TANZIA Rest in peace brother Frank Charles Kapachino

TANZIA Rest in peace brother Frank Charles Kapachino


Jamaa alikuwa na jina kubwa sana kwenye tasnia ya uuzaji wa bangi
 

Jamaa alikuwa na jina kubwa sana kwenye tasnia ya uuzaji wa bangi

siku hizi wauza bhangi huwa hawakamatwi?

YESU NI BWANA&MWOKOZI
 
NIKI MBISHI.

Na ukitaka ganja kali ni Sinza kwa #KAPACHINO....R.I.P RASTA

"Sshh, jiheshimu joh, weed tutachoma
Kimya kimya, we msomeshe "#Kapachino" kwenye kona
Akupe kitu cha Arusha, mi nnacho cha Dodoma
Usisahau kutoka bling tu, Hovak wamenisoma.." ngwea - kimya kimya'

Ukwaju wa kitambo
View attachment 3137862View attachment 3137863View attachment 3137864

Kwahiyo naye alikuwa rastafali? Ameenda na kilo ngapi za hiyo kitu maana huko chini kuna uhaba mkubwa
 
Back
Top Bottom