Remigius: Secretarieti ya Chama Makao Makuu ilizuia majimbo 78 yasipewe printer za kadi , Laptop 254 na Video Camera 10 bure kisa janjajanja

Remigius: Secretarieti ya Chama Makao Makuu ilizuia majimbo 78 yasipewe printer za kadi , Laptop 254 na Video Camera 10 bure kisa janjajanja

WanaCHADEMA wanaosema Lissu hafai wanaweza kuwa na hoja lakini zote hazina mashiko.

Wengi ni waoga wa mabadiliko, ni sawa na wale watu ndani ya mfumo wanaoamini CCM haipaswi kuachia madaraka, wakihofia uongozi wa chama kipya utawatendea vipi? Utavumulia madudu yao kama CCM inavyovumulia?

Nashangaa kuona baadhi ya WanaCHADEMA wanaogopa mabadiliko ambayo wamekuwa wakiyahubiri kila mahali.
 
AMEANDIKA REMIGIUS AFISA WA IT CHADEMA MAKAO MAKUU

Secretariat ya Chama Makao Makuu ilizuia majimbo 78 yasipewe printer bure, Laptop 254 na Video Camera 10 .

Twende pamoja; Ndugu Mwanachama na Mpiga kura Idara yenu ya IT kupitia Mtumishi wenu Remigius nilianzisha project ya kusaidia majimbo mwaka 2022 ili walau kila jimbo lipate printer za kuprint kadi za wanachama.

Project yangu ikazaa matunda, marafiki zangu wa nje ya nchi ambao waliniamini na kuelewa mpango kazi niliowapa wakakubali kusaidia majimbo kwa kuyapa printer bure. Mpango kazi wetu ilikuwa kila baada ya miezi mitatu napokea printer 5 na kuzigawa.

Awamu ya kwanza, Nikapokea Printer 5 nikaziweka ofisini Makao Makuu, Viongozi walipoziona wakanitaka nisizigawe hadi wao wanipe majimbo wanayotaka wao! Nikawaambia ilo halitowezekana, Hii ni Project nimeandaa mimi kwa ajili ya majimbo kadhaa, tayari majimbo hayo yana taarifa. Wakanizuia, ila mimi nikazigawa! (Nilijua wanachotaka kufanya kwa vile nawajua)

Makao Makuu wakaanza chuki na wivu, nikaanza kupigwa majungu eti hii Project ya Remigius haifuati utaratibu. Remigius atakuwa anapata pesa. Nikawajibu Kama napata pesa na lengo la kugawa printer linafanyika, mwenye fedha zake mfadhili hajanungunika ndo kwanza anaongeza nyie inawauma nini? Si na nyie mtafute Project tuwape wanachama? Ebo! Kuwapa wanachama printer iwe ni shida!

Nikaombwa ripoti ya kazi hiyo, nikawapa ripoti nzuri kama ilivyo, kumbe lengo leo ni kujua hasa ni nani ananifadhili hizi printer. Wakafanikiwa kumjua, na hapo wakaanza kumsumbua. Mpaka wakapanga safari kutoka Tanzania kwenda Marekani kukutana nao wafadhili. Wakakutana, mfadhili akawaambia Remigius tunamuamini na Project inaenda vizuri tunakusudia kuongeza idadi ya majimbo. Wakamwambia usiendelee na hiyo Project!

Mimi na Mfadhili tukawasiliana akiwa amevunjika moyo sana, aamini kama Chama kinaweza kufanya maamuzi ya hivi. Nikamwambia ebu tuache hizo kazi! Mimi ninangozi ya kupambana nao wanasiasa nawajua, wewe ni mfanyabiashara! Acha hii Project.. Na Project ikafa.

Majimbo yaliyonufaika kwa haraka ni Mlimba Kupitia suzani Kiwanga, Serengeti kupitia Ruge, Musoma Mjini kupitia Julius Mwita, Singida magahribi kupitia Maro, Temeke kupitia Soka, Tanga Mjini kupitia Zainab, Muheza kupitia Yosepha, Shinyanga Mjini kupitia Ntobi n.k wote hawa walipewa printer bure na mimi ndo niliwakabidhi. Majimbo mengie nilisafiri na kufika na kukabidhi.

Majimbo ambayo yalikuwa yapokee printer wiki hiyo hiyo kabla ya kuzuia yalikuwa ni Buyungu, Chato, Bariadi mjini, Sengerema, Kahama na Njombe Mjini.

Waheshimiwa wajumbe, Fikilia ofisi yenu chini ya Secretariat ya Katibu Mkuu Mnyika wanakuwa na ubinafsi wa kiwango hicho.

Fikilia, kama Secretariet wako tayari kuzuia Project isiendelee kwa vile tu hawajainzisha wao.

Katikati ya Hiyo Project nikapata Mfadhili wa pili yeye alitaka kugawa Laptop majimbo yote 254 na Kugawa Camera kubwa za kurekodi matukio kanda zote 10 kwa maafisa habari. Project zote hizo zikashindwa kuendelea kwasababu ya hii Secretariat!

Mtu aliyekuzuia jimbo lako /Mkoa wako usipewe Laptop Bure na printer bure ndo wanapiga simu kumuombee kura Mwamba! Wanajua endapo Lissu akiwa Mwenyekiti, Secretariat itafumuliwa na kusukwa upya! Hiki kitu hawataki kitokee kamwe.

Kwa sasa! Tundu Lissu anatosha, akaisuke Makao Makuu upya!

Mpiga kura kazi kwako.

#WameyatakaWatayapata
#Wasikimbie


Ninapoonaga kigogo anasema ufipa kuna wahuni kumbe ni kweli. Wavuliwe nguo chama kipone haraka.
 
AMEANDIKA REMIGIUS AFISA WA IT CHADEMA MAKAO MAKUU

Secretariat ya Chama Makao Makuu ilizuia majimbo 78 yasipewe printer bure, Laptop 254 na Video Camera 10 .

Twende pamoja; Ndugu Mwanachama na Mpiga kura Idara yenu ya IT kupitia Mtumishi wenu Remigius nilianzisha project ya kusaidia majimbo mwaka 2022 ili walau kila jimbo lipate printer za kuprint kadi za wanachama.

Project yangu ikazaa matunda, marafiki zangu wa nje ya nchi ambao waliniamini na kuelewa mpango kazi niliowapa wakakubali kusaidia majimbo kwa kuyapa printer bure. Mpango kazi wetu ilikuwa kila baada ya miezi mitatu napokea printer 5 na kuzigawa.

Awamu ya kwanza, Nikapokea Printer 5 nikaziweka ofisini Makao Makuu, Viongozi walipoziona wakanitaka nisizigawe hadi wao wanipe majimbo wanayotaka wao! Nikawaambia ilo halitowezekana, Hii ni Project nimeandaa mimi kwa ajili ya majimbo kadhaa, tayari majimbo hayo yana taarifa. Wakanizuia, ila mimi nikazigawa! (Nilijua wanachotaka kufanya kwa vile nawajua)

Makao Makuu wakaanza chuki na wivu, nikaanza kupigwa majungu eti hii Project ya Remigius haifuati utaratibu. Remigius atakuwa anapata pesa. Nikawajibu Kama napata pesa na lengo la kugawa printer linafanyika, mwenye fedha zake mfadhili hajanungunika ndo kwanza anaongeza nyie inawauma nini? Si na nyie mtafute Project tuwape wanachama? Ebo! Kuwapa wanachama printer iwe ni shida!

Nikaombwa ripoti ya kazi hiyo, nikawapa ripoti nzuri kama ilivyo, kumbe lengo leo ni kujua hasa ni nani ananifadhili hizi printer. Wakafanikiwa kumjua, na hapo wakaanza kumsumbua. Mpaka wakapanga safari kutoka Tanzania kwenda Marekani kukutana nao wafadhili. Wakakutana, mfadhili akawaambia Remigius tunamuamini na Project inaenda vizuri tunakusudia kuongeza idadi ya majimbo. Wakamwambia usiendelee na hiyo Project!

Mimi na Mfadhili tukawasiliana akiwa amevunjika moyo sana, aamini kama Chama kinaweza kufanya maamuzi ya hivi. Nikamwambia ebu tuache hizo kazi! Mimi ninangozi ya kupambana nao wanasiasa nawajua, wewe ni mfanyabiashara! Acha hii Project.. Na Project ikafa.

Majimbo yaliyonufaika kwa haraka ni Mlimba Kupitia suzani Kiwanga, Serengeti kupitia Ruge, Musoma Mjini kupitia Julius Mwita, Singida magahribi kupitia Maro, Temeke kupitia Soka, Tanga Mjini kupitia Zainab, Muheza kupitia Yosepha, Shinyanga Mjini kupitia Ntobi n.k wote hawa walipewa printer bure na mimi ndo niliwakabidhi. Majimbo mengie nilisafiri na kufika na kukabidhi.

Majimbo ambayo yalikuwa yapokee printer wiki hiyo hiyo kabla ya kuzuia yalikuwa ni Buyungu, Chato, Bariadi mjini, Sengerema, Kahama na Njombe Mjini.

Waheshimiwa wajumbe, Fikilia ofisi yenu chini ya Secretariat ya Katibu Mkuu Mnyika wanakuwa na ubinafsi wa kiwango hicho.

Fikilia, kama Secretariet wako tayari kuzuia Project isiendelee kwa vile tu hawajainzisha wao.

Katikati ya Hiyo Project nikapata Mfadhili wa pili yeye alitaka kugawa Laptop majimbo yote 254 na Kugawa Camera kubwa za kurekodi matukio kanda zote 10 kwa maafisa habari. Project zote hizo zikashindwa kuendelea kwasababu ya hii Secretariat!

Mtu aliyekuzuia jimbo lako /Mkoa wako usipewe Laptop Bure na printer bure ndo wanapiga simu kumuombee kura Mwamba! Wanajua endapo Lissu akiwa Mwenyekiti, Secretariat itafumuliwa na kusukwa upya! Hiki kitu hawataki kitokee kamwe.

Kwa sasa! Tundu Lissu anatosha, akaisuke Makao Makuu upya!

Mpiga kura kazi kwako.

#WameyatakaWatayapata
#Wasikimbie
Mmeanza sasa. Hakuna taasisi itakuruhusu kugawa vifaa kama hivi bila kuishirikisha maana wao ndio wanajua mahitaji haswa yako wapi. Hauwezi kuwa na mradi wa Chadema, na ukatafutia hela kwa ajili ya Chadema na pengine ukapata msamaha wa kodi kwa kutumia jina la Chadema halafu mwisho wa siku ukasema ule ni mradi wako sio wa Chadema. Haukuwa na nia ya kusaidia Chadema bali ulikuwa unatafuta umaarufu. Ndio maana umeibua leo ishu ya 2022 kwa matumaini kuwa Lissu atakukumbuka katika ufalme wake. Hebu fikiria kwa mfano Chadema wangekubalia halafu akatokeza mtu akasema kuwa zilipatikana kwa nia isiyo halali, au ni sehemu ya mpango wa kutakatisha pesa n.k. watakaochafuka si watakuwa Chadema na sio wewe. Au hizo kompyuta na kamera zina uwezo wa kurekodi na kurusha mambo ya ndani ya Chadema.

Acheni hayo. Badala ya kujenga mnabomoa.

Amandla...
 
Hiyo sasa porojo. CHADEMA haina watu wajinga kiasi hicho. Hii habari haijakaa vyema.
Sisingizi mtu yoyote hapo,Mzee Mbowe,Lema,Wenje ,Sugu na mdude hakuana aliefaulu elimu ya sekondari wala kuweza kupata hata course ya certificate kwa masomo ya chuo.
 
Bila Mwamba Mbowe saa hizi huyo Lissu asingechukua fomu za kugombea uwenyekiti angekuwa shimo la Tewa !!
Nenda ka google nini maana ya shimo la Tewa !
 
Kwani simu hazidakuliwi? Ujinga mzigo printer ya kuprint kadi inadakuliwa ili iweje? Pumbavu Sana
Laptop haiwezi kuwa compromised? CCTV camera haziwezi kuwa compromised? Hata printer zinaweza kuwekwa recording devices. Hamna information isiyokuwa na thamani.

Amandla...
 
AMEANDIKA REMIGIUS AFISA WA IT CHADEMA MAKAO MAKUU

Secretariat ya Chama Makao Makuu ilizuia majimbo 78 yasipewe printer bure, Laptop 254 na Video Camera 10 .

Twende pamoja; Ndugu Mwanachama na Mpiga kura Idara yenu ya IT kupitia Mtumishi wenu Remigius nilianzisha project ya kusaidia majimbo mwaka 2022 ili walau kila jimbo lipate printer za kuprint kadi za wanachama.

Project yangu ikazaa matunda, marafiki zangu wa nje ya nchi ambao waliniamini na kuelewa mpango kazi niliowapa wakakubali kusaidia majimbo kwa kuyapa printer bure. Mpango kazi wetu ilikuwa kila baada ya miezi mitatu napokea printer 5 na kuzigawa.

Awamu ya kwanza, Nikapokea Printer 5 nikaziweka ofisini Makao Makuu, Viongozi walipoziona wakanitaka nisizigawe hadi wao wanipe majimbo wanayotaka wao! Nikawaambia ilo halitowezekana, Hii ni Project nimeandaa mimi kwa ajili ya majimbo kadhaa, tayari majimbo hayo yana taarifa. Wakanizuia, ila mimi nikazigawa! (Nilijua wanachotaka kufanya kwa vile nawajua)

Makao Makuu wakaanza chuki na wivu, nikaanza kupigwa majungu eti hii Project ya Remigius haifuati utaratibu. Remigius atakuwa anapata pesa. Nikawajibu Kama napata pesa na lengo la kugawa printer linafanyika, mwenye fedha zake mfadhili hajanungunika ndo kwanza anaongeza nyie inawauma nini? Si na nyie mtafute Project tuwape wanachama? Ebo! Kuwapa wanachama printer iwe ni shida!

Nikaombwa ripoti ya kazi hiyo, nikawapa ripoti nzuri kama ilivyo, kumbe lengo leo ni kujua hasa ni nani ananifadhili hizi printer. Wakafanikiwa kumjua, na hapo wakaanza kumsumbua. Mpaka wakapanga safari kutoka Tanzania kwenda Marekani kukutana nao wafadhili. Wakakutana, mfadhili akawaambia Remigius tunamuamini na Project inaenda vizuri tunakusudia kuongeza idadi ya majimbo. Wakamwambia usiendelee na hiyo Project!

Mimi na Mfadhili tukawasiliana akiwa amevunjika moyo sana, aamini kama Chama kinaweza kufanya maamuzi ya hivi. Nikamwambia ebu tuache hizo kazi! Mimi ninangozi ya kupambana nao wanasiasa nawajua, wewe ni mfanyabiashara! Acha hii Project.. Na Project ikafa.

Majimbo yaliyonufaika kwa haraka ni Mlimba Kupitia suzani Kiwanga, Serengeti kupitia Ruge, Musoma Mjini kupitia Julius Mwita, Singida magahribi kupitia Maro, Temeke kupitia Soka, Tanga Mjini kupitia Zainab, Muheza kupitia Yosepha, Shinyanga Mjini kupitia Ntobi n.k wote hawa walipewa printer bure na mimi ndo niliwakabidhi. Majimbo mengie nilisafiri na kufika na kukabidhi.

Majimbo ambayo yalikuwa yapokee printer wiki hiyo hiyo kabla ya kuzuia yalikuwa ni Buyungu, Chato, Bariadi mjini, Sengerema, Kahama na Njombe Mjini.

Waheshimiwa wajumbe, Fikilia ofisi yenu chini ya Secretariat ya Katibu Mkuu Mnyika wanakuwa na ubinafsi wa kiwango hicho.

Fikilia, kama Secretariet wako tayari kuzuia Project isiendelee kwa vile tu hawajainzisha wao.

Katikati ya Hiyo Project nikapata Mfadhili wa pili yeye alitaka kugawa Laptop majimbo yote 254 na Kugawa Camera kubwa za kurekodi matukio kanda zote 10 kwa maafisa habari. Project zote hizo zikashindwa kuendelea kwasababu ya hii Secretariat!

Mtu aliyekuzuia jimbo lako /Mkoa wako usipewe Laptop Bure na printer bure ndo wanapiga simu kumuombee kura Mwamba! Wanajua endapo Lissu akiwa Mwenyekiti, Secretariat itafumuliwa na kusukwa upya! Hiki kitu hawataki kitokee kamwe.

Kwa sasa! Tundu Lissu anatosha, akaisuke Makao Makuu upya!

Mpiga kura kazi kwako.

#WameyatakaWatayapata
#Wasikimbie
Walikuwa sawa kumzuia, ameifanya kama project binafsi, hiku akitumia mtandao wa Chama, na kila kitu cha Chama huku akikinyima Chama taarifa muhimu zikiwepo taarifa za anayefadhili hiyo 'project yake'.
Yaani alijianzishia project ndani ya Chama akapanga kila kitu mwenyewe bila kushirikisha Chama, huyo mbana fala?Ingegundlika ufadhili huo ulikuwa na nia iliyojificha si ni Chama ndiyo kingewajibika na kuchafuka?
 
Bado upo kwenye nafasi yako ya Afisa wa IT CHADEMA HQ au wameshakuondoa?

CHADEMA watakuwa wanafanya kazi kienyeji sana. Afisa binafsi anabuni na kutekeleza mradi nyeti kiasi hicho wenye wafadhili wa nje bila mfumo wa uongozi kuhusika na mpango mzima.

Yaani wanastukia tu mradi umeanza kisha wanaanza harakati za kuuzuia na kutafuta huyo mfadhili ni nani. Strange. Basi hakuna taasisi hapo.
Mkuu hivi hujui hata hizi ziara za mikoani Lissu alikua anatafuta pesa zake na Mbowe ana raise za kwake!! Yaani chama kimoja ila kila mtu atafute pesa zake kufanyia siasa!!. Mind you as much as its fake news ila unaweza kuta hata huyo IT alikua hana mshahara wala ofisi ila unapewa cheo tu ila namna ya kufanya kazi it's up to you.

Chadema ilipaswa itoke huko kwenye kulia lia shida 2015-2020 tulikua na ruzuku kubwa sana ingetosha kuwa na miradi mingi mnoo ya kukipa fedha chama. Huu uchaguzi mpka uishe, hata Mbowe akishinda itakua phyrric victory.
 
Bila Mwamba Mbowe saa hizi huyo Lissu asingechukua fomu za kugombea uwenyekiti angekuwa shimo la Tewa !!
Nenda ka google nini maana ya shimo la Tewa !
Yeye ndio dk bigwa siyo ,acha upuuzi ,mzee mbowe anamtegemea lisu kuliko Lissu anavyomtegemea Mbowe
 
Bado upo kwenye nafasi yako ya Afisa wa IT CHADEMA HQ au wameshakuondoa?

CHADEMA watakuwa wanafanya kazi kienyeji sana. Afisa binafsi anabuni na kutekeleza mradi nyeti kiasi hicho wenye wafadhili wa nje bila mfumo wa uongozi kuhusika na mpango mzima.

Yaani wanastukia tu mradi umeanza kisha wanaanza harakati za kuuzuia na kutafuta huyo mfadhili ni nani. Strange. Basi hakuna taasisi hapo.
Hata mim limenifikirisha hilo
 
AMEANDIKA REMIGIUS AFISA WA IT CHADEMA MAKAO MAKUU

Secretariat ya Chama Makao Makuu ilizuia majimbo 78 yasipewe printer bure, Laptop 254 na Video Camera 10 .

Twende pamoja; Ndugu Mwanachama na Mpiga kura Idara yenu ya IT kupitia Mtumishi wenu Remigius nilianzisha project ya kusaidia majimbo mwaka 2022 ili walau kila jimbo lipate printer za kuprint kadi za wanachama.

Project yangu ikazaa matunda, marafiki zangu wa nje ya nchi ambao waliniamini na kuelewa mpango kazi niliowapa wakakubali kusaidia majimbo kwa kuyapa printer bure. Mpango kazi wetu ilikuwa kila baada ya miezi mitatu napokea printer 5 na kuzigawa.

Awamu ya kwanza, Nikapokea Printer 5 nikaziweka ofisini Makao Makuu, Viongozi walipoziona wakanitaka nisizigawe hadi wao wanipe majimbo wanayotaka wao! Nikawaambia ilo halitowezekana, Hii ni Project nimeandaa mimi kwa ajili ya majimbo kadhaa, tayari majimbo hayo yana taarifa. Wakanizuia, ila mimi nikazigawa! (Nilijua wanachotaka kufanya kwa vile nawajua)

Makao Makuu wakaanza chuki na wivu, nikaanza kupigwa majungu eti hii Project ya Remigius haifuati utaratibu. Remigius atakuwa anapata pesa. Nikawajibu Kama napata pesa na lengo la kugawa printer linafanyika, mwenye fedha zake mfadhili hajanungunika ndo kwanza anaongeza nyie inawauma nini? Si na nyie mtafute Project tuwape wanachama? Ebo! Kuwapa wanachama printer iwe ni shida!

Nikaombwa ripoti ya kazi hiyo, nikawapa ripoti nzuri kama ilivyo, kumbe lengo leo ni kujua hasa ni nani ananifadhili hizi printer. Wakafanikiwa kumjua, na hapo wakaanza kumsumbua. Mpaka wakapanga safari kutoka Tanzania kwenda Marekani kukutana nao wafadhili. Wakakutana, mfadhili akawaambia Remigius tunamuamini na Project inaenda vizuri tunakusudia kuongeza idadi ya majimbo. Wakamwambia usiendelee na hiyo Project!

Mimi na Mfadhili tukawasiliana akiwa amevunjika moyo sana, aamini kama Chama kinaweza kufanya maamuzi ya hivi. Nikamwambia ebu tuache hizo kazi! Mimi ninangozi ya kupambana nao wanasiasa nawajua, wewe ni mfanyabiashara! Acha hii Project.. Na Project ikafa.

Majimbo yaliyonufaika kwa haraka ni Mlimba Kupitia suzani Kiwanga, Serengeti kupitia Ruge, Musoma Mjini kupitia Julius Mwita, Singida magahribi kupitia Maro, Temeke kupitia Soka, Tanga Mjini kupitia Zainab, Muheza kupitia Yosepha, Shinyanga Mjini kupitia Ntobi n.k wote hawa walipewa printer bure na mimi ndo niliwakabidhi. Majimbo mengie nilisafiri na kufika na kukabidhi.

Majimbo ambayo yalikuwa yapokee printer wiki hiyo hiyo kabla ya kuzuia yalikuwa ni Buyungu, Chato, Bariadi mjini, Sengerema, Kahama na Njombe Mjini.

Waheshimiwa wajumbe, Fikilia ofisi yenu chini ya Secretariat ya Katibu Mkuu Mnyika wanakuwa na ubinafsi wa kiwango hicho.

Fikilia, kama Secretariet wako tayari kuzuia Project isiendelee kwa vile tu hawajainzisha wao.

Katikati ya Hiyo Project nikapata Mfadhili wa pili yeye alitaka kugawa Laptop majimbo yote 254 na Kugawa Camera kubwa za kurekodi matukio kanda zote 10 kwa maafisa habari. Project zote hizo zikashindwa kuendelea kwasababu ya hii Secretariat!

Mtu aliyekuzuia jimbo lako /Mkoa wako usipewe Laptop Bure na printer bure ndo wanapiga simu kumuombee kura Mwamba! Wanajua endapo Lissu akiwa Mwenyekiti, Secretariat itafumuliwa na kusukwa upya! Hiki kitu hawataki kitokee kamwe.

Kwa sasa! Tundu Lissu anatosha, akaisuke Makao Makuu upya!

Mpiga kura kazi kwako.

#WameyatakaWatayapata
#Wasikimbie
Huyo jamaa hadi sasa bado ni IT wa chama????
Code of ethics.
 
AMEANDIKA REMIGIUS AFISA WA IT CHADEMA MAKAO MAKUU

Secretariat ya Chama Makao Makuu ilizuia majimbo 78 yasipewe printer bure, Laptop 254 na Video Camera 10 .

Twende pamoja; Ndugu Mwanachama na Mpiga kura Idara yenu ya IT kupitia Mtumishi wenu Remigius nilianzisha project ya kusaidia majimbo mwaka 2022 ili walau kila jimbo lipate printer za kuprint kadi za wanachama.

Project yangu ikazaa matunda, marafiki zangu wa nje ya nchi ambao waliniamini na kuelewa mpango kazi niliowapa wakakubali kusaidia majimbo kwa kuyapa printer bure. Mpango kazi wetu ilikuwa kila baada ya miezi mitatu napokea printer 5 na kuzigawa.

Awamu ya kwanza, Nikapokea Printer 5 nikaziweka ofisini Makao Makuu, Viongozi walipoziona wakanitaka nisizigawe hadi wao wanipe majimbo wanayotaka wao! Nikawaambia ilo halitowezekana, Hii ni Project nimeandaa mimi kwa ajili ya majimbo kadhaa, tayari majimbo hayo yana taarifa. Wakanizuia, ila mimi nikazigawa! (Nilijua wanachotaka kufanya kwa vile nawajua)

Makao Makuu wakaanza chuki na wivu, nikaanza kupigwa majungu eti hii Project ya Remigius haifuati utaratibu. Remigius atakuwa anapata pesa. Nikawajibu Kama napata pesa na lengo la kugawa printer linafanyika, mwenye fedha zake mfadhili hajanungunika ndo kwanza anaongeza nyie inawauma nini? Si na nyie mtafute Project tuwape wanachama? Ebo! Kuwapa wanachama printer iwe ni shida!

Nikaombwa ripoti ya kazi hiyo, nikawapa ripoti nzuri kama ilivyo, kumbe lengo leo ni kujua hasa ni nani ananifadhili hizi printer. Wakafanikiwa kumjua, na hapo wakaanza kumsumbua. Mpaka wakapanga safari kutoka Tanzania kwenda Marekani kukutana nao wafadhili. Wakakutana, mfadhili akawaambia Remigius tunamuamini na Project inaenda vizuri tunakusudia kuongeza idadi ya majimbo. Wakamwambia usiendelee na hiyo Project!

Mimi na Mfadhili tukawasiliana akiwa amevunjika moyo sana, aamini kama Chama kinaweza kufanya maamuzi ya hivi. Nikamwambia ebu tuache hizo kazi! Mimi ninangozi ya kupambana nao wanasiasa nawajua, wewe ni mfanyabiashara! Acha hii Project.. Na Project ikafa.

Majimbo yaliyonufaika kwa haraka ni Mlimba Kupitia suzani Kiwanga, Serengeti kupitia Ruge, Musoma Mjini kupitia Julius Mwita, Singida magahribi kupitia Maro, Temeke kupitia Soka, Tanga Mjini kupitia Zainab, Muheza kupitia Yosepha, Shinyanga Mjini kupitia Ntobi n.k wote hawa walipewa printer bure na mimi ndo niliwakabidhi. Majimbo mengie nilisafiri na kufika na kukabidhi.

Majimbo ambayo yalikuwa yapokee printer wiki hiyo hiyo kabla ya kuzuia yalikuwa ni Buyungu, Chato, Bariadi mjini, Sengerema, Kahama na Njombe Mjini.

Waheshimiwa wajumbe, Fikilia ofisi yenu chini ya Secretariat ya Katibu Mkuu Mnyika wanakuwa na ubinafsi wa kiwango hicho.

Fikilia, kama Secretariet wako tayari kuzuia Project isiendelee kwa vile tu hawajainzisha wao.

Katikati ya Hiyo Project nikapata Mfadhili wa pili yeye alitaka kugawa Laptop majimbo yote 254 na Kugawa Camera kubwa za kurekodi matukio kanda zote 10 kwa maafisa habari. Project zote hizo zikashindwa kuendelea kwasababu ya hii Secretariat!

Mtu aliyekuzuia jimbo lako /Mkoa wako usipewe Laptop Bure na printer bure ndo wanapiga simu kumuombee kura Mwamba! Wanajua endapo Lissu akiwa Mwenyekiti, Secretariat itafumuliwa na kusukwa upya! Hiki kitu hawataki kitokee kamwe.

Kwa sasa! Tundu Lissu anatosha, akaisuke Makao Makuu upya!

Mpiga kura kazi kwako.

#WameyatakaWatayapata
#Wasikimbie
Mbowe ni balaa na nusu
 
AMEANDIKA REMIGIUS AFISA WA IT CHADEMA MAKAO MAKUU

Secretariat ya Chama Makao Makuu ilizuia majimbo 78 yasipewe printer bure, Laptop 254 na Video Camera 10 .

Twende pamoja; Ndugu Mwanachama na Mpiga kura Idara yenu ya IT kupitia Mtumishi wenu Remigius nilianzisha project ya kusaidia majimbo mwaka 2022 ili walau kila jimbo lipate printer za kuprint kadi za wanachama.

Project yangu ikazaa matunda, marafiki zangu wa nje ya nchi ambao waliniamini na kuelewa mpango kazi niliowapa wakakubali kusaidia majimbo kwa kuyapa printer bure. Mpango kazi wetu ilikuwa kila baada ya miezi mitatu napokea printer 5 na kuzigawa.

Awamu ya kwanza, Nikapokea Printer 5 nikaziweka ofisini Makao Makuu, Viongozi walipoziona wakanitaka nisizigawe hadi wao wanipe majimbo wanayotaka wao! Nikawaambia ilo halitowezekana, Hii ni Project nimeandaa mimi kwa ajili ya majimbo kadhaa, tayari majimbo hayo yana taarifa. Wakanizuia, ila mimi nikazigawa! (Nilijua wanachotaka kufanya kwa vile nawajua)

Makao Makuu wakaanza chuki na wivu, nikaanza kupigwa majungu eti hii Project ya Remigius haifuati utaratibu. Remigius atakuwa anapata pesa. Nikawajibu Kama napata pesa na lengo la kugawa printer linafanyika, mwenye fedha zake mfadhili hajanungunika ndo kwanza anaongeza nyie inawauma nini? Si na nyie mtafute Project tuwape wanachama? Ebo! Kuwapa wanachama printer iwe ni shida!

Nikaombwa ripoti ya kazi hiyo, nikawapa ripoti nzuri kama ilivyo, kumbe lengo leo ni kujua hasa ni nani ananifadhili hizi printer. Wakafanikiwa kumjua, na hapo wakaanza kumsumbua. Mpaka wakapanga safari kutoka Tanzania kwenda Marekani kukutana nao wafadhili. Wakakutana, mfadhili akawaambia Remigius tunamuamini na Project inaenda vizuri tunakusudia kuongeza idadi ya majimbo. Wakamwambia usiendelee na hiyo Project!

Mimi na Mfadhili tukawasiliana akiwa amevunjika moyo sana, aamini kama Chama kinaweza kufanya maamuzi ya hivi. Nikamwambia ebu tuache hizo kazi! Mimi ninangozi ya kupambana nao wanasiasa nawajua, wewe ni mfanyabiashara! Acha hii Project.. Na Project ikafa.

Majimbo yaliyonufaika kwa haraka ni Mlimba Kupitia suzani Kiwanga, Serengeti kupitia Ruge, Musoma Mjini kupitia Julius Mwita, Singida magahribi kupitia Maro, Temeke kupitia Soka, Tanga Mjini kupitia Zainab, Muheza kupitia Yosepha, Shinyanga Mjini kupitia Ntobi n.k wote hawa walipewa printer bure na mimi ndo niliwakabidhi. Majimbo mengie nilisafiri na kufika na kukabidhi.

Majimbo ambayo yalikuwa yapokee printer wiki hiyo hiyo kabla ya kuzuia yalikuwa ni Buyungu, Chato, Bariadi mjini, Sengerema, Kahama na Njombe Mjini.

Waheshimiwa wajumbe, Fikilia ofisi yenu chini ya Secretariat ya Katibu Mkuu Mnyika wanakuwa na ubinafsi wa kiwango hicho.

Fikilia, kama Secretariet wako tayari kuzuia Project isiendelee kwa vile tu hawajainzisha wao.

Katikati ya Hiyo Project nikapata Mfadhili wa pili yeye alitaka kugawa Laptop majimbo yote 254 na Kugawa Camera kubwa za kurekodi matukio kanda zote 10 kwa maafisa habari. Project zote hizo zikashindwa kuendelea kwasababu ya hii Secretariat!

Mtu aliyekuzuia jimbo lako /Mkoa wako usipewe Laptop Bure na printer bure ndo wanapiga simu kumuombee kura Mwamba! Wanajua endapo Lissu akiwa Mwenyekiti, Secretariat itafumuliwa na kusukwa upya! Hiki kitu hawataki kitokee kamwe.

Kwa sasa! Tundu Lissu anatosha, akaisuke Makao Makuu upya!

Mpiga kura kazi kwako.

#WameyatakaWatayapata
#Wasikimbie
Mbowe angepisha tu huu upepo aisee
 
AMEANDIKA REMIGIUS AFISA WA IT CHADEMA MAKAO MAKUU

Secretariat ya Chama Makao Makuu ilizuia majimbo 78 yasipewe printer bure, Laptop 254 na Video Camera 10 .

Twende pamoja; Ndugu Mwanachama na Mpiga kura Idara yenu ya IT kupitia Mtumishi wenu Remigius nilianzisha project ya kusaidia majimbo mwaka 2022 ili walau kila jimbo lipate printer za kuprint kadi za wanachama.

Project yangu ikazaa matunda, marafiki zangu wa nje ya nchi ambao waliniamini na kuelewa mpango kazi niliowapa wakakubali kusaidia majimbo kwa kuyapa printer bure. Mpango kazi wetu ilikuwa kila baada ya miezi mitatu napokea printer 5 na kuzigawa.

Awamu ya kwanza, Nikapokea Printer 5 nikaziweka ofisini Makao Makuu, Viongozi walipoziona wakanitaka nisizigawe hadi wao wanipe majimbo wanayotaka wao! Nikawaambia ilo halitowezekana, Hii ni Project nimeandaa mimi kwa ajili ya majimbo kadhaa, tayari majimbo hayo yana taarifa. Wakanizuia, ila mimi nikazigawa! (Nilijua wanachotaka kufanya kwa vile nawajua)

Makao Makuu wakaanza chuki na wivu, nikaanza kupigwa majungu eti hii Project ya Remigius haifuati utaratibu. Remigius atakuwa anapata pesa. Nikawajibu Kama napata pesa na lengo la kugawa printer linafanyika, mwenye fedha zake mfadhili hajanungunika ndo kwanza anaongeza nyie inawauma nini? Si na nyie mtafute Project tuwape wanachama? Ebo! Kuwapa wanachama printer iwe ni shida!

Nikaombwa ripoti ya kazi hiyo, nikawapa ripoti nzuri kama ilivyo, kumbe lengo leo ni kujua hasa ni nani ananifadhili hizi printer. Wakafanikiwa kumjua, na hapo wakaanza kumsumbua. Mpaka wakapanga safari kutoka Tanzania kwenda Marekani kukutana nao wafadhili. Wakakutana, mfadhili akawaambia Remigius tunamuamini na Project inaenda vizuri tunakusudia kuongeza idadi ya majimbo. Wakamwambia usiendelee na hiyo Project!

Mimi na Mfadhili tukawasiliana akiwa amevunjika moyo sana, aamini kama Chama kinaweza kufanya maamuzi ya hivi. Nikamwambia ebu tuache hizo kazi! Mimi ninangozi ya kupambana nao wanasiasa nawajua, wewe ni mfanyabiashara! Acha hii Project.. Na Project ikafa.

Majimbo yaliyonufaika kwa haraka ni Mlimba Kupitia suzani Kiwanga, Serengeti kupitia Ruge, Musoma Mjini kupitia Julius Mwita, Singida magahribi kupitia Maro, Temeke kupitia Soka, Tanga Mjini kupitia Zainab, Muheza kupitia Yosepha, Shinyanga Mjini kupitia Ntobi n.k wote hawa walipewa printer bure na mimi ndo niliwakabidhi. Majimbo mengie nilisafiri na kufika na kukabidhi.

Majimbo ambayo yalikuwa yapokee printer wiki hiyo hiyo kabla ya kuzuia yalikuwa ni Buyungu, Chato, Bariadi mjini, Sengerema, Kahama na Njombe Mjini.

Waheshimiwa wajumbe, Fikilia ofisi yenu chini ya Secretariat ya Katibu Mkuu Mnyika wanakuwa na ubinafsi wa kiwango hicho.

Fikilia, kama Secretariet wako tayari kuzuia Project isiendelee kwa vile tu hawajainzisha wao.

Katikati ya Hiyo Project nikapata Mfadhili wa pili yeye alitaka kugawa Laptop majimbo yote 254 na Kugawa Camera kubwa za kurekodi matukio kanda zote 10 kwa maafisa habari. Project zote hizo zikashindwa kuendelea kwasababu ya hii Secretariat!

Mtu aliyekuzuia jimbo lako /Mkoa wako usipewe Laptop Bure na printer bure ndo wanapiga simu kumuombee kura Mwamba! Wanajua endapo Lissu akiwa Mwenyekiti, Secretariat itafumuliwa na kusukwa upya! Hiki kitu hawataki kitokee kamwe.

Kwa sasa! Tundu Lissu anatosha, akaisuke Makao Makuu upya!

Mpiga kura kazi kwako.

#WameyatakaWatayapata
#Wasikimbie
Sawa sawa mkuu
 
Back
Top Bottom