Mashamba Makubwa Nalima
JF-Expert Member
- Mar 19, 2024
- 4,978
- 2,411
Duh, huyo utakuwa bondeni mida hii.Alitoka nduki muuaji
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh, huyo utakuwa bondeni mida hii.Alitoka nduki muuaji
Ova
Ubalozi wa China wameashindwa kuingiliaaa sakata lake la kumsakaDuh, huyo utakuwa bondeni mida hii.
Iwe bhojo!Yako wapi mkuu. Sijawahi kulaga hao watu wacha na mimi nikatoe ushamba
Ubalozi uwape kazi wasiojulikana na huyo muuwaji ndani ya week moja tu anakabidhiwa ubalozini bila utata!!Ubalozi wa China wameashindwa kuingiliaaa sakata lake la kumsaka
Ova
Mshana ameandika yote..sasa unataka aanze upya.Mshana Jr tunakuheshimu sana hunaga mambo yakitoto kama ccm ebu tunakuomba andika hii thread bila kuishia njiani ndugu yangu. Nimemaliza nasubiri kuona hekima yangu
Ashakula kona sema ndy hivyo kwao china sjui kama ataenda tenaUbalozi uwape kazi wasiojulikana na huyo muuwaji ndani ya week moja tu anakabidhiwa ubalozini bila utata!!
Madanguro ya Wahindi yapo sehemu gani kaka?Hii kitu ipo muda tu
Kuna mpaka madanguro
Ya wahindi!
Ova
Mkuu, bado wanapatikana siku hizi?Halafu vinalia kichina...
Hau shufuu, hau shufuu..hau shufuu..[emoji23]
Mitaa ya zanzibar hotel mjini paleMadanguro ya Wahindi yapo sehemu gani kaka?