TANZIA Rest in peace brother Frank Charles Kapachino

TANZIA Rest in peace brother Frank Charles Kapachino

ukwaju_wa_ kitambo

Senior Member
Joined
Sep 15, 2024
Posts
150
Reaction score
173
NIKI MBISHI.

Na ukitaka ganja kali ni Sinza kwa #KAPACHINO....R.I.P RASTA

"Sshh, jiheshimu joh, weed tutachoma
Kimya kimya, we msomeshe "#Kapachino" kwenye kona
Akupe kitu cha Arusha, mi nnacho cha Dodoma
Usisahau kutoka bling tu, Hovak wamenisoma.." ngwea - kimya kimya'

Ukwaju wa kitambo
20241029_070743.jpg
20241029_071004.jpg
20241029_071001.jpg
 
Inasoma tarehe 27/10.

Sema kawahi kuzikwa sana au itakuwa kale kaugonjwa pendwa! Jamaa alikuwa akilelewa na mshangazi Sinza Kumekucha wenye historia chafu

Kweli amezikwa haraka sana wakati ni mkristo ,kama alikuwa na Mishangazi ya sinza basi ni kazeze ni kazeze ni kazee ,kizaaa zaaa gumzo gumzo kwa mabronzooo!!
 
Back
Top Bottom