Research yangu imekamilika ya kupima kiasi cha data “kilichopigwa” kwenye bando la mwezi, Haya ndio matokeo niliyopata

Research yangu imekamilika ya kupima kiasi cha data “kilichopigwa” kwenye bando la mwezi, Haya ndio matokeo niliyopata

Nipo natumia huduma ya Tigo postpaid, nalipia elf 60 kupata gb 80 kila mwezi (mikataba kwa wateja wapya imebadilika unapewa gb 72)

Kifurushi hiki huwa kinajiunga chenyewe kila tarehe 1 ya mwezi mpya saa sita usiku siku inapoanza.

Nilitaka kufanya utafiti wa kujua kama pana upigaji maana ni kawaida sana kwa mitandao yetu kusikia haya malalamiko kutoka kwa wateja, nikaona nami nifanye research yangu. Yani mwezi huu wote nimetumia internet kwenye router ya Tigo naunga wifi kwenye vifaa vingine, router hii ina ukurasa wa kuonyesha kiasi cha data ulichotumia kwa muda wote.


Tarehe 31 mwezi wa tano May mida ya jioni nilimaliza kifurushi line nikaingiza kwenye simu ya kitochi, nika reset router ya Tigo ili ianze upya kabisa kuhesabu matumizi, data used ilikuwa inasoma 0.00 GB, ilipofika saa sita na dakika tatu mesej ikaingia kwenye kitochi nimeungwa gb 80 nikaingiza line kwenye router.

Hatimae leo ni siku ya mwisho ya research yangu.

Tarehe za mwanzo matumizi na salio vinawiana ila tarehe zikisogea taratibu unaanza kuona difference.

Leo siku ya mwisho usiku huu wakati router inaonyesha nimetumia GB 78.440, internet ikawa ngumu kuconeect, hali hii ni kawaida zikibaki MB chache, nilipocheki balance zilikuwa zimebaki MB 28.

Nikarestart router ili nizimalizie hizo MB ila internet ikawa inasua sua, nikaamua nifunge hesabu za research,

screenshot nimeziweka kwenye router matumizi ni GB 78.450, salio ni MB 18.35

View attachment 2674561

View attachment 2674564


Nimefikia muafaka kwamba tigo wanachapa asilimia 0.195x % - almost asilimia 2%

Kupigwa hakuepukiki, siwezi kujutia sana kuchapwa asilimia 2, I can handle it.

Niliwahi kutumia mtandao flani nao wana mabando bei chee ya mwezi, bando la 8 gb lilipukutika baada ya kutumia GB 4.8, sijutii kuchapwa 2%.
Achana na mambo ya kuchapwa lipia Free internet

Uwaweze habar ya kuchapwa
 
Sio tigo tu, hata voda supakasi na airtel Sme wanahitaji hizo nyaraka.

Ni vema waangalie makundi mengine pia kama waajiriwa na wanafunzi. Hapa ndipo watu wanaamua kutumia vishoka wa elfu kumi.
vodacom niliunga ofisini kwao Arusha Supakasi walitaka TIN no tu ambayo unaitengenez mwenyewe tu kweny TRA online
 
Achana na mambo ya kuchapwa lipia Free internet

Uwaweze habar ya kuchapwa
Free internet huko nilishawahi kuwa baharia mzuri tu sina hamu ya kurudi

Ukweli ni kwamba hakuna stable vpn, yani kukiwepo vpn iliyotulia sanasana itadumu mwezi tu baada ya hapo mnaendela na vpn mithiri ya hirizi, masharti kibao. vpn nyingi shahala bagala speed ya kobe, zina limit zamb 300 kwa siku, zinakata kata, masnitch kibao wanazichoma vpn.

Sina hamu na hizo vpna kabisa, natia mpunga na enjoy mambo bila stress
 
Nipo natumia huduma ya Tigo postpaid, nalipia elf 60 kupata gb 80 kila mwezi (mikataba kwa wateja wapya imebadilika unapewa gb 72)

Kifurushi hiki huwa kinajiunga chenyewe kila tarehe 1 ya mwezi mpya saa sita usiku siku inapoanza.

Nilitaka kufanya utafiti wa kujua kama pana upigaji maana ni kawaida sana kwa mitandao yetu kusikia haya malalamiko kutoka kwa wateja, nikaona nami nifanye research yangu. Yani mwezi huu wote nimetumia internet kwenye router ya Tigo naunga wifi kwenye vifaa vingine, router hii ina ukurasa wa kuonyesha kiasi cha data ulichotumia kwa muda wote.


Tarehe 31 mwezi wa tano May mida ya jioni nilimaliza kifurushi line nikaingiza kwenye simu ya kitochi, nika reset router ya Tigo ili ianze upya kabisa kuhesabu matumizi, data used ilikuwa inasoma 0.00 GB, ilipofika saa sita na dakika tatu mesej ikaingia kwenye kitochi nimeungwa gb 80 nikaingiza line kwenye router.

Hatimae leo ni siku ya mwisho ya research yangu.

Tarehe za mwanzo matumizi na salio vinawiana ila tarehe zikisogea taratibu unaanza kuona difference.

Leo siku ya mwisho usiku huu wakati router inaonyesha nimetumia GB 78.440, internet ikawa ngumu kuconeect, hali hii ni kawaida zikibaki MB chache, nilipocheki balance zilikuwa zimebaki MB 28.

Nikarestart router ili nizimalizie hizo MB ila internet ikawa inasua sua, nikaamua nifunge hesabu za research,

screenshot nimeziweka kwenye router matumizi ni GB 78.450, salio ni MB 18.35

View attachment 2674561

View attachment 2674564


Nimefikia muafaka kwamba tigo wanachapa asilimia 0.195x % - almost asilimia 2%

Kupigwa hakuepukiki, siwezi kujutia sana kuchapwa asilimia 2, I can handle it.

Niliwahi kutumia mtandao flani nao wana mabando bei chee ya mwezi, bando la 8 gb lilipukutika baada ya kutumia GB 4.8, sijutii kuchapwa 2%.
Inakera ila basi tuu.
 
Free internet huko nilishawahi kuwa baharia mzuri tu sina hamu ya kurudi

Ukweli ni kwamba hakuna stable vpn, yani kukiwepo vpn iliyotulia sanasana itadumu mwezi tu baada ya hapo mnaendela na vpn mithiri ya hirizi, masharti kibao. vpn nyingi shahala bagala speed ya kobe, zina limit zamb 300 kwa siku, zinakata kata, masnitch kibao wanazichoma vpn.

I
Mimi sizungumzii VPN nazungumzia Supakasi ya Vodacom free internet kutoka kwao
 
Mimi sizungumzii VPN nazungumzia Supakasi ya Vodacom free internet kutoka kwao
Free = Bure

Hao supakasi hawanaga bure, kifurushi chao kidogo ni 115,000 kila mwezi

Labda kama ulitaka kumaanisha unlimited ila kuna rafiki yangu ni mzee wa kushusha sana, walichomfanyia wamembana speed line yao kaiweka pembeni na bado ina data 😂😂
 
Free = Bure

Hao supakasi hawanaga bure, kifurushi chao kidogo ni 115,000 kila mwezi

Labda kama ulitaka kumaanisha unlimited ila kuna rafiki yangu ni mzee wa kushusha sana, walichomfanyia wamembana speed line yao kaiweka pembeni na bado ina data [emoji23][emoji23]
namaanisha Unlimited ndioo

itakua anapiga GB100 kwa siku nn [emoji23]
 
UKIWA NA TIGO UNAWEZA USIZIME DATA KWA HIZI BANDO ZENYE UNAFUU MNOO‼️
15G=15000/=, 35GB=30000/=, 48GB=40000/= 72GB=60000/= NA 120GB=100000/=
Bando hizi utakua unazipata kwa miaka miwili mfululizo kila tarehe moja unaingiziwa, KUJIUNGA HUMTUMII MTU YEYOTE HELA,

nakupa maelekezo buree unalipia moja kwa moja tigo kama unavyojiunga vifurush vingine. Huduma hii ni uhakika nikikupa maelekezo unaweza hata kupiga 100 ukaulizia na ukalinganisha maelekezo yangu na ya customer care.
( Airtel pia naunga Huduma ya SME itakayokupa GB kibao kwa gharama kidogo)

Soma maelekezo hapo chini au nicheki 0717700921

JINSI YA KUJIUNGA
Piga *150*01#
➡️Kisha chagua no4
➡️Kisha chagua no 2 (kupata majina)
➡️Kisha chagua no 6 (tigo business)
➡️Kisha chagua no 2 (security deposit)
➡️Kisha chagua no1
➡️Kisha kumbukumbu no weka no yako ya tigo
➡️Kisha weka kiasi kulingana na kifurushi unachotaka kama ilivyo kwenye chat( angalia chat kwenye dp yangu )
➡️Kisha weka no ya siri kudhibitisha!

Ukikamilisha nifahamishe !
Ni halali kabisa

15,000 - 15 GB
30,000 - 35 GB
40,000 - 48 GB
60,000 - 72 GB
100,000 - 120 GB

Kama unatumia mawasiliano kwa tigo, vipo vya ziada vilivyochanganywa muda wa maongezi, data na mesej.

Nenda ofisi za tigo, beba tin namba na leseni ya biashara.

Wanafunzi na waajiriwa wengi hawana hizo tin wala leseni, hutumia vishoka wa kwenye magroup ya fb/whatsapp, hata humu wapo kwenye post za vifurushi - unawapa kumi na namba yako unasajiliwa.
 
UKIWA NA TIGO UNAWEZA USIZIME DATA KWA HIZI BANDO ZENYE UNAFUU MNOO[emoji845]
15G=15000/=, 35GB=30000/=, 48GB=40000/= 72GB=60000/= NA 120GB=100000/=
Bando hizi utakua unazipata kwa miaka miwili mfululizo kila tarehe moja unaingiziwa, KUJIUNGA HUMTUMII MTU YEYOTE HELA,

nakupa maelekezo buree unalipia moja kwa moja tigo kama unavyojiunga vifurush vingine. Huduma hii ni uhakika nikikupa maelekezo unaweza hata kupiga 100 ukaulizia na ukalinganisha maelekezo yangu na ya customer care.
( Airtel pia naunga Huduma ya SME itakayokupa GB kibao kwa gharama kidogo)

Soma maelekezo hapo chini au nicheki 0717700921

JINSI YA KUJIUNGA
Piga *150*01#
[emoji3591]Kisha chagua no4
[emoji3591]Kisha chagua no 2 (kupata majina)
[emoji3591]Kisha chagua no 6 (tigo business)
[emoji3591]Kisha chagua no 2 (security deposit)
[emoji3591]Kisha chagua no1
[emoji3591]Kisha kumbukumbu no weka no yako ya tigo
[emoji3591]Kisha weka kiasi kulingana na kifurushi unachotaka kama ilivyo kwenye chat( angalia chat kwenye dp yangu )
[emoji3591]Kisha weka no ya siri kudhibitisha!

Ukikamilisha nifahamishe !
Kila mwezi una ingiziwa bure au kila mwezi una lipia tena, let say icho cha 300000 gb 35 mwezi,I uki kata una lipia tena iyo pesa
 
Back
Top Bottom