Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli aisee nae aliingia mitini.Ww mbona ulishindwa kumaliza ile ya kwako?,acha umama
Chief utafanya watu wakadroo pesa kabla mwaka mpya wa fedha hujaanza.Ila kwa kulia vinalia sana,ukiingiza kichwa kidogo tu kinaanza kulia!![emoji1][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji870]Halafu vinalia kichina...
Hau shufuu, hau shufuu..hau shufuu..[emoji23]
Toboaa toboa wala usiogope retired kigagula Mwaga nyuki,tupa maweKuna kisa natamani kukisimulia hapa lakini dah nasita... Ila kwenye maisha kuna moment za kukumbuka sana...[emoji23]
Nje ya mada! Mshana Jr na mrangi hawa jamaa zetu wachina ni wabaguzi kweli kweli. BBC wamefuatilia ile clip ya mchina aliyekuwa ana-record watoto wa kiafrika na kuwaambia waseme kwa kichina " I am a black monster and my IQ is low." (mimi ni shetani mweusi na kiwango changu cha akili ni kidogo) bila kujua. . Wamekutana na kitisho.
Kweli, mengine tuyatazame tu yapite.Emu ngoja nichomekee neti kwanza
Nakufuatilia Mshana
Ngoja nisubiri kama kutakuwa na muendelezo au ndio yale yale
Hii bado ni unsolved?#HABARI Familia ya Fu Nannan (Pichani) ambaye ni raia wa China aliyeuawa Juni 11, 2022, kwa kupigwa risasi nyumbani kwake Ilala Jijini Dar es Salaam na Mchina mwenzie aitwaye Zheng Lingyao, imeahidi dau la shilingi milioni 700 kwa atakayefanikisha kupatikana kwa mtuhiwa huyo.View attachment 2273304
Ngonolian😂😂😂😂nyamalian