bubbs
JF-Expert Member
- Feb 2, 2013
- 361
- 178
Yes,lazima yalete maana kwangu
Unadhani naweza kuwasemea watu wengine?
What?
Kila mtu?You must be kidding!
Umejuaje ya watu wengine?
hivi unajua kuna watu wanaabudu jiwe?
Hivi unajua kuna watu wanaabudu jua
Unajua kuna watu wanaabudu mwezi?
Unajua kuna watu wanaabudu ng'ombe?
And the list goes on and on.........
Na hao wote wanavyoviabudu wanaviita mungu
Sasa utaniambiaje kuwa "kila mtu anajua Mungu ni nani"?
Tutazungumziaje story ya jambo ambalo hatujakubaliana ni lipi tunalolizungumzia na kwa mtazamo upi na kwanini?
Again Mungu yupi/nani?
Nilitaka source ya ulipotoa hayo uliyoandika!
If is that,where is your answers?
I wonder you can't answer silly question!!!!!
Kabla ya kujadili jambo na mtu ni lazima uhakikishe kuwa anajua anachokizungumza au kuandika,kuna wengine wanaandika au kusema kimazoea tu
Sasa nataka nihakikishe kama unajua maana ya kujua mema na mabaya!
Ndio maana nilitaka uniambie Mungu ni nani ili nijue kama hata Mungu unamjua
Kwa kauli yako hii inaonekana hujui hata Mungu ni nani
Hivi panapowaka moto unaweza ukateka maji?
Hili nawaachia wao wakujibu!
I didn't say any of this,you better keep this by yourself!
I don't know
Kama unamjua si uniambie?
What take you so long?
Is this kind of god you tolking about?
Hakika simjui huyu mungu
Tafuta anaemjua mjadiliane!
I was referring to the god of the old testament/the bible, the ancient Jewish god.
And the A&E story as narrated in the bible.
Wanna go from there?!