Report: Kenya inaongoza E Africa kwa kuchukiwa na wananchi wake

hivi ni wapi kuna dirty politics kati ya Kenya na Tz.
Tz ni nchi ya kusadikika broo@ completely a failed state# yawn nchi inarudi nyuma baada ya kusonga mbele# nakumbuka enz za mwalimu Tanzania ilikuwa na viwanda vingi. natulikuwa tu export sana cash crop in the world market@ those day we were the best and biggest economy in East Africa but now we are the poorest nation in the world
 

We normally appreciate the assertion backed with facts and figures from a credible authority.
 
Stop nonsense bro we are hardworking Tanzanian we are not drugmules # tunapambana na maisha yetu abroad tunafanya mishe halali abroad na tunalipa kodi acha ujinga huo si kila alieko south America ni drug dealer@ duck yo idiot
You keep smuggling until the bullet does the unplanned landing on your head deeper.
 
Umempa za usoπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Which country in Latino do you live,
 
Kwikwikwikwi supadipu lensi ni kichaaπŸ™„πŸ™„
 
Tanzania is failed state my friends blv me# na mim pia ni Mtz

Sawa ni mTanzania. Lkn hujathibisha hiyo kauli yako.

Nikwambie KITU hii sub forum ina watu WENYE UELEWA wa juu pengine kuliko sub forums zingine za JF. Hapa kila kinachoongewa lazima kiwe na ushahidi. Ndiyo MAANA utakuta watu wanavyojishughulisha kutafuta links kwenye Google.
 

Wewe tembea uone Watanzania wenu ng'ambo wanavyoteseka! Hawana docs, hawana elimu au ujuzi. Balaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…