Research findings: Remittances can slow down growth of economies of receiving countries

Research findings: Remittances can slow down growth of economies of receiving countries

Hao watu kama wangekuwa Kenya wangekuwa unemployed. Usijifanye mjinga na mimi najua wewe ni mwerevu sana. Unajua vizuri kwamba Kenya ina 30% unemployment rate kwa youths. Na wengi wao wamesoma. Au unataka kunifunza nchi yangu? Wewe unaijua Kenya kunishinda mimi? Sikiliza ninapokuambia hata sasa hivi kuna watu wana masters na hawana kazi.
Wacha maneno yako, wakenya au waafrika wengi wanaofanya kazi nchi za nje ni wake ambao ni "highly qualified professionals, doctors, pilots, Scientists, professors na field zengine muhimu, hao wote Kama Wangebaki Kenya, 98% wangepata ajira, hao 30% ambao hapo Kenya ni unemployed, wengi wao ni less qualified, can't compete in Kenya.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hivyo unamaanisha kwamba Tanzania imeendelea kushinda Mexico kwa maana Mexico ndio bingwa wa kupokea remittance dunia hii? Wewe ukienda Mexico sasa hivi utawachwa mdomo wazi kwa sababu wale watu wameendelea sana na remittance ya raia wa Mexico wanaofanya kazi USA ndio moja ya sababu ya kukuwa kwa uchumi wao.
Mexico ni miongoni mwa nchi za hovyo Sana duniani, corruption, crime, weak governance and racism.

Kwanini husikii habari ya remittances kwa nchi Kama Japan, Norway, Qatar, USA, Germany, France, au zile nchi zenye high HDI?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Wewe vipi mbona kichwa yako ni hovyo Sana?, mwaka Jana uchumi wa Kenya uliongezeka kwa 4% , hiyo ni sawa na $4B kwasababu GDP ya Kenya ni wastani wa $100B, Kenya mwaka Jana ilipokea "remittances" zenye thamani ya $3B.

Hii maana yake ni kwamba, wakenya waliopo nje walituma 75% ya kilichozalishwa nchini mwenu, hii maana yake ni kwamba, watu 47M waliopo Kenya, wanazalisha sawasawa na wakenya 2M walipo nje ya nchi.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
joto la jiwe sikujua wewe ni mjinga hivi. Ninaweza kukuaibisha sana hapa. Kwa hivyo wewe hujui gdp ni nini? Sasa unatoa wapi ubavu wa kupingana na mimi? Nimesave hii comment yako. Nitakuwa nakupiga na hii comment kila siku. Hii ndio comment yako ya ujinga ambayo umewahi kusema ndani ya JF. Kwa miaka yote hio hujawahi kuongea ujinga kama huu. Yaani wewe unadhani kwamba Gdp growth ni sawa na gdp yenyewe? Gdp ndio inahesabu goods and services produced within an economy in one year. Sio Gdp growth. Kwa sababu umekataa kuwacha tabia hii yako ya kupingana na mimi hata kwa mambo madogo kama haya lazima nikuaibishe leo. Ngoja nitalianika hili licomment mbele ya umati watu wakuone ulivyo mweupe kichwani. Nafungua uzi tuchambue hili licomment lako la ujinga.
 
Wacha maneno yako, wakenya au waafrika wengi wanaofanya kazi nchi za nje ni wake ambao ni "highly qualified professionals, doctors, pilots, Scientists, professors na field zengine muhimu, hao wote Kama Wangebaki Kenya, 98% wangepata ajira, hao 30% ambao hapo Kenya ni unemployed, wengi wao ni less qualified, can't compete in Kenya.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Leta evidence kwamba hawa waliosoma na kukosa kazi wapo less qualified. Tafuta article yoyote mtandaoni upost hapa. Usiwe na tabia mbaya ya kuongea bila evidence unajiaibisha bure kwanza mbele ya watu.
 
Mexico ni miongoni mwa nchi za hovyo Sana duniani, corruption, crime, weak governance and racism.

Kwanini husikii habari ya remittances kwa nchi Kama Japan, Norway, Qatar, USA, Germany, France, au zile nchi zenye high HDI?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Wacha kuongea ujinga kila wakati, Mexico ina gdp ya $1 trillion ambayo ni sawa na Gdp ya Nigeria, Egypt na South Africa kwa pamoja.
 
joto la jiwe sikujua wewe ni mjinga hivi. Ninaweza kukuaibisha sana hapa. Kwa hivyo wewe hujui gdp ni nini? Sasa unatoa wapi ubavu wa kupingana na mimi? Nimesave hii comment yako. Nitakuwa nakupiga na hii comment kila siku. Hii ndio comment yako ya ujinga ambayo umewahi kusema ndani ya JF. Kwa miaka yote hio hujawahi kuongea ujinga kama huu. Yaani wewe unadhani kwamba Gdp growth ni sawa na gdp yenyewe? Gdp ndio inahesabu goods and services produced within an economy in one year. Sio Gdp growth. Kwa sababu umekataa kuwacha tabia hii yako ya kupingana na mimi hata kwa mambo madogo kama haya lazima nikuaibishe leo. Ngoja nitalianika hili licomment mbele ya umati watu wakuone ulivyo mweupe kichwani. Nafungua uzi tuchambue hili licomment lako la ujinga.
Huna akili wewe, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1][emoji23]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Leta evidence kwamba hawa waliosoma na kukosa kazi wapo less qualified. Tafuta article yoyote mtandaoni upost hapa. Usiwe na tabia mbaya ya kuongea bila evidence unajiaibisha bure kwanza mbele ya watu.
Hao waliobaki hapo nchini ni "less qualified" ukilinganisha na hao waliotoroka Kenya na kwenda kufanya kazi nje ya nchi, hiyo ndio sababu Kuna tatizo la "brain drain" Afrika, otherwise unataka kutuambia Kenya na Afrika nzima tatizo la brain drain halipo tena kwasababu wasomi wengi nchini ni "unemployed?"[emoji23][emoji23]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Wacha kuongea ujinga kila wakati, Mexico ina gdp ya $1 trillion ambayo ni sawa na Gdp ya Nigeria, Egypt na South Africa kwa pamoja.
Tony254 ninyi wakenya wengi uwezo wenu wa akili ni mdogo Sana, ninyi kwenu pesa ndiyo kipimo cha kila kitu, kwahiyo kwasabu Mexico uchumi wake ni $1trl, ndio haiwezi kuwa nchi ya hovyo?

Sasa chagua Kati ya hivi vifuatavyo, nchi gani ni nchi ya hovyo kwa kutumia utajiri

1) Nigeria. vs Rwanda

2)Jommo Kenyatta. vs Nyerere

3)Kenya vs Botswana

Mexico ni miongoni mwa mataifa yanayokaribia kuungana na Kenya kuwa "failed state", nchi haina uongozi madhubuti, kule ni madawa ya kulevya, slums, crime na umasikini uliopitiliza, hakuna ajira kabisa, the only option ni raia kutoroka nchi yao

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Tony254 ninyi wakenya wengi uwezo wenu wa akili ni mdogo Sana, ninyi kwenu pesa ndiyo kipimo cha kila kitu, kwahiyo kwasabu Mexico uchumi wake ni $1trl, ndio haiwezi kuwa nchi ya hovyo?

Sasa chagua Kati ya hivi vifuatavyo, nchi gani ni nchi ya hovyo kwa kutumia utajiri

1) Nigeria. vs Rwanda

2)Jommo Kenyatta. vs Nyerere

3)Kenya vs Botswana

Mexico ni miongoni mwa mataifa yanayokaribia kuungana na Kenya kuwa "failed state", nchi haina uongozi madhubuti, kule ni madawa ya kulevya, slums, crime na umasikini uliopitiliza, hakuna ajira kabisa, the only option ni raia kutoroka nchi yao

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Crime ipo katika kila nchi. Mexico ina gdp per capita ya $8,300. Nchi kama tatu pekee za Afrika ndio zimefika hii level. Sasa unazungumzia kuhusu umasikini upi huko Mexico?
Screenshot_20220421-082548.jpg
 
Back
Top Bottom