dah! mkuu nilikutegemea unipigie debe naona unalishindilia misumari jeneza
mmmhhh wewe
hukusikia panadol ina uwa?
afadhali hata Klorokwin inakupa tu kichaa kwa mwaka
hahhahahhh lol
mmmhhh embu acha hayo maneno dear..
na mie ntabakia na nani ??
mmmhh mie bado namuhitaji sana
naogopa kwa mpweke..
na ninahitaji blanket langu usiku dear.
haahah lol
Rudi nyuma kidogo utaelewa.
hahahahaha,
hiyo ya kulala bila nguo ili kuwa option sikufanya. halafu tutagombana maana mie sijui lolote na mwenzangu ana A+++++.
hahahahahaha,
Nilikua naifanyie experementi lab,
nimegundua hii klorokwini ni bomba sana,
inatibu hata vichaa.
Naamuru watu wote waanze kuimeza akiwemo afridenzi. lol
akiona lolipop huwa anacheka huyo, muoneshe tu lolmmmmm, hujaona avatar
leo hacheki na mtu, sijui nitaanzia wapi.
tutakupatia tabutupu ana A+++ ya uvumilivu na kulala bila nguo
mmmhhhh yaani we ndo umegundua leo dear
kuwa Klorokwin inatibu kila ugonjwa
mmmhh ila unatakiwa ufuate maelezo
wewe huoni AD alivyo kuwa addictive
hahahah lol
hahahahaha,
hiyo ya kulala bila nguo ili kuwa option sikufanya. halafu tutagombana maana mie sijui lolote na mwenzangu ana A+++++.
mmmhh mie sitaki yeye alale bila nguo..
mie nataka awe nazo ili nizitoe mwenyewe
hahahaha lol
Halafu jamaa kapotea katika mazingira ya kutatanisha isiwe TF kamtangazia U.S kuwa ni gaidi lililokubuhu lol!sku ile youtube walikomplein , walisema video zao kama 50 hivi zilipotea ndani ya sekunde 20 katika mazingira ya kutatanisha. nazani microsoft ilibidi waingilie kati kusuluhisha baina ya youtube na JF.
wewe kweli unaifahamu klorokwini, nazani ipo haja ya ku upgrade dozi yako. yule husninyo yeye akila tembe moja tu anatapika na kupandisha mashetani
hakyanani kuna namna sio bure. jamaa alikuwa mida kama hizi analembea mapost kama ana keyboard 2 vile. lakini tangu jana haonekani kabisa yaani.Halafu jamaa kapotea katika mazingira ya kutatanisha isiwe TF kamtangazia U.S kuwa ni gaidi lililokubuhu lol!
kwa meno? hehehe i hope hakuna under 18 viewing zis sred...........tusje tukahukumiwa kwa kosa la "online pedofail"
AD mwenyewe anazuga hapa anasubiri labda Youtube atatokea,nadhani TF kamwambia Uncle Sam jamaa ni nduguye Ghailani.hakyanani kuna namna sio bure. jamaa alikuwa mida kama hizi analembea mapost kama ana keyboard 2 vile. lakini tangu jana haonekani kabisa yaani.