Remy vs Nicki Minaj. Daaamn Ma!

Remy vs Nicki Minaj. Daaamn Ma!

hayo mashairi ukiyafasiri kiswahili ni mfano wa watu wana CHAMBANA kwenye miduara au Taarab ya rusha roho

na cha kushangaza huku muziki wa kuchambana na kudissiana watu wanauchukia lakini hayo wanafurahia au kwa kuwa KINGEREZA?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] utawaweza wabongo, utumwa umetukalia mpaka kwenye kope.
 
REMY ANATAFUTA KIKI
Remy's net worth is estimated at $500,000 and her husband's net worth is $200,000. Nicki minaj net worth $60 million. Tuache huko tuje na huku kwenye statistics...
She has won numerous American Music Awards, BET Awards, MTV Music Awards, MTV Europe Music Award and Billboard Music Awards, according to Top 40 Charts. She was also the first rapper to win the BET Best Female Hip-Hop Artist Award six consecutive times and the first female solo artist to have seven singles simultaneously charting on the U.S. Billboard Hot 100.

She wears the crown for having the most Billboard Hot 100 hits among female rappers and some of her most popular songs include “Super Bass”, “Starships”, and “Bang Bang,” according to Billboard.

She has also performed at many events such as TIDAL X: 1020 Amplified, the 2015 MTV Video Music Awards, and the Billboard Music Awards.
 
Naona leo google inahusika sana kwenye uzi huu, mkipata kitu mnakimbilia kusearch mpate says zaidi
 
REMY ANATAFUTA KIKI
Remy's net worth is estimated at $500,000 and her husband's net worth is $200,000. Nicki minaj net worth $60 million. Tuache huko tuje na huku kwenye statistics...
She has won numerous American Music Awards, BET Awards, MTV Music Awards, MTV Europe Music Award and Billboard Music Awards, according to Top 40 Charts. She was also the first rapper to win the BET Best Female Hip-Hop Artist Award six consecutive times and the first female solo artist to have seven singles simultaneously charting on the U.S. Billboard Hot 100.

She wears the crown for having the most Billboard Hot 100 hits among female rappers and some of her most popular songs include “Super Bass”, “Starships”, and “Bang Bang,” according to Billboard.

She has also performed at many events such as TIDAL X: 1020 Amplified, the 2015 MTV Video Music Awards, and the Billboard Music Awards.
Hatuongelei mafanikio tunazungumzia who is best
 
Hatuongelei mafanikio tunazungumzia who is best
Kipimo cha ubora ni nini kwenye music,
Awards
Views
Coverage
Sales
Tour
Hivyo vyote Nicki minaj anamzidi Remy, kama dis single moja remy anamzidi nicki, hata tanzania anaweza tengeneza kiwanda cha chumvi bora kuliko USA, tukasema Tz is best than USA
 
Kipimo cha ubora ni nini kwenye music,
Awards
Views
Coverage
Sales
Tour
Hivyo vyote Nicki minaj anamzidi Remy, kama dis single moja remy anamzidi nicki, hata tanzania anaweza tengeneza kiwanda cha chumvi bora kuliko USA, tukasema Tz is best than USA
Lyrical content, yes Tanzania inaweza kuwa bora kuliko USA kwenye kutengeneza chumvi
 
Ly

Lyrical content, yes Tanzania inaweza kuwa bora kuliko USA kwenye kutengeneza chumvi
Ntarudi, ngoja niingie musixmatch nicheki na lyrics, labda huko remy anaeza kua bora
 
just got 250 thousand dollars for a verse, nigga
I don't know, is it me or it's your thirst, nigga?
You nig, you niggas ain't got no joints
Like a injured Chris Paul, you ain't got no point
I just come through with a couple bossy bitches
They get money too, they some "don't cross me" bitches
Flossy bitches, Sergio Rossi, bitches
And if we at the game then it's floor seat, bitches!
I ride for my bitches
I'm so fuckin' rich I cop rides for my bitches
Dollar menu fries apple pies other bitches
I drop a freestyle and get a rise outta bitches
Bitches, my bitches
I need a nigga with some different strokes, Todd Bridges
Shout out to my main bitches, and my side bitches
Need a nigga with some good neck, ostriches
Hiki ki trump ni shida hata kwangu... Sijui nitafte dictionary!!!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu nimekupenda bule
Mkuu kweli yani watu wanaongea vitu vya ki international mpaka unaweza fikiri sio wa nchi hii...
Wakati mimi nilijitahidi sana nikaishia mjua tekno na davido hata nyimbo zao hazina fuc* kama za hawa wanaowaongelea..
 
Acheni kumlinganisha nick minaj the super base na vitu vya kipuuzi
 
Duuuh, remmy kamaliza kila kitu, watamkoma mwaka huu, wamemchokonoa mpaka kaamua kweli...

Sorry mkuu, kama unafahamu chanzo cha hili bifu naomba utuelezee vizuri maana kila kona linaongelewa. Mpaka pres. trump ametweet

Na jee meek mlz anahusika vipi na bifu hili
 
just got 250 thousand dollars for a verse, nigga
I don't know, is it me or it's your thirst, nigga?
You nig, you niggas ain't got no joints
Like a injured Chris Paul, you ain't got no point
I just come through with a couple bossy bitches
They get money too, they some "don't cross me" bitches
Flossy bitches, Sergio Rossi, bitches
And if we at the game then it's floor seat, bitches!
I ride for my bitches
I'm so fuckin' rich I cop rides for my bitches
Dollar menu fries apple pies other bitches
I drop a freestyle and get a rise outta bitches
Bitches, my bitches
I need a nigga with some different strokes, Todd Bridges
Shout out to my main bitches, and my side bitches
Need a nigga with some good neck, ostriches

Guec wot!!!!

My nigga rmx lyrics by minaj. For sure she nailed t
 
Back
Top Bottom