BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 5,259
- 10,078
Unahasira na maisha mkuu. Soma tena uelewe.Kwani ukizikwa kwa dini au usizikwe kwa dini inabadilisha kitu gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unahasira na maisha mkuu. Soma tena uelewe.Kwani ukizikwa kwa dini au usizikwe kwa dini inabadilisha kitu gani
Hizo hasira za maisha umesema wewe , dini ina uspecial gani kwa mtu kuzikwa nao tofauti na yule asiye zikwa nayo?Unahasira na maisha mkuu. Soma tena uelewe.
Kasema ni yule aliyekunja ngumi.Hata mm sijajua muuza ganja yupi hapo
Nafikiri hao ni ndugu, mleta mada na marehemu wanaweza kuwa ndugu, Ni mtazamo wangu huo.Image ina sura mbili, sasa ni yupi hapo?
RIP brotherNIKI MBISHI.
Na ukitaka ganja kali ni Sinza kwa #KAPACHINO....R.I.P RASTA
"Sshh, jiheshimu joh, weed tutachoma
Kimya kimya, we msomeshe "#Kapachino" kwenye kona
Akupe kitu cha Arusha, mi nnacho cha Dodoma
Usisahau kutoka bling tu, Hovak wamenisoma.." ngwea - kimya kimya'
Ukwaju wa kitambo
View attachment 3137862View attachment 3137863View attachment 3137864
Unapenda ligi mzee,, nimetoa mawazo yangu unalazimisha tufanane.Hizo hasira za maisha umesema wewe , dini ina uspecial gani kwa mtu kuzikwa nao tofauti na yule asiye zikwa nayo?
Huyo alieshika shada la mauaImage ina sura mbili, sasa ni yupi hapo?
Nimeuliza swali inawezekana sijui, ligi ipo wap hapo ? Kama hauna jibu vunga tu, wengine wanaojua jibu, watajibu mkuu🤗Unapenda ligi mzee,, nimetoa mawazo yangu unalazimisha tufanane.
Yule mwingine wa kushoto ni Nick Mbishi kama sijakosea
Na huyo mwingine Kulia, huenda ndiyo Kapachino mwenye
Kwa nini umefiriki ni muhimu kwa mtu alie hai kujua akifa watu watamzikaje 🤔Nataka kujua yule mjinga wa wachokonozi akifa atazikwa kwa namna ipi maana ameshazitukana dini matusi ya kila rangi akaenda mbali zaidi akisema hamna kifo
Naasome kwakutuliaaa hahahahaaaUnahasira na maisha mkuu. Soma tena uelewe.
Mwenye Cheni Shingoni ni Unju aka Zohan aka Nikki Mbishi.Hata mm sijajua muuza ganja yupi hapo
Yaani wewe umenilazimisha kusema na kucheka sana. Sasa ashike maua kuweka kwenye kaburi lake? Bangi hadi hapa JF 😄 🤣 😂 😆 😄 🤣 😂Huyo alieshika shada la maua
kwanini umeweka avatar picha ya dada yangu Lisa Jensen?Yaani wewe umenilazimisha kusema na kucheka sana. Sasa ashike maua kuweka kwenye kaburi lake? Bangi hadi hapa JF 😄 🤣 😂 😆 😄 🤣 😂