Reshuffles UDOM zinatisha

Ikifika tarehe 30 mnaulizia mshahara!!!!!!!!!!!!!!??nyie watu wa udom??kila mtu mtaalam wa management!!!!!!!!!1

We bushman, hoja yako ni ipi? Kuulizia mishahara mwisho wa mwezi na menejimenti vina uhusiano gani? Halafu mbona swala la mshara sio sehemu ya hoja inayozungumzwa kkt thread hii? Ni bora ukakaa kimya kama huna hoja kuliko kutapikatapika chochote unachohisi kutapika hata kama hakina uhusiano wa kimantiki na hoja ya msingi inayochangiwa. Paaambavu!!
 
Mmmmh- leo nimewajua watu- nimechoshwa na kutambua kuwa JF ni moja ya job description zao
 
Wafanyakazi wa UDOM mnapaswa kujifunza toka Taasisi nyingine za Serikali na Binafsi. Wekezeni mda mwingi kwenye mambo ya msingi hasa maendeleo binafsi badala ya kutumia mda mwingi ktk majungu. Badilishaneni uzoefu wa namna ya kujikwamua na hali ngumu ya maisha na siyo kupoteza mda ktk kufuatilia maisha binafsi ya watu. MTAKUFA MASIKINI, tengenezeni historia nzuri ya kuja kuwasimulia watoto na wajukùu zenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…