IGWE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 9,578
- 7,774
Back to the topic sie tuliokua na dini ambao slogani yetu ilikua ni kazi na sala ndo tuliokua na akili kuliko hawa wacheza viduku wa shule za kata ambao mwaka mzima hawasali hata Mara moja
Yaani uko off-topic(uko chaka) full mkuu,...nadhani haujaelewa mada inayojadiliwa kabisaaaa...i wonder hata unavyojisifia eti mlikuwa na akili wakati hata content ya thread haujailewa,...i.e wewe unajadili alama mlizopata darasani baada ya kukariri notes wakati hapa tunajadili uelewa wa mambo kwa mapana yake.