Research findings: Remittances can slow down growth of economies of receiving countries

Research findings: Remittances can slow down growth of economies of receiving countries

Usilinganishe Kenya na Tajikistan. Remittance to Gdp ratio ya Tajikistan ni 50%. Remittance to gdp ratio ya Kenya ni 3/109×100=2.75%. Kwa hivyo remittance ni sehemu kidogo sana ya uchumi wa Kenya. Umuhimu wa remittance kwa uchumi wa Kenya ni kwa sababu hio ndio largest source of foreign exchange. Imeshinda tourism au majani chai ambazo ndio zilikuwa biggest source of foreign exchange kwa miaka nyingi sana.
Jibu tosha.., ni wivu ina drive these idiots, yaani only 2.75% of remittance wannaandika as if ni 80%, which is common in even developed countries, we ain't limited, wao ni ufukara imewafungia kwao kwa wingi, watu wao ni vijakazi kwa wingi kule nje, Kenya ni kote kote, professional expatriates to even the lowest cadre tuko, poor Tanzanians 😂 😂 😂 😂
 
Jibu tosha.., ni wivu ina drive these idiots, yaani only 2.75% of remittance wannaandika as if ni 80%, which is common in even developed countries, we ain't limited, wao ni ufukara imewafungia kwao kwa wingi, watu wao ni vijakazi kwa wingi kule nje, Kenya ni kote kote, professional expatriates to even the lowest cadre tuko, poor Tanzanians [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hamna akili ninyi, nani amekuambia hiyo $3B ni sehemu ya Total GDP yote ya Kenya?, hiyo ni kwa mwaka mmoja pekee, hiyo ni sehemu ya GDP growth kwa mwaka mmoja.

Hii maana yake ni kwamba, Kama kwa mwaka Jana uchumi wa Kenya uliongezeka kwa 4%, let's take Kenya GDP is $100B, mwaka Jana umeongezeka $4B, na remittances zilikua ni $3B, remittances ni sawa na 75% ya growth wa uchumi wa Kenya kwa mwaka Jana.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hamna akili ninyi, nani amekuambia hiyo $3B no sehemu ya Total GDP yote ya Kenya?, hiyo ni kwa mwaka mmoja pekee, hiyo ni sehemu ya GDP growth kwa mwaka mmoja.

Hii maana yake ni kwamba, Kama kwa mwaka Jana uchumi wa Kenya uliongezeka kwa 4%, let's take Kenya GDP is $100B, mwaka Jana omeongezeka $4B, na remittances zilikua ni $3B, remittances ni sawa na 75% ya growth wa uchumi wa Kenya kwa mwaka Jana.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
afadhali ungefyata tu.., pedestrian reasoning 🤣 🤣 😂 😂 😂 😂 .., each year different sectors post profits in billion of dollars, so if I add the profits and I use this skewed formula and add on top of the $100B Kenya's GDP kwa sasa should be reading $500b to $1trillion🤣😂😂😂😂😂, so unamaanisha tourism na remittances pekee ndio zinasongesha uchumi wa kenya coz tourism inachezea $2b, plus remitances $3b., sijaweka total ya banking and retail, manufacturing, Agriculture etc, unajua maana ya economic output kweli? GDP? do u know how it is calculated? kindly google kwanza 😂😂😂😂😂😂😂😂.,
 
Katika nchi zenye kuidhalilisha Afrika huko nje ni Nigeria na Kenya, Ethiopia huwa hawajiiti waafrika wakiwa nje ya Africa, Kenya hali ya uchumi/maisha ni mbaya Sana, ndio sababu wanaamua kukimbia nchi hata kwa kujishikiza katika gurudumu la ndege na kuhatarisha maisha Yao.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
mazezeta mafala nyinyi!
Kazi mnazofanya inje ya nchi yetu ni za kijambazi na aibu,munatuma viwete kwa chochoro zote kwa miji mikubwa kama,Nairobi,kazi ni kuombaomba pesa kwa bakuli!
Wengine wenu ni wauza bangi mpaka SouthAfrika! Na mpaka huku Nai ambako niko mnazunguka masokoni kutukatia mboga na sukuma ili angalau mpate pesa ya kutumia watoto nyumbani wakale kitimoto na supu ya albino💩
 
I have read this article with motivation, energy, lots of interests, I have come up with remarkable transferrable ideas in my field and my own multidisciplinarity character, the observed parameters both micro and macro levels are exttemely awesome, the case studies are good, I had mixed feelings on African emerging markets, and thought of Nigeria, Kenya, Ethiopia, Uganda, Ghana, Francophone countries. Validity and relevance of income pyramid caught my attention at some stage.

The author has been an MVP to himself, his versatility, explosiveness, expansiveness, the tone and smooth flow ni kabambe kwa kweli he has been Baghosha.
 
afadhali ungefyata tu.., pedestrian reasoning 🤣 🤣 😂 😂 😂 😂 .., each year different sectors post profits in billion of dollars, so if I add the profits and I use this skewed formula and add on top of the $100B Kenya's GDP kwa sasa should be $500b to $1trillion🤣😂😂😂😂😂, so unamaanisha tourism na remittances pekee ndio zinasongesha uchumi wa kenya coz tourism inachezea $2b, plus remitances $3b., sijaweka total ya banking and retail, manufacturing, Agriculture etc, unajua maana ya economic output kweli? GDP? do u know how it is calculated? kindly google kwanza 😂😂😂😂😂😂😂😂.,
I suggest one of the best ways is to reconcile those ideas, the divergence, precision on observation, one would be singling out the model and parameters.
 
afadhali ungefyata tu.., pedestrian reasoning [emoji1787] [emoji1787] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] .., each year different sectors post profits in billion of dollars, so if I add the profits and I use this skewed formula and add on top of the $100B Kenya's GDP kwa sasa should be reading $500b to $1trillion[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], so unamaanisha tourism na remittances pekee ndio zinasongesha uchumi wa kenya coz tourism inachezea $2b, plus remitances $3b., sijaweka total ya banking and retail, manufacturing, Agriculture etc, unajua maana ya economic output kweli? GDP? do u know how it is calculated? kindly google kwanza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].,
Nenda kwanza kajifunze kuhusu tofauti Kati ya GDP na GDP growth per year and how do they add up.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Nenda kwanza kajifunze kuhusu tofauti Kati ya GDD na GDP growth per year and how do they add up.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Wote mnaupiga mwingi tena in perspectives, the angles of ur arguments interests me. Sasa Don FY ili uende nae sawa inabidi uwe na cutting edge, profounding factors, at what scale, why narrow and why broad, why and when no to, actuality of the figures and how Kenya stands as of now on the same should be brought in with urgency.
 
Hamna akili ninyi, nani amekuambia hiyo $3B ni sehemu ya Total GDP yote ya Kenya?, hiyo ni kwa mwaka mmoja pekee, hiyo ni sehemu ya GDP growth kwa mwaka mmoja.

Hii maana yake ni kwamba, Kama kwa mwaka Jana uchumi wa Kenya uliongezeka kwa 4%, let's take Kenya GDP is $100B, mwaka Jana umeongezeka $4B, na remittances zilikua ni $3B, remittances ni sawa na 75% ya growth wa uchumi wa Kenya kwa mwaka Jana.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

Unawajibu kwa facts wao wanatumia mihemuko kujibu. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ninauhakika pamoja na IQ ndogo ya wakenya, lakini wanalijua Hilo vizuri Sana, Kama Nyumbani kwako unajitosheleza, nchi lazima iwe inapokea wageni wengi kuzidi idadi ya raia wake wanaokimbia nchi Yao.

Duniani waafrika na watu toka Asia tunabaguliwa Sana huko nje kwasababu kuu hiyo, tunalazimisha kwenda kufanyakazi katika nchi zingine hata kama hatuhitajiki kwasababu Nyumbani hali ni mbaya Sana.

Wakenya wengi wananyanyaswa Sana katika nchi za kiarabu wakifanya kazi za Ulinzi na "house girls"

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

Nchi makini duniani kote, hazijawahi kufikiri kwamba zinaweza kuendelea kwa kufanya "brain drain" (man power export), bali kwa kufanya human capital investment which in turn will bring about economic development and growth. Countries develop when the well trained human resource works in their own land. No country develops by exporting the brains.
 
Nchi makini duniani kote, hazijawahi kufikiri kwamba zinaweza kuendelea kwa kufanya "brain drain" (man power export), bali kwa kufanya human capital investment which in turn will bring about economic development and growth. Countries develop when the well trained human resource works in their own land. No country develops by exporting the brains.
Sawa sawa kabisa mkuu

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Nenda kwanza kajifunze kuhusu tofauti Kati ya GDP na GDP growth per year and how do they add up.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Mbona ukafanya hesabu ya GDP ki uchwara hivyo?😂😂😂😂😂clueless 🤣 😂 😂 😂 😂 😂 ., wacha kutafuta pa kutokea,uko hovyo siku zote, hakuna haja ujikomboe kubali yaishe, umejianika bure🤣😂😂😂😂😂😂
 
Wote mnaupiga mwingi tena in perspectives, the angles of ur arguments interests me. Sasa Don FY ili uende nae sawa inabidi uwe na cutting edge, profounding factors, at what scale, why narrow and why broad, why and when no to, actuality of the figures and how Kenya stands as of now on the same should be brought in with urgency.
Andika kwa Kiswahili joto la jiwe akuelewe kikamilifu😂😂😂😂😂
 
Hamna akili ninyi, nani amekuambia hiyo $3B ni sehemu ya Total GDP yote ya Kenya?, hiyo ni kwa mwaka mmoja pekee, hiyo ni sehemu ya GDP growth kwa mwaka mmoja.

Hii maana yake ni kwamba, Kama kwa mwaka Jana uchumi wa Kenya uliongezeka kwa 4%, let's take Kenya GDP is $100B, mwaka Jana umeongezeka $4B, na remittances zilikua ni $3B, remittances ni sawa na 75% ya growth wa uchumi wa Kenya kwa mwaka Jana.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Funga mdomo uwache kijiaibisha. Nimesema remittance to gdp ratio. Sijasema remittance to gdp growth ratio. Hivyo ni vitu viwili tofauti. Wewe unachozungumzia ni remittance to gdp growth ratio.
 
Kama vyanzo vyenu vya ndani ni vidogo kuliko "remittances" hii maana yake ni kwamba hapo ndani hakuna "enough production of goods and services".

Hili jambo ninashangaa Sana unalichukulia kwa urahisi Sana,madhara yake ni makubwa Sana kwa uchumi na maisha ya wakenya.

Hivi hebu fikiria kwamba, hiyo labour force ya wakenya waliopo huko nje yenye kuzalisha zaidi ya $3B kwa mwaka, Kama wangelikua wanatumika hapo Kenya, unadhani ni kiasi gani cha ajira, goods and services vingezalishwa.

Jambo lingine la kujiuliza ni "Ni nchi zipi ambazo hao wakenya hukimbilia kwenda kufanya kazi, nyingi ni nchi za Ulaya, Amerika, Arabuni, South Africa, Mauritius, na Tanzania. Kwanini wasiende Malawi, Burundi, Central Africa Republic, Burkinafaso, Myamar, Sri-Lanka au Mozambique kwa wingi Kama wanavyokwenda kwenye hizo nchi za kundi la kwanza?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hao watu kama wangekuwa Kenya wangekuwa unemployed. Usijifanye mjinga na mimi najua wewe ni mwerevu sana. Unajua vizuri kwamba Kenya ina 30% unemployment rate kwa youths. Na wengi wao wamesoma. Au unataka kunifunza nchi yangu? Wewe unaijua Kenya kunishinda mimi? Sikiliza ninapokuambia hata sasa hivi kuna watu wana masters na hawana kazi.
 
Siku zote, tena tangu zamani, ukiona watu wanakimbia nchini kwao, au kwao jua ni dalili ya backwardness ya maeneo hayo. Nchi ikiwa inajitosha huwezi kusikia wakiongelea remittance. wao watakuwa wanaongelea how to expand production and exports. Sasa kwa taifa wambalo ni bingwa wa ku export asylum seekers, litaongelea remittance. Hiyo ndiyo tofauti kubwa iliyopo.
Kwa hivyo unamaanisha kwamba Tanzania imeendelea kushinda Mexico kwa maana Mexico ndio bingwa wa kupokea remittance dunia hii? Wewe ukienda Mexico sasa hivi utawachwa mdomo wazi kwa sababu wale watu wameendelea sana na remittance ya raia wa Mexico wanaofanya kazi USA ndio moja ya sababu ya kukuwa kwa uchumi wao.
 
Ninauhakika pamoja na IQ ndogo ya wakenya, lakini wanalijua Hilo vizuri Sana, Kama Nyumbani kwako unajitosheleza, nchi lazima iwe inapokea wageni wengi kuzidi idadi ya raia wake wanaokimbia nchi Yao.

Duniani waafrika na watu toka Asia tunabaguliwa Sana huko nje kwasababu kuu hiyo, tunalazimisha kwenda kufanyakazi katika nchi zingine hata kama hatuhitajiki kwasababu Nyumbani hali ni mbaya Sana.

Wakenya wengi wananyanyaswa Sana katika nchi za kiarabu wakifanya kazi za Ulinzi na "house girls"

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Mbona sisi tunapokea omba omba wenu kwa wingi tu na hatusemi.
 
Funga mdomo uwache kijiaibisha. Nimesema remittance to gdp ratio. Sijasema remittance to gdp growth ratio. Hivyo ni vitu viwili tofauti. Wewe unachozungumzia ni remittance to gdp growth ratio.
Wewe vipi mbona kichwa yako ni hovyo Sana?, mwaka Jana uchumi wa Kenya uliongezeka kwa 4% , hiyo ni sawa na $4B kwasababu GDP ya Kenya ni wastani wa $100B, Kenya mwaka Jana ilipokea "remittances" zenye thamani ya $3B.

Hii maana yake ni kwamba, wakenya waliopo nje walituma 75% ya kilichozalishwa nchini mwenu, hii maana yake ni kwamba, watu 47M waliopo Kenya, wanazalisha sawasawa na wakenya 2M walipo nje ya nchi.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom