaemjua mjadiliane!
😕😕


HIVI WEWE MKIRISTO UNA PEPO WA MASWALI??
duhhhhhhh!

HUYO MCHUNGWAJI WAKO LZM KAISHA KUCHOKA KWA MASWALI!

HALAFU UNAPENDA KUOMBA "sources"
Ukipewa Unaingia gizani!

Ugalatia ni kazi kwelikweli!!
 
We MKIRISTO!
Wacha kuuliza maswalu bila kujibu!

JIBU MASWALI! WACHA KUJITIA HUELEWI!


We maamuma umekurupukia wapi?
Tatizo lenu huwa mnakurupuka bila kufikiri

Kwanza nilikuambia mimi sio mkiristo bdo unaendelea tu
Au hujui kusoma?

Pili wewe kama ungekuwa na uwezo wa kufikiri angalau kama nzi tu ungeweza kujiuliza sababu ya mimi kumuuliza huyo jamaa hivyo
Lakini kwa kuonyesha unavyozidiwa kufikiri hata na nzi umekurupuka na kuja kuandika mambo ya hovyo hapa!

Nyie watu sijui vipi!
 
😕😕


HIVI WEWE MKIRISTO UNA PEPO WA MASWALI??
duhhhhhhh!

HUYO MCHUNGWAJI WAKO LZM KAISHA KUCHOKA KWA MASWALI!

HALAFU UNAPENDA KUOMBA "sources"
Ukipewa Unaingia gizani!

Ugalatia ni kazi kwelikweli!!

Kuna haja ya serikali kukagua hizi madrasa mnazosoma
Maana mnakuwa kama misukule hivi

Wewe hebu nenda kajaribu kulala huenda hilo likawa jambo jema kwako kuliko kupost mambo ya hovyo hapa!!
 
We maamuma umekurupukia wapi?😕😱
Tatizo lenu huwa mnakurupuka bila kufikiri

Kwanza nilikuambia mimi sio mkiristo bdo unaendelea tu😕😱
Au hujui kusoma?

Pili wewe kama ungekuwa na uwezo wa kufikiri angalau kama nzi tu ungeweza kujiuliza sababu ya mimi kumuuliza huyo jamaa hivyo
Lakini kwa kuonyesha unavyozidiwa kufikiri hata na nzi umekurupuka na kuja kuandika mambo ya hovyo hapa!

Nyie watu sijui vipi!😱😕

Wewe MKIRISTO kweli una pepo wa maswali!
Nimekuvulia kofia!
Teh teh teh teh! Yaani wazee wako nadhani walikuwa wanakupiga sana wewe!
Manake nidhamu yako ni ndogo sana ktk mjadala!
We ni kuita watu majina ya ajabu ajabu!
Na kuuliza maswali kama mlevi!!
 
Hapo kwenye nyekundu naomba unikumbushe hiyo mistari inapatikana wapi nikajisomee mkuu! Mungu aliumba mtu kwa mfano wake mwenyewe, kwa maana hiyo mwanadamu yuko kamilifu kabisa kwa sababu mungu alijiangalizia yeye mwenyewe, sasa huyo shetani anaruhusiwa vipi kuhoji achilia mbali kujaribu kiumbe ambacho kinafanana na muumba wake?

Hapo jamaa yangu umekariri kwenye BIBLIA, ya kuwa mungu aliumba kutokana na mfano wake!!

Na hapo ni sawa na kusema binaadamu aliumba gari au computer kwa mfano wake!!
HAIINGI AKILINI HATA SIKU MOJA KUWA MUUMBAJI AWE ANAFANANA NA ALICHO KIUMBA!

Hao ndio wenye imani kuwa mungu wao alizaliwa, akaenda choo, akawaruhusu alio waumba wampige na mawe alio yaumba mwenyewe!! na auwawe na hao viumbe wake! na atundikwe kwenye msalaba wa mti alioumba mwenyewe!!

YAANI HAPO NDIO NASHINDWA HATA KUSHANGAA!
 
If u beleive Waisraeli walikuwa wanaongozwa na mungu, ndo huyo ndio. Don't tell me you only read the Greek Scriptures.

Wapo waliokuwa wanaabudu mwezi pia
What do you say about that?
 
Wewe MKIRISTO


We maamuma umekurupukia wapi?
Tatizo lenu huwa mnakurupuka bila kufikiri

Kwanza nilikuambia mimi sio mkiristo bdo unaendelea tu
Au hujui kusoma?

Nimestuka huenda naweza kuwa najadiliana na mtu mwenye matatizo makubwa sana ya akili

Nimeamua kukuacha kama ulivyo!!!!!!!!!!
 
That is true. And spiritual people are more intelligent than atheists and religious peoples. Fact.
 
Wapo waliokuwa wanaabudu mwezi pia
What do you say about that?

I know not of any faithful biblical Jews who worshipped the moon.. if you could quote a verse......

Are you trying exonerate the bible god from his evils?
 
Wapo waliokuwa wanaabudu mwezi pia
What do you say about that?

Nyie mnaabudu sanamu la mzungu!
Halafu mnakataa!
Ogopeni MUNGU aliye kuumbani nyinyi na aliye muumba Nabii issa ambae nyie mnaemuita mungu!

Ehh binadamu nyie! Leo kweli mpaka karne ya 21 bado watu wanaabudu kiumbe kama wao!? Anae kula na kunywa na kwenda choo!?!

Alhamdulillah!

Namshukuru MUUMBA WA MBINGU NA ARDHI KUNIFANYA MIMI KUWA MUISLAMU!
WALLAHI NI NEEMA YA AJABU HII!
LAITI WATU WANGELIJUA!
 
Nimestuka huenda naweza kuwa najadiliana na mtu mwenye matatizo makubwa sana ya akili

Nimeamua kukuacha kama ulivyo!!!!!!!!!!

Sijui yule mwenye kuabudu:-

MUNGU MMOJA ASIYE NA MFANO!
MWENYE MAMLAKA YOTE YA MBINGU NA ARDHI NA VILIVYOMO! NA MWENYE UWEZO WA KUSAMEHE BILA KUMUUA YEYOTE!?


AU yule MWENYE KUABUDU mungu ALIYEZALIWA. AKALA. AKAPIGWA. AKALIA NA AKAFA KIFO CHA MSALABA!

NA ASIYEWEZA HATA KUWAZUI HAO ALIOWAUMBA WASIMUUE!!
NA AKITAKA KUSAMEHE MPAKA AFE AU AMTOE MWANA WAKE WA PEKEE! AUWAWE!


SIJUI KTK HAWA WAWILI NANI ANA MATATIZO YA AKILI??

nakuachia wewe ujibu hilo swali.
 
Sasa nini maana ya "hufanyi vile unavyotaka wewe?"

And swali lako la mwisho, itakuwa rahisi ukinijibu ni mungu gani unamuongelea.....specifically.

Nimeandika "hafanyi vile unavyotaka wewe". Sasa hii "hufanyi" wewe unaitoa wapi, au uko kwenye viti virefu??

Kuhusu Mungu gani, kwa sasa tunaweza kubaki na tafsiri ya Mungu ya kawaida kabisa, kwamba ni yule aliyepo, mkuu, mwenye nguvu na mwenye kutenda atakalo. Asiyeingiliwa na yeyote na mwenye mamlaka ulimwenguni.
 
Nimeandika "hafanyi vile unavyotaka wewe". Sasa hii "hufanyi" wewe unaitoa wapi, au uko kwenye viti virefu??

Kuhusu Mungu gani, kwa sasa tunaweza kubaki na tafsiri ya Mungu ya kawaida kabisa, kwamba ni yule aliyepo, mkuu, mwenye nguvu na mwenye kutenda atakalo. Asiyeingiliwa na yeyote na mwenye mamlaka ulimwenguni.

Ukiamini MUNGU HUYU kwa vitendo!
Bila kuchakachua!

Basi ndugu yangu utakuwa ni ktk wenye kufanikiwa hapa Duniani na Kesho akhera!
 
That is true. And spiritual people are more intelligent than atheists and religious peoples. Fact.

HAPA NDUGU UMEPARAGANYA LUGHA KIDOGO!! what Do you mean by the word "spiritual people " !! is it someone without religion??
 
Nimeandika "hafanyi vile unavyotaka wewe". Sasa hii "hufanyi" wewe unaitoa wapi, au uko kwenye viti virefu??

Kuhusu Mungu gani, kwa sasa tunaweza kubaki na tafsiri ya Mungu ya kawaida kabisa, kwamba ni yule aliyepo, mkuu, mwenye nguvu na mwenye kutenda atakalo. Asiyeingiliwa na yeyote na mwenye mamlaka ulimwenguni.

Oh sorry I misread.

Kama sio mungu yule wa Waisraeli, kwanini nisimuulize?

Maybe huyu mungu ni mwelewa wa nature ya viumbe wake,
Ni rafiki/mpole,
Si mwenye uchu wa kuabudiwa (sifa ya mtu "intelligent"),
Anayependa viumbe wanaoReason,
........and the list inaendelea.

Binadamu angekuwa wa namna hiyo, kama ni kiongozi angekuwa na wafuasi wangapi?

Lakini mungu ambae haelewi nature yetu (asingechagua 'imani' kama means ya kumjua),
Unfriendly/katili (vitisho tunavyopewa si mchezo)
Mwenye uchu wa kuabudiwa (mpaka mtu anapatwa na maswali, hivi huyu ana weakness gani)
Asiyependa watu waReason (mf. mdogo, Kama nimeona genaeology ya biblia inaishia miaka kama 6000 iliyopita, wakati kuna mabaki ya binadamu na vitu vyake zaidi ya Miaka 100,000, kwanini niamini biblia?)
Ofcourse mungu huyu wa biblia huwezi kujifanya baba yako na kumuuliza.
 
Back
Top Bottom