Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,206
- 18,549
- Thread starter
- #81
dah! mkuu nilikutegemea unipigie debe naona unalishindilia misumari jeneza
mmmhhh wewe
hukusikia panadol ina uwa?
afadhali hata Klorokwin inakupa tu kichaa kwa mwaka
hahhahahhh lol
hahahahahaha,
Nilikua naifanyie experementi lab,
nimegundua hii klorokwini ni bomba sana,
inatibu hata vichaa.
Naamuru watu wote waanze kuimeza akiwemo afridenzi. lol